Mbacho lodge,,usipoitaja ujaitendea haki.Lodge.
Rode, nyokaa, regeny, sky way
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbacho lodge,,usipoitaja ujaitendea haki.Lodge.
Rode, nyokaa, regeny, sky way
Hizo logde au kumbi za discoLodge.
Rode, nyokaa, regeny, sky way
Atapigwa msumari mwenyewe atatuma nauli arudiNakubaliana na hilo... Kuna jiran hapa karudisha wake Juzi tuu.
KirusuBila kuusahau Mtukuru baada ya kazi
Rangi ya mtume au sio..ila nasikia wakicheka tu basi wanaharibu kazi.Kila mwanamke ni mzuri. Ni pisi za kali halafu ni nyeupe
Huko hana mademu ndio maana kapotezeaMbona hutaji vyuo vingine acha wivu wako
Lake college of health
Golden seal college of health
Blue pharma college of health
St Bernard college
City college
Utalii college
Singida teacher college
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kaka kwani unaenda kutibiwa ?🙄🙄Town kuna vumbi vumbi au pamepoa?..
Hospital ya rufaa inahudumia watu wengi sana?..yaani ina foleni kubwa sana?
Vyenye mademu wakaliAsante...ila niliamua tu kumtajia vile maarufu
Suala la chakula usiliwaze sawa na bure.Chakula ni cheap mno mkoa huo,,,aisee nilijua ni shida
Samaki wanapatikana kwa wingi mkuu??Hospital ya rufaa haina foleni kbs Ila kwa wagonjwa wa OPD haihudumii so lazima uende ya mkoa yenyewe Labda kwenye kuzalisha sawa inawazalisha...hii ya mkoa Kuna foleni hasa ukienda asubuhi unaweza kushangaa unamaliza matibabu mchana saa nane ila maabara Yao iko vzr baada ya kujengwa mpya
Acha wivu wewe mgogoSingida sijui hata mkoa wa dizaini gani ule, mmh hapana asee.
Inapatikana Iringa bus TerminalBado kuna mishkaki ya mbwa pale stand mpya..?
Nasikia maji mara mojaKila mwanamke ni mzuri. Ni pisi za kali halafu ni nyeupe
Yaani unatabia za kinyaturu kabisa sasa unamsanua mwenzio ili iweje?
Kunbe ulikua Kiomboi mi nlifikiri Singapore TownKwamba singida kuna wazungu wanne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa sikupapenda ukame sana, maji ya shida.
Kuna uzuri wake, kuku wengi bei chee, nyama ya mbuzi nyingi bei chee, wanyiramba ni wakarimu niliwapenda... nilikua nakaa na tsh 30000 tu ndani inamaliza mwezi mishahara inakutana kwenye account matumizi hakuna
Singida imechangamka kuliko TangaNilisoma mwenge hapo kiukweli maisha Singida ni average,.huduma zote za msingi hazisumbui shida ni mji mdogo bado halafu mchana panapooza sana..ukitaka uenjoy ni uende as visit week hiv utaupenda mji ila kama ni makaz ya kudumu na umetoka mikoa iliyo changamka bas vumilia.
Pana ka ukweli anachonena,,,mie yamenikuta.Source ya utafiti wako please
Hawajielewi tu,hawana mipango wa miaka 3 au minne mbele.Tatizo nini??
Nasikia maji mara moja