ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hahaha si unajua wazungu tunawashangaaga huku nilifurahi balaa na hivi najitoaga ufaham nikamfuata mmoja nikamwabia do you enjoy the show akajib yeah nkamwabia fanya malomoni hapo I want biaKwamba singida kuna wazungu wanne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa sikupapenda ukame sana, maji ya shida.
Kuna uzuri wake, kuku wengi bei chee, nyama ya mbuzi nyingi bei chee, wanyiramba ni wakarimu niliwapenda... nilikua nakaa na tsh 30000 tu ndani inamaliza mwezi mishahara inakutana kwenye account matumizi hakuna
Akatoa 10000 sa ngapi nisivute Safari kubwa tatu