Naomba kufahamishwa kuhusu mkoa wa Singida

Naomba kufahamishwa kuhusu mkoa wa Singida

Kwamba singida kuna wazungu wanne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pamoja na kuwa sikupapenda ukame sana, maji ya shida.
Kuna uzuri wake, kuku wengi bei chee, nyama ya mbuzi nyingi bei chee, wanyiramba ni wakarimu niliwapenda... nilikua nakaa na tsh 30000 tu ndani inamaliza mwezi mishahara inakutana kwenye account matumizi hakuna
Hahaha si unajua wazungu tunawashangaaga huku nilifurahi balaa na hivi najitoaga ufaham nikamfuata mmoja nikamwabia do you enjoy the show akajib yeah nkamwabia fanya malomoni hapo I want bia
Akatoa 10000 sa ngapi nisivute Safari kubwa tatu
 
Sasa mkuu dunia ya Sasa hujui watu tunafanya mishe mishe nyingi

Iko hv yale mashati dakika ya mwisho nilimpa mjomba wangu akakopeshe watu wa bush maana kipindi hiko walikuwa hawana hela so Leo ndo nateremka bonde la ufa huko kuchukua alizeti badala ya pesa..baadae alizeti naianika naikoboa then mafuta nauza
Okay sawa plz naomba hayo mashudu aise kama hutojali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha si unajua wazungu tunawashangaaga huku nilifurahi balaa na hivi najitoaga ufaham nikamfuata mmoja nikamwabia do you enjoy the show akajib yeah nkamwabia fanya malomoni hapo I want bia
Akatoa 10000 sa ngapi nisivute Safari kubwa tatu
😂😂😂😂😂😂
 
Nilisoma mwenge hapo kiukweli maisha Singida ni average,.huduma zote za msingi hazisumbui shida ni mji mdogo bado halafu mchana panapooza sana..ukitaka uenjoy ni uende as visit week hiv utaupenda mji ila kama ni makaz ya kudumu na umetoka mikoa iliyo changamka bas vumilia.
 
Pale njia panda(penye makutano ya Barabara za Arusha, Ngimu na Makiungu)?
Tulikuwa tunaenda mbali kidogo jina nimelisahau,lkn wafugaji wengi walikuwa wanapita pale Mwenge kwenda huko.
 
Back
Top Bottom