ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sijawahi kusikia hio skendo ila kama ingekuwa ni kweli basi mbwa wangekuwa wameishagaBado kuna mishkaki ya mbwa pale stand mpya..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kusikia hio skendo ila kama ingekuwa ni kweli basi mbwa wangekuwa wameishagaBado kuna mishkaki ya mbwa pale stand mpya..?
Mamaaa mkuu kwani Singida ni Iringa pia?🙄😪Nusu mbuzi nusu mlinzi wa nyumba
Sana manyara paukweli singida ukame unatuzingua sanaManyara patamu zaidi...
Tulikua tunachanganya na banana na konyagi inatoa bonge moja la cocktailBila kuusahau Mtukuru baada ya kazi
Ulikuwa town au wilayani huko manyoni,irambaManyara sijaishi, ila singida nimeishi.... kwakweli niliishi maisha ya kutokuwa na furaha kabisa huo mkoa.....
Jamaa washenzi sana, bosi wangu alilishwa asee yule muuzaji hatatusahau maishani mwakeMamaaa mkuu kwani Singida ni Iringa pia?🙄😪
Chini chini sana,Sijawahi kusikia hio skendo ila kama ingekuwa ni kweli basi mbwa wangekuwa wameishaga
Ukicheua Watu Wanakeep DistanceTulikua tunachanganya na banana na konyagi inatoa bonge moja la cocktail
Hahaha asee kitambo sanaUkicheua Watu Wanakeep Distance
Acha mbwembwe wewe bwana mdogo..Mkuu unataka mafuta Lita 20 Sema utamkabidhi mtu maana mim sipo tz
Duuh mlijuaje kama ni cha dog mkuu? Basi nilishalishwa maana mnadani ilikua lazima nikatembee mixer nyama choma😪Jamaa washenzi sana, bosi wangu alilishwa asee yule muuzaji hatatusahau maishani mwake
Bosi alianza kuendesha tukiwa na mgambo huko mandewa ndo tukarudi kukiwasha ila kimya kimya.. unalia bila kutoa machoziDuuh mlijuaje kama ni cha dog mkuu? Basi nilishalishwa maana mnadani ilikua lazima nikatembee mixer nyama choma😪
Iramba, nilikua najitahidi walau weekend naenda singida mjini lakini bado aisee badoUlikuwa town au wilayani huko manyoni,iramba
Aisee hatari sana! Hiyo kulia bila kutoa machozi mmh kipigo gani hicho😂Bosi alianza kuendesha tukiwa na mgambo huko mandewa ndo tukarudi kukiwasha ila kimya kimya.. unalia bila kutoa machozi
SI bado mkoa mchanga ila siku hizi vibe yapo juzijuzi nandy alikuja regency watu walikuwa Wengi mpk nilishangaa kujua kumbe wazungu pia wapo sgd walikuwa Kama nane hiviIramba, nilikua najitahidi walau weekend naenda singida mjini lakini bado aisee bado
Umeacha kuuza mtumba mzee??Kivipi wakati me mwenyewe ndo na deal na biashara hizo za mafuta
Sasa mkuu dunia ya Sasa hujui watu tunafanya mishe mishe nyingi
Kwamba singida kuna wazungu wanne 😂😂😂😂SI bado mkoa mchanga ila siku hizi vibe yapo juzijuzi nandy alikuja regency watu walikuwa Wengi mpk nilishangaa kujua kumbe wazungu pia wapo sgd walikuwa Kama nane hivi
Labda Kama walikuwa na kazi yak maalumu
Unakaa karakana sehem gan?bomba la maji,kanisani kkkt au Roman?Naujua huo mradi wa mwankoko Ni kweli una maji laini..Sina uhakika Kama mpaka Huku karakana tunatumia hayohayo