ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mnada wa njiapanda na wa kona ya mohame ni wa nyama na bia tuJumamaosi kuna mnada,nyama za mbuzi,Ng'ombe na kuku bei chee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnada wa njiapanda na wa kona ya mohame ni wa nyama na bia tuJumamaosi kuna mnada,nyama za mbuzi,Ng'ombe na kuku bei chee..
Mama zangu wadogo kumi wote wameolewa na makabila mingine na wamedumuHistoria ya huko hakuna mwanamke wa makabila ya hapo mwenye historia ya kudumu ktk ndoa kwa miaka mitano
Dumu la Lita 19 now Ni 62000Mkuu mafuta yameshuka hivyo??..Nilinunua 29K miezi 2 hivi iliyopita.
Nimesafiri hivi karibuni kupitia dodoma na singida.....aisee dodoma ni pa hovyo sana kupafanya makao makuu kulinganisha na singida, hususan kwenye hali ya hewa na location singida ilipo dhidi ya dodoma, nafikiri wanaoyajua hayo maeneo wataniunga mkono. Serikali ibadilishe haraka maamuzi ipaendeleze singida pawe makao makuu ya nchi.
Hapo hapo town unapata Kwahiyo bei?Dumu la Lita 19 now Ni 62000
Akati miezi miwili iliyopita ilikuwa 90000
Mbona hutaji vyuo vingine acha wivu wakoMitaa
Chuo uhasibu,utumish ginnery
Mkuu, biashara gani za mitaji midogo zinalipa huko?Mitaa
Chuo uhasibu,utumish ginnery
Kajamaa kaongo SanaMkuu mafuta yameshuka hivyo??..Nilinunua 29K miezi 2 hivi iliyopita.
Asante Sana Ndege JonHospital iko mpya ya rufaa iko mandewa ila gharama zake ziko juu
Iko ya mkoa Ila foleni ndefu
Iko ya sokoine pia
Za private za mjini in tumaini na mzalendo zote ziko mjini
Nje ya mji iko puma ya misson na makiungu pia hydom Ina hadhi ya rufaa
Acha uongo wewe dogoMama zangu wadogo kumi wote wameolewa na makabila mingine na wamedumu
Hizi ni ndoto za mchana jua linawaka kali SanaNimesafiri hivi karibuni kupitia dodoma na singida.....aisee dodoma ni pa hovyo sana kupafanya makao makuu kulinganisha na singida, hususan kwenye hali ya hewa na location singida ilipo dhidi ya dodoma, nafikiri wanaoyajua hayo maeneo wataniunga mkono. Serikali ibadilishe haraka maamuzi ipaendeleze singida pawe makao makuu ya nchi.