Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale njia panda(penye makutano ya Barabara za Arusha, Ngimu na Makiungu)?Jumamaosi kuna mnada,nyama za mbuzi,Ng'ombe na kuku bei chee..
GugoNdio Nini Mkuu???elezea tukuelewe
sahihi kabisa jibu limejitishelezaWenyeji ni wanyiramba na wanyaturu watto wa kike ni gusa unate, wanapenda sana wagen na ni wakarimu sio wagomvi watu wa singida, maisha sio magum ni ya kawaida unaweza kuyaafodi
Habari ya mwemwe munyapaa, Mpola za mpindi
Nziza du
Wadifiya
Siku hizi Ni advanced level onlyNimemaliza form 4 Mwenge miaka kadhaa iliyopita,nitarudi kutembea aisee.
Ndio yanapatikana town Kuna viwanda vingi vya kukamua..ex meru ambacho Ni kikubwa East Africa,mwenge,n.kHapo hapo town unapata Kwahiyo bei?
Ewaaa pia ipo kangara ile wanaweka asali ukipiga chibuku ndogo unaoza kbsBila kuusahau Mtukuru baada ya kazi
Bajaji 1000Mnada upo hapo town au Hadi upande daladala Tatu???
Wanachukua ndio NHIFHiyo government hospital wanachukua bima?
Asante...ila niliamua tu kumtajia vile maarufuMbona hutaji vyuo vingine acha wivu wako
Lake college of health
Golden seal college of health
Blue pharma college of health
St Bernard college
City college
Utalii college
Singida teacher college
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huku kuzuri kWa sababu wanakijiji Wengi wanakuja mjini kila siku kwa hiyo ukiweza kuwatega hapa mjini unachukua pesa japo pesa yake Ni ya msimu wakishavuna ndo pananogaMkuu, biashara gani za mitaji midogo zinalipa huko?
Unaweza kuchukua alizeti kijijini kwa Bei mzuri unaweka stock ukija kukamua baadae unapiga helaMkuu, biashara gani za mitaji midogo zinalipa huko?
Kivipi wakati me mwenyewe ndo na deal na biashara hizo za mafuta
Khaa
Sio kweli...punda hutumika kutoa mkaa Kijijini na kuja kuuzia town .pia kuendeshea matela.....HAKUNA biashara ya punda kwa ajili ya nyamanasikia maziwa na nyama ya punda ni dili huko!?
Pombe ya kienyeji inatengenezwa kwa kutumia mabaki ya ugaliNdio Nini Mkuu???elezea tukuelewe
Pombe ya kienyeji inatengenezwa kwa kutumia mabaki ya ugali na mtamaNdio Nini Mkuu???elezea tukuelewe
Njoo singida mkuu hutajutia na km tabora Labda nzega ila kibishara igungaNashukuru kwa maelezo machache niliyopata toka kwa Ndege Jon and co Imani yangu nitaendelea kuoata zaidi,,,,wale wa mkoa wa Tabora kesho tutajuzana ya huko kwenu maana nataka kufanya maamuzi ni wapi niende
Maji hapo Singida town ni ya chumvi au laini kabisa?Pombe ya kienyeji inatengenezwa kwa kutumia mabaki ya ugali