ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kumbe Hadi ngimu unapaelewa ndo mahome Sasa nilidhani ungepajua mgori pekeePale njia panda(penye makutano ya Barabara za Arusha, Ngimu na Makiungu)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Hadi ngimu unapaelewa ndo mahome Sasa nilidhani ungepajua mgori pekeePale njia panda(penye makutano ya Barabara za Arusha, Ngimu na Makiungu)?
Maji sio lainiMaji hapo Singida town ni ya chumvi au laini kabisa?
Town kuna vumbi vumbi au pamepoa?..Maji sio laini
Ila Kuna visima hapahapa mjini vina maji laini japo zamani ndo yalikuwa laini Sana ila kwa hizi siku sio laini sana
Town pamechangamka Sasa hivi wageni wanajenga kwa Kasi tunashukuru wachaga wame Jenga mno mpk viwanja vimekuwa ghali..mtaani barabara sio nzuri Sana vumbi lipo Sana ila kwa kuwa kamji kadogo na Kuna mabwawa mawili yanatupa faidaTown kuna vumbi vumbi au pamepoa?..
Hospital ya rufaa inahudumia watu wengi sana?..yaani ina foleni kubwa sana?
Kuhusu swali langu ya hospitali hujajibuTown pamechangamka Sasa hivi wageni wanajenga kwa Kasi tunashukuru wachaga wame Jenga mno mpk viwanja vimekuwa ghali..mtaani barabara sio nzuri Sana vumbi lipo Sana ila kwa kuwa kamji kadogo na Kuna mabwawa mawili yanatupa faida
Hospital ya rufaa haina foleni kbs Ila kwa wagonjwa wa OPD haihudumii so lazima uende ya mkoa yenyewe Labda kwenye kuzalisha sawa inawazalisha...hii ya mkoa Kuna foleni hasa ukienda asubuhi unaweza kushangaa unamaliza matibabu mchana saa nane ila maabara Yao iko vzr baada ya kujengwa mpyaKuhusu swali langu ya hospitali hujajibu
Wewe utakuwa unakaa Unyankindi kwenye maji ambayo siyo laini.Maji yanayotoka Mwankoko ni laini kabisaMaji sio laini
Ila Kuna visima hapahapa mjini vina maji laini japo zamani ndo yalikuwa laini Sana ila kwa hizi siku sio laini sana
Naujua huo mradi wa mwankoko Ni kweli una maji laini..Sina uhakika Kama mpaka Huku karakana tunatumia hayohayoWewe utakuwa unakaa Unyankindi kwenye maji ambayo siyo laini.Maji yanayotoka Mwankoko ni laini kabisa
Mkuu unataka mafuta Lita 20 Sema utamkabidhi mtu maana mim sipo tzSio kweli...punda hutumika kutoa mkaa Kijijini na kuja kuuzia town .pia kuendeshea matela.....HAKUNA biashara ya punda kwa ajili ya nyama
Sijakuelewa mkuu yaani unahitaji mafuta?Mkuu unataka mafuta Lita 20 Sema utamkabidhi mtu maana mim sipo tz
Je manyara kdg unapaelewa elewaSingida sijui hata mkoa wa dizaini gani ule, mmh hapana asee.
Kijijin debe LA alizeti wanauzaje? Au gunia LA debe 7?na Mavuno ni kipindi gani? Usinichoke broUnaweza kuchukua alizeti kijijini kwa Bei mzuri unaweka stock ukija kukamua baadae unapiga hela
Manyara sijaishi, ila singida nimeishi.... kwakweli niliishi maisha ya kutokuwa na furaha kabisa huo mkoa.....Je manyara kdg unapaelewa elewa
Sasa hivi ndo wanavuna Sana debe 5000 na Mimi Leo ndo naenda kukusanya alizeti means gunia 30000Kijijin debe LA alizeti wanauzaje? Au gunia LA debe 7?na Mavuno ni kipindi gani? Usinichoke bro
Manyara patamu zaidi...Je manyara kdg unapaelewa elewa
Nusu mbuzi nusu mlinzi wa nyumbaNilipenda nyama choma ya mbuzi mnadani!😋