Naomba kufahamishwa kuhusu mkoa wa Singida

Kwahyo mwanamke akawa anamlelea [emoji16]


Basi wana roho nzuri wanawake wengine wakikupalamba chenchi zote wanakukimbia
 
Pambana Uwe Raisi uje ufanye Maamuzi hayo
 
[emoji28][emoji28] kwani wewe umeacha kuzichakata..naona baada ya kutoka bariadi sasa unataka ukaweke kambi singida...ua zichakate kwa ukaribu zaidi mbususu za singidani.

Ukifika huko usiache kuleta mrejesho.

#MaendeleoHayanaChama
Nikifika huko nitakupa ripoti [emoji16]
 
Singida ni moja ya mikoa mikubwa nchini, anzia kazikazini inakopakana na mkoa wa manyara mpaka kusini inakopakana na mkoa wa mbeya. Ni mkoa ulio katikati ya nchi uwekewe mikakati ya kimaendeleo kwa miundombinu yote ikiwemo uwanja wa ndege mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…