Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Tusimuliee basi kirefu
 
Jamani jamani
 
Mona Lisa alikuwa mdada katika koo ya kifalme huko france kipindi hiko. Na according to da Vinci Ni kuwa huyu Dada alikuwa mrembo sana machoni pake. Ndio maana akaamua kumchora.
Da Vinci alikuwa haamini km kuna Mungu.
Na kipindi hiko Papa alikuwa anatawala like dunia nzima. So da Vinci akapigwa ban asiweke machapisho yake katika vitabu maana anapotosha watu. So akaamua kuandika maandishi ambayo kuyasoma lazima uweke kioo kwa juu then usome kwenye kioo. Ndio ikaja hiyo da Vinci code. Na ndio maana akatumia akili nyingi sana ili aweze kufikisha ujumbe wake na ili asijulikane kirahisi ndio maana picha zake zilibeba ujumbe wake ambao mpk utumie akili sana kuelewa ndio kama hiyo Mona Lisa pic.
 
Ndo mana wanasema 'the monalisa is more than just an art

The "Mona Lisa" is a painting by Leonardo da Vinci which he was trying to pass the message that a human being isn't complete without having male AND female traits.The picture is a combination of a man AND a woman.The right side represents a man(that was the attire men wore in that era) and the left side represents a woman.
 
Endelea basiiiii hiyo picha ina maana gani???
 
Danny Brown anasema mwenyewe kuwa asilimia 99 ya alichoandika kwenye Da vinci code au vitabu vyake vingine kama Angels and Demons, Digital fortress n.k ni vitu vya kweli na sio fiction kama wengi wanavyosema
 
Umenikumbusha prof.longdon,,,,,mtaalamu wa symbology......Silas na bishop Alingarosa.They kill to pritect faith.Louvire museum na Jackie Sunnierre the Grand master of Priori of Zion.
Nilikusubiri hapa mkuu nione comment yako
 
Mkuu naomba hapo kidogo tukizane, Yesu alimanisha Yohana mwanafunzi na sio Maria Magdalena.
 
Maelezo yako kama ni kweli yana mtiririko mzuri zaidi ya wanajukwaa wengi wako wana okoteza na wanakosa mtiririko mzuri.
 
Tupeni majibu basi maana naona mnazunguka tu kwa mfano mm nataka kujua kuwa hiyo picha ya Mona Lissa inarepresent mtu halisia au hisia tu za mchoraji so mnaojua jaribu ktupa mwangaza
 
Mona Lisa ni picha ya dada mmoja kutoka koo ya kifalme huko ufaransa ambae Da vinci aliwahi kumpenda na hakukuwa na msichana mzuri machoni mwa da vinci zaidi ya huyu.

Lakini picha hii inawakilisha kitu kingine kikubwa sana. "The Holy grail" au royal bloodline of jesus. Hii ni picha si ya Maria Magdalena bali ni ya mtoto wa Maria Magdalena na Yesu aliyeitwa SARAH. Ikumbukwe kuwa Da vinci alikua ni grand master wa priori of zion hivyo moja kati ya majukumu yake yalikua ni kuhakikisha anautunza ukweli na kuhakikisha hii royal bloodline haipotei.

Hivyo akaamua kuuchora mchoro huo na ukawa kama secrete code ya the holy grail. Koo zote za kifalme za ulaya zimeunganishwa pamoja na hii kitu. Ikumbukwe kuwa Yesu alikua anatokea kwenye koo ya kifalme sawa sawa na maria magdalena.

Hivyo kanisa la Roma lilikua limedhamiria kuupoteza ukweli huu pamoja na secret societies zote kama vile priori of zion na knights templar ambao wamezihifadhi nyaraka hizi.

Hivyo Mona Lisa ni representation ya The Holy grail au royal bloodline of Jesus. Na wenye jukumu la kutunza siri hii ni priori of zion pamoja na knights templar.
Nawasilisha
 
isee kwa hiyo yesu aliacha motto duniani au sijaelewa hapa!!!!!!!!!!
 
Unataka kunambia yesu ashawahi kuwa na mtt
 
isee kwa hiyo yesu aliacha motto duniani au sijaelewa hapa!!!!!!!!!!
Mkuu watu wa dini watakanusha sana kuhusu hili. Ila mwaka 1947 zimepatikana nyaraka za siri kule israeli zikiwa zimefichwa kwenye mapango. Vitu hivi vikijulikana ukristo utakua mashakani sana. Hivyo kwa gharama yoyote lazima vitu hivi vifichwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…