Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Haiwezi kuwa ukweli kamwe

Hiyo idea/ Huo uongo ulianzishwa na Atheists na Waabudu mashetani wa miaka ya zamani sana ili kuvunja imani ya Kikristo na kupata agents na ikaja kusapotiwa na wenye dini tofauti na ukristo kuaminisha watu kuwa Yesu alilala na mwanamke hapa duniani na kuzaa mtoto.
Na ndugu zetu majaidina wanapenda sana hizi story....Wanakwambia Injili ya Barnaba eti inafuchua kila kitu..
 
Mkuu naomba hapo kidogo tukizane, Yesu alimanisha Yohana mwanafunzi na sio Maria Magdalena.

Uko sahihi. Yohana katika biblia ndo alikua mdogo kabisa katika mitume wake na ndo wa mwisho kufa. Biblia inaposema mwanafunzi aliye mpenda Yesu alikuwa ndo huyo. Si tu kuwa yesu alimpenda bali pia walifanana sana kiasi hata Yuda alitumia ishara ya busu ili aakari wasilamate asiye. Huyo ndo Yohana ambaue Yesu alimzaa na Magdaleni. Narudia siyo mimi bali davinci code!
 
View attachment 425984

Picha hii imechorwa na msanii Leonardo da Vinci, hilo tu ndilo nijualo. Lakini nasikia kuna mengi nyuma ya hii picha, ujumbe uliofichika, umaarufu wake hadi leo ni nini haswa?? Ilikua ngumu sana kuichora au?

Wajuzi naombeni msaada
Kwa ninachojua picha hii inaitwa the past supper na ilichorwa na leonardo da vinci mwaka 1494 mapaka 1495 na alikuwa ni raia wa Italia na pia alikuwa mwajasayansi na alichora picha nyingi za vifaa vya vita ambavyo vinatumika kwa sasa.
 
kwa kukusaidia fasta fasta tafuda kitabu kinaitwa da vince code, kipo ktk pdf usome mwenyewe


Kwa ninachojua picha hii inaitwa the last supper na ilichorwa na leonardo da vinci mwaka 1494 mapaka 1495 na alikuwa ni raia wa Italia na pia alikuwa mwajasayansi na alichora picha nyingi za vifaa vya vita ambavyo vinatumika kwa sasa.
 
Mona Lisa ni picha ya dada mmoja kutoka koo ya kifalme huko ufaransa ambae Da vinci aliwahi kumpenda na hakukuwa na msichana mzuri machoni mwa da vinci zaidi ya huyu.

Lakini picha hii inawakilisha kitu kingine kikubwa sana. "The Holy grail" au royal bloodline of jesus. Hii ni picha si ya Maria Magdalena bali ni ya mtoto wa Maria Magdalena na Yesu aliyeitwa SARAH. Ikumbukwe kuwa Da vinci alikua ni grand master wa priori of zion hivyo moja kati ya majukumu yake yalikua ni kuhakikisha anautunza ukweli na kuhakikisha hii royal bloodline haipotei.

Hivyo akaamua kuuchora mchoro huo na ukawa kama secrete code ya the holy grail. Koo zote za kifalme za ulaya zimeunganishwa pamoja na hii kitu. Ikumbukwe kuwa Yesu alikua anatokea kwenye koo ya kifalme sawa sawa na maria magdalena.

Hivyo kanisa la Roma lilikua limedhamiria kuupoteza ukweli huu pamoja na secret societies zote kama vile priori of zion na knights templar ambao wamezihifadhi nyaraka hizi.

Hivyo Mona Lisa ni representation ya The Holy grail au royal bloodline of Jesus. Na wenye jukumu la kutunza siri hii ni priori of zion pamoja na knights templar.
Nawasilisha
Kwahiyo kwenye hiyo picha ni mtoto wa yesu au?
 
Haiwezi kuwa ukweli kamwe

Hiyo idea/ Huo uongo ulianzishwa na Atheists na Waabudu mashetani wa miaka ya zamani sana ili kuvunja imani ya Kikristo na kupata agents na ikaja kusapotiwa na wenye dini tofauti na ukristo kuaminisha watu kuwa Yesu alilala na mwanamke hapa duniani na kuzaa mtoto.
Hebu simulia kidogo maana unaelekea kuelewa vitu
 
Mkuu kifaransa.... Andika japo kwa ufupi basi wengine hatuambulii kitu hapo.....
 
Hii picha ni muunganiko wa sura mbili kushoto ni mwanamke upande wa kulia ni mwanaume.Neno Mona ni contraction ya neno Madonna.
 
The Monalisa Painting Iko popular kwa sababu kipindi inatengenezwa (smwhere around 5 centuries ago), uyu jamaa leonardo alitumia technique ya painting ambayo kipindi icho ilikua ya kimapinduzi.. aliweza kuchora picha yenye depth na detail za kutosha kama 3D drawing katika kipindi ambacho michoro mingi ilikua flat tu na haikua na uhalisia wa kiwango cha juu.... pia ata lile pozi monalisa alilokaa ndo lilikuja kuwa standard ya portrait zingine zilizofuata mpaka leo..
 
Acha urongo wewe....Yani unapindua alichokisema....Kwakifupi alisema vitu alivyoandika ni fiction na sio kweli..

Kwenye ulimwengu huu wa digital kudanganya ni ngumu
Asante Mkuu. JF kuna wapotoshaji sana. Kuna mtu ameweka PDF ya Da Vinci Code humu. Ukurasa wa kwanza tu, Dan Brown ameweka wazi kwamba katika kitabu hicho vitu ambavyo ni facts ni viwili tu, the Priory of Sion na Opus Dei, basi. Vingine vyote ni fiction.
 
Inaitwa Gioconda au ukipenda monalisa ni kazi ya Leonardo da vinci mtaalam wa kuchora kutoka Firenze ipo pale ufaransa katika nyumba ya sanaa ya Louvre sijawahi kwenda paris au kuisoma historia ya Leonardo da vinci ila nilipata bahati mwaka jana kwenda Firenze ila nitaisaka historia yake maana hii picha kwa wale wachoraji ina tafsiri nyingi sana hata ile nyengine nayo wataliani wanaiita ultima chena au kwa kiswahili itakuwa chakula cha mwisho kile cha yesu na wanafunzi wake pia ina maana nitaisaka kwa kweli niisome
1477848759490.jpg
nadhani itakuwa hii.
 
Kwanza tabasamu lake hubadilika, yaani ukimwangalia straight anatabasamu na ukimwangalia kwa upande kanuna.
Hilo tabasamu limewachanganya watu wengi enzi hizo na mmoja alijitupa kwenye daraja na mwingine aliiangalia na kusema nimechoka kuliona hili tabasamu na kujipiga risasi ya kichwa.

Kwa kweli maajabu mengine siyajui zaidi ya kope zake
1477848833539.jpg
hahaha [HASHTAG]#Monalisa[/HASHTAG]. Knobs mimi sioni ohochote apo.
 
1477848907948.jpg
jina kamili ni bwana Leornado Di Ser Piero Da Vinci. . Ikiwa na maana ya mtoto wa bwana Piero kutoka Da Vinci alizaliwa miaka ya 1400 na kufariki miaka ya 1500. Alihama kutoka Italia akiwa na miaka kama 15 ivi na kwenda kuishi Ufaransa ambapo aliishi kwa tajiri mmoja maarufu wa wakati huo. Alifariki akiwa na miaka kama 54 ivi ufaransa. Nmesahau vitu vingi sana kuhusu uyu jamaa. Pia kuna picha aliwai kujichora [emoji116] [emoji116] [emoji116]
1477849426766.jpg
 
I used to read hivyo vyote miaka ya nyuma mkuu, tena kama vitabu vitatu ila nilikuja kupata final work ya muitaliano mmoja aliyeweka wazi kuwa:

Yesu Kristo wa Nazareti hakuwahi kulala na mwanamke duniani wala kupata mtoto.

Ngoja nikikipata hicho kitabu na kina evidences mbalimbali nitakutumia.
Mkuu naomba kujua kama Maria mama wa Yesu pamoja na mume wake Yusufu walipata watoto/mtoto baada ya kumzaa Yesu. Na kama walimpata, huo ukoo unajulikana kwa sasa ni akina nani? Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom