davismwaisemba
Member
- Mar 8, 2021
- 6
- 12
Habari wana JamiiForums,
Mimi ni mtaalam wa kuunda software za simu na kompyuta. Natamani kutengeneza mfumo wa logisitics/delivery ambayo itagusa kila mfanyabiashara ambaye biashara yake inafanya delivery ndani na nje ya mkoa husika. Sijaona mifumo inayogusa maeneo hayo moja kwa moja.
Sanasana tunaishia kuwatuma boda na kukodi kirikuu iliopo karibu. Natamani nitengeneze mfumo ambao utarahisha eneo la logistics kwa kila mfanyabiashara.
Natanguliza shukrani na kuahidi kufanyia kazi mawazo yenu.
Mimi ni mtaalam wa kuunda software za simu na kompyuta. Natamani kutengeneza mfumo wa logisitics/delivery ambayo itagusa kila mfanyabiashara ambaye biashara yake inafanya delivery ndani na nje ya mkoa husika. Sijaona mifumo inayogusa maeneo hayo moja kwa moja.
Sanasana tunaishia kuwatuma boda na kukodi kirikuu iliopo karibu. Natamani nitengeneze mfumo ambao utarahisha eneo la logistics kwa kila mfanyabiashara.
Natanguliza shukrani na kuahidi kufanyia kazi mawazo yenu.