Witch craft, ila naomb uanza na subconscious mind……!!!
Mkuu, siku ukija kugundua Sub-Conscious Mind na power yake utagundua kiini cha imani zote, matendo yote, na matokeo yote ya kazi za mwanadamu.
Mind ya mwanadamu imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni CONSCIOUS MIND na SUBCONSCIOUS MIND.
Conscious mind kazi yake ni kutumia milango ya fahamu kutafuta maelezo na pia kazi yake ni kujaribu kukusaidia uweze kupata maana ya vitu. Ni sehemu ya Mind inayojua wakati/time. Ni sehemu ambayo taarifa zako tangu ulipozaliwa na tangu ulipoanza kujifunza hii dunia ilivyo taarifa zake zinawekwa kwenye sehemu hii.
Subconscious Mind, ni sehemu isiyo na mipaka. Ina asilimia kuwa ya akili yako lakini unaitawala kwa kiasi kidogo sana. Tafiti zinasema wapiga vifaa vya mziki, walimu wa imani, enlightened Beings, na watu waliofunguka ufahamu wanaweza kuiongoza kwa kiasi zaidi. Ni sehemu isiyojua wakati, haijui ubaya wa vitu na haiwezi kuhukumu unachokiamini. Ni sehemu ambayo kazi yake ni kuongoza matendo ambayo wewe huyajui kama vile mapigo ya moyo, kiasi cha sukari n.k. Ni sehemu ambayo ipo kukusaidia. Mfano unaweza ukajisemea nataka niamke saa 11 asubuhi. Huku ukisema hivyo unaamini kuwa lazima uamke kwa sababu unasafiri. Utaona asubuhi lazima uamke (ilishawahi kunitokea) hata kama ukiwa hauna saa unaweza ukaamka mapema tu na usingizi huwa unaisha. Subconsious mind inakusaidia pia ukiwa katika hatari kwa kukupa akili ya ziada. Ni sehemu ambayo wazo likipita kwenye conscious mind na ukalikubali na kuamini linaamia kwenye upande wa subconscious na linaanza kufanyiwa kazi.
Tukirudi katika mada ya uchawi. Mwanadamu anaweza kuumba au kufanya jambo lisilo na mpaka hata wa kisayansi. Mchawi anapofanya matambiko, kafara, chants, kuimba au na madoido mengi kazi yake ni kujitengenezea imani na kuanza kuamini jambo (hapo linaamia kwenye subconscious na linafanyiwa kazi). Pia ni sawa na wanaosali, wanaorudia rudia sala, kutumia rosari, meditation, yoga na vitendo vingi vya kiimani vinamjenga mtu subconsciously bila yeye kujua kuwa anajengewa imani.
Asante.
Mkuu hebu recommend kitabu kizuri niweze soma hizi habari kwa undani,.
Shukrani sana
Why are you scared of Revelation 19:15-16?
One of the names of God in Islam is AL-HAQ. Which means in Arabic The Truth. Did Jesus say in the Holy Bible, I am the Truth? Yes. He said on John 14;9, I am the way and the truth and the life. No-one comes to the Father except through Me. The most important for Christians now that Jesus said, He is the Truth. Always remember this truth.
Can any Muslim deny that is Gods (Allah) another name is The Truth (AL-HAQ)? No. No one can deny this fact. Because this Truth in Islam is Allah. AL is Arabic word and its English meaning is you talking about whom. HAQ means Truth which in English we say I am the Truth. In Arabic I am the AL-HAQ. Can any Muslim deny that?
Naona umesha elewa kuwa Yesu ni Allah.Hujajibu bado Ishmael
Kwa nini unaogopa kujibu?
Ayat imekukamata ile sehemu nyeti.
Mungu anaezungumziwa katika Hosea 13:4 ni nani?
Naona umeishi mpaka unatumia video za Allah, Hivi Allah alisha wai teremsha Video? Msiba huuKama alivyoelewa huyu?
Naona umejijiba hapa:Naona umeishi mpaka unatumia video za Allah, Hivi Allah alisha wai teremsha Video? Msiba huu
Naona umesha elewa kuwa Yesu ni Allah.
NitakuPM. Asante.
Unaposema Product za waganga hapo unakuwa umetaja kitu ambacho ni kipana sana! Na ndani ya hizo So called (PRODUCT ZA WAGANGA) Kuna vitu ambavyo vinaweza kukupelekea wewe ukaingia ktk SHIRK.
Mfano:-
Mganga akikwambia VAA HIRIZI utajikinga Na BALAA au Maradhi hapo tayari Unaingia ktk SHIRK manake Mwenye Kuweza Kukukinga na Maradhi Au MABALAA ni MUNGU PEKE YAKE.
Kumbuka Hapa Naongelea Imani Yangu Tukufu ya KIISLAMU manake Hao wengine wana imani kuwa Askofu pia Anaweza kukukemea tu Biashara Yote ya Maradhi Ikaisha!
Huko sitaki kwenda kwa sasa manake kumejaa USANII MTUPU!
Lkn Km hizo Product ni dawa Za Mitishamba tu za Kupaka Au Kunywa ili Zitibu hayo maradhi ya mwilini basi Hazikuingizi ktk USHIRIKINA WWT.
So did the Bible. The bible said the same.
there is no God but Me. Isaiah 45:5
If you accept this Bible ayat why you throw a stone at the The Quran ayat?
Quran says, There is No God but Allah
Who is Me in The Bible Verse?
Answer the question if you dare, bro!
Test to your faith, and your belief!
Mimi na ndugu yangu kuitana kiongozi unakereka nini?
Nyie hata mkitutusi namna gani kamwe haturudishi tusi kwa tusi kwani Mungu wangu na Mungu wako ambae ni Yesu Kristo ametuagiza tuwapende tu...
Barikiwa sana ....!!
Mkuu huyo atakuchosha kwa kuleta mafundisho ya kanisani badala ya kujibu swali. Wanafunzi wake waliokuwa karibu naye walikuwa wanamuita mwalimu cha kushangaza hawa waliokufuru wanamuita Mungu...Kama alivyoelewa huyu?
Akirudi kukujibu atakuja na longo longo na mashairi mrefuuu.Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Ishmael.Naona umeishi mpaka unatumia video za Allah, Hivi Allah alisha wai teremsha Video? Msiba huu
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.Ishmael.
Naomba unipe darasa. Hivi Yesu (Unayesema ni mungu wako)aliandika kitabu Chochote.
Kama aliandika kitabu, hiko kitabu unakiitaje? Kitabu kinaitwaje?
Kama hakuandika kitabu chochote. Kitabu unachotumia kujengea imani yako kimeandikwa na nani?
Je Yesu aliridhia au aliamrisha kuandikwa kwa kitabu hicho?
Je kitabu hicho kiliandikwa wakati Yesu akiwa hai? Aliwahi kukihakiki na kukipitisha kuwa ujumbe uliokuwemo kwenye kitabu hicho ni ujumbe sahihi?
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.
1. Hivi Allah aliiteremsha Quran ikiwa imeandiwa au ilikuwa katika umbo gani?
2. Hivi Jibril ni kweli alimsaidia Allah kuteremsha Quran na kwanini atusomi Jibril akiipokea hiyo Quran kutoka kwa Allah?
FYI:
YESU NI NENO, hivyo hana sababu ya kuandika kitabu kama Allah wenu.
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.
1. Hivi Allah aliiteremsha Quran ikiwa imeandiwa au ilikuwa katika umbo gani?
2. Hivi Jibril ni kweli alimsaidia Allah kuteremsha Quran na kwanini atusomi Jibril akiipokea hiyo Quran kutoka kwa Allah?
FYI:
YESU NI NENO, hivyo hana sababu ya kuandika kitabu kama Allah wenu.
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAHSasa Ndugu Biblia unayotumia imeandikwa na nani?