Yule wa mjengoni mbona hayuko hivi au yeye ni wa Mbeya mjini?Naanza kwa upande wa wadada
Mnyakyusa pure ( wa tukuyu ...& Kyela & busokelo) mdada lazima awe hivi[emoji23][emoji23]
Ingawa pia wasukuma wamebarikiwa
Gwede gwedeView attachment 2344819
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mmoja KWA miaYule wa mjengoni mbona hayuko hivi au yeye ni wa Mbeya mjini?
Elezea kuhusu traits zako ili iwe rahisi kuoanisha na nunachotaka kujua kuhusu hio jamii ya hao watu,Habari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/sifa za watu wa mkoa wa Mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features)?
Kwanini nauliza??
Well, kwa sababu zangu binafsi. Mara nyingi napenda kujitambulisha kabila langu kua ni "msukuma" na naongea kisukuma pia somehow. Bahati mbaya sana huwa japo najitambulisha kama msukuma ila hua wanakataa na kusema mimi ni mnyaki.
Eneo nililopo sasa wananiita mnyaki na wengine hupenda kuniuliza habari za Mbeya ila Sijawahi kufika Mbeya hata siku moja. Nikiuliza kwanini mnadhani mimi ni mnyaki wanasema wanyaki wanaume sura/muonekano wao haujifichi.
Kilichofanya nichukulie serious hii ishu ni jambo lililotokea wiki hii, nilienda mahali fulani kupata huduma unfortunately some inconvenience emerged and it was kinda a no-go on my service. Ila mtoa huduma mdada akaniambia nakusadia tu kwakua wewe ni "wakwetu." Nilishtuka kidogo nikauliza kwenu wapi? Akajibu Mbeya!
Nikauliza umejuaje mimi natokea mbeya? Akasema pia sura yako inaonyesha ni myakyusa😅, ili nisikose huduma ikabidi nikubali tu.
Hear, Hear
Nijuze sifa za watu hawa ili nijue kwanini nami nachukuliwa hivyo!
I want to embrace it, nianze kujitambulisha kama mnyakyusa.✌️
Kweli tunayoooHeaven Sent Saint Anne mama Mchungaji toeni neno tafadhali juu ya tuhuma hizi😅
Eti wengi wana matege🏃
Uje uwe mtunza fedha wangu wakati natumia kipajiHeaven Sent kumbe kipaji unacho ila umekikalia tu🙆🙆🙆
TukuyuUligwakughu[emoji23][emoji23]
Mheshimiwa kwao nadhani ni Mwakaleli. Bulyaga ni Tukuyu Town ipo karibu na Bomani, Ujenzi,Msasani.Bulyaga kwa kina tulia?????
Akuuu[emoji1787]Ukute wewe ni Tununu pia[emoji28]
Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambilikiHabari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/sifa za watu wa mkoa wa Mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features)?
Kwanini nauliza??
Well, kwa sababu zangu binafsi. Mara nyingi napenda kujitambulisha kabila langu kua ni "msukuma" na naongea kisukuma pia somehow. Bahati mbaya sana huwa japo najitambulisha kama msukuma ila hua wanakataa na kusema mimi ni mnyaki.
Eneo nililopo sasa wananiita mnyaki na wengine hupenda kuniuliza habari za Mbeya ila Sijawahi kufika Mbeya hata siku moja. Nikiuliza kwanini mnadhani mimi ni mnyaki wanasema wanyaki wanaume sura/muonekano wao haujifichi.
Kilichofanya nichukulie serious hii ishu ni jambo lililotokea wiki hii, nilienda mahali fulani kupata huduma unfortunately some inconvenience emerged and it was kinda a no-go on my service. Ila mtoa huduma mdada akaniambia nakusadia tu kwakua wewe ni "wakwetu." Nilishtuka kidogo nikauliza kwenu wapi? Akajibu Mbeya!
Nikauliza umejuaje mimi natokea mbeya? Akasema pia sura yako inaonyesha ni myakyusa😅, ili nisikose huduma ikabidi nikubali tu.
Hear, Hear
Nijuze sifa za watu hawa ili nijue kwanini nami nachukuliwa hivyo!
I want to embrace it, nianze kujitambulisha kama mnyakyusa.✌️
Daah kama ni hivyo ngoja niiendelee kuwa msukuma tu asee.Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
Koromije babeWewe wa wapi babe
Kila binadamu ana uzuri na ubaya wake... Hilo halitabadilisha mazuri na mabaya yakoDaah kama ni hivyo ngoja niiendelee kuwa msukuma tu asee.
[emoji1787][emoji1787] wee usiniambie uko mwakaleri huko unachuma maparachichi na mbaragaBabe unyama mwingi huo[emoji28]
Unaweza Kuta mwanao huyu.[emoji1787][emoji1787]Kichwa Changu utakiweza? Mbona utaishia kuvaa nguo bila kumwaga[emoji12][emoji468][emoji468]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna,mhehe ni mtu sana ujue....sema wakitoa posa Ndo wamemaliza Kila kitu wagumu kutoa mahari balaa [emoji57]
Wenye hizo sifa ni wanaume.Mwaisa mtu mbad...
Nasikia ukigombana na mnyakyusa wewe ni hufai ktk jamii... Hawa watu wako peace sana wanajiamini na wanajipenda sana... Nikiongeza mke lazima nioe mnyakyusa... Wana nyota ya kutoboa kimaisha