Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Wanyakyusa wanapenda sana kusaidiwa yaan yeye kupewa msaada ni haki yake ila kiukweli wamesoma sana pia waninafsi
 
Elezea kuhusu traits zako ili iwe rahisi kuoanisha na nunachotaka kujua kuhusu hio jamii ya hao watu,

Tabia hiziko general tribes ziko na geographical disparities especially wanayakyusa utofauti wa tarafa, kata na vijiji hasa kulingana na chifu wao ni nani na uongozi wake ulikuwaje, Mfano wa Kyela na Tukuyu wana Ukukwe tofauti kabisa, commonalities zipo na zina varry kati ya mtu na mtu mfano mixer ya mnyaki mnyaki , mnyaki mundali , mnyaki na other tribes, exposure ya familia those who grew in urban trade centers, etc,
 
Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
 
Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
Daah kama ni hivyo ngoja niiendelee kuwa msukuma tu asee.
 
Hakuna,mhehe ni mtu sana ujue....sema wakitoa posa Ndo wamemaliza Kila kitu wagumu kutoa mahari balaa [emoji57]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwaisa mtu mbad...
Nasikia ukigombana na mnyakyusa wewe ni hufai ktk jamii... Hawa watu wako peace sana wanajiamini na wanajipenda sana... Nikiongeza mke lazima nioe mnyakyusa... Wana nyota ya kutoboa kimaisha
Wenye hizo sifa ni wanaume.
Wanawake ni washari balaa.!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…