[emoji22][emoji22]Nawapenda sana aina nyie ila tatizo mapenzi yalishanikifu mkuu....we huoni ninavyochezea vichwa vya watu humu....naburudika kufanya Ivo Lakini moto wa kuwa na Mpenz sina....hata Ivo mwisho wa siku tunazikwa.Nayachukia mapenzi kiukweli
Hao wanao fanya hivyo ni wasafwa sio wanyakyusaKwenye kile kipindi cha Matukio cha Redio Free asilimia kubwa ya matukio yalikua yanatoka mbeya. Mara mtu kachunwa ngozi mara mtu kunyonywa damu[emoji28]
Hapana mkuu.....mheshimiwa spika ...kwao ni bulyaga....coz mm now npo msasaniMheshimiwa kwao nadhani ni Mwakaleli. Bulyaga ni Tukuyu Town ipo karibu na Bomani, Ujenzi,Msasani.
Yule hata sisi wanyakyusa tunamshangaa[emoji23][emoji23]Yule wa mjengoni mbona hayuko hivi au yeye ni wa Mbeya mjini?
Ha haaa ......karibu mabonde...msasaniNdiyo mkuu
Wanyakyusa mademu wengi wanamizigo balaa , mfano masogange, ambalulu, gigimoney nk wengine sio maarufu but wamebarikiwa kuwa na mizigo nyumaHivi Kuna mnyaki pisi kali??πΆπΆ
Asante Sana mkuuHa haaa ......karibu mabonde...msasani
ππππ[emoji22][emoji22]
Pole kwa yaliyokukuta
Kabisa yaanUnaweza Kuta mwanao huyu.
Na wanyihaHao wanao fanya hivyo ni wasafwa sio wanyakyusa
niliwahi kwenda bukoba nikawa nasalimiwa kihaya wakijua natokea huko.Alafu utakuta Ni mrefu[emoji23][emoji23]....lazima uitwe mhaya........aka koku
Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
Hapana mkuu.....mheshimiwa spika ...kwao ni bulyaga....coz mm now npo msasani
Ngukukoma ugwe [emoji3][emoji3]Weusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)[emoji6]
Si bure tabia zote nlizoorodhesha hapo unazo.Pole sana tushakujuaAcha uongo huoni aibu?
Nguganile Fijo, ulimundumbula jangu