Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Heaven Sent kumbe kipaji unacho ila umekikalia tu🙆🙆🙆
 
Wanyakyusa wengi ni walokole.....kwanza kumwombea mnyakyusa pepo alipuke sio rahisi ni shughuli kweli kweli kwasababu wengi wao wanasumbuliwa na mapepo ya mamizimu hayatokagi kizembe ndio maana watumishi wa kule wamesimama...wanyakyusa wanamazindiko makubwa ndio maana mizimu yao ni mikali sana..halafu wengi wanamatege
 
Heaven Sent Saint Anne mama Mchungaji toeni neno tafadhali juu ya tuhuma hizi😅
Eti wengi wana matege🏃
 
Duuuh
 
Me wananiambiaga maspota ige[emoji1787][emoji1787] wanajuaga me mhaya kumbe hayo maspota yenyewe siyajui [emoji849][emoji849]sijui wanaiona sifa GANI ya kihaya kwangu hapo tukiondoa umalaya na misifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…