Heaven Sent kumbe kipaji unacho ila umekikalia tu🙆🙆🙆Ndio ushangae sasa mimi ninavyojua wanyakyusa ni watu wa misifa amshaamsha kama zote maneno kibao! Na ndio maana wanaongoza kuteka akili za watu kwa maneno tu we chukulia mfano pastor mgogo, mzee wa upako, burudozer, na wengine wengi bila kumsahau babu wa loliyondo aliye wauzia vikombe maelfu ya watu. Hawa jamaa wako vzr hata ukifwatili tasnia ya habari, Michezo, na burudani wamejaa sana huko.
Ukofwike indungu....Wanyakyusa mi magenius kweny elimu ya kibongo ,Wana vipaji haswa mpira damu
Ila ni washamba kama nyie wasukuma tu!mnfanana kabisa
Alafu utakuta Ni mrefu[emoji23][emoji23]....lazima uitwe mhaya........aka kokuNapendaga kununua expensive shits, nahisi hilo [emoji23] ila niko humble kweli
Uligwakughu[emoji23][emoji23]Tulipo wakukaja.
Kmmmmk[emoji23][emoji23][emoji23] unatuznguaaa wanyakyusaWanakuwaga na sura za mviringo na mashavu yaliyoanzia kwenye macho huku lipsi zikiwa zimenyanyuka kwa sababu ya kusalimiana "Tununu" daily .
Bulyaga kwa kina tulia?????Tukuyu bulyaga,Uyole ni wasafwa
Hahah iyo point nilitaka kuiandika apa[emoji23][emoji23]Hebu kapicha tuone pua, ukute ndio maana.
Hivi Kuna mnyaki pisi kali??[emoji124][emoji124]
Heaven Sent Saint Anne mama Mchungaji toeni neno tafadhali juu ya tuhuma hizi😅Wanyakyusa wengi ni walokole.....kwanza kumwombea mnyakyusa pepo alipuke sio rahisi ni shughuli kweli kweli kwasababu wengi wao wanasumbuliwa na mapepo ya mamizimu hayatokagi kizembe ndio maana watumishi wa kule wamesimama...wanyakyusa wanamazindiko makubwa ndio maana mizimu yao ni mikali sana..halafu wengi wanamatege
DuuuhWeusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)[emoji6]
Na wahaya ukiwa mfupi wanajua mruguru au mpareUkishakuwa mweusi ni kigezo tosha kuwa mwaisaa...ni kama ilivyo kigezo cha waha..ukishakuwa mfupi ni uthibitisho tosha
Sio koku ruta kabisa😂Alafu utakuta Ni mrefu[emoji23][emoji23]....lazima uitwe mhaya........aka koku
Mimi huwa WANAJUA mhaya,au mnyambo wengine eti mtutsi japo ni kweli mama mnyambo mnyankole Baba mrangi wa Kulee!!Na wahaya ukiwa mfupi wanajua mruguru au mpare
Ndiyo mkuuBulyaga kwa kina tulia?????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we wanakyusa hawako kama wewe muulize wasira kabila lake ndio lakoHapana nafanana na S.Wasira but tall and dark