Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
I mean Sorry afu nashukuru sanaWhat???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mean Sorry afu nashukuru sanaWhat???
Mungasulwa[emoji5]
Usafi na kujipenda hasa kutupia vitu vizuri ndio jadi yetu. Huwezi kuta tunapiga code za hovyo. Wapo babu zetu ni very smart mnooo. Nguo zinapigwa pasi hadi uzeeniKama ulivaa mashati ya kung’aa na suruali pana za vitambaa ukachomekea labda ndio sababu unaitwa mnyakyusa
Vimetumika sana kama sare ya kwayaHivi kwanini watu wana associate kitambaa mixer vitenge na ulokole [emoji23]
Daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji871][emoji871]Weusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)[emoji6]
Mwambie Kwa lugha ya kwao lazima akuelewe "Nguganile Fijo, ulimundumbula jangu"amadala itapendeza zaidi niambilie anifunze
Yeah,weupe wapo ila wachache sanaDaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji871][emoji871]
Mimi sio mweusi mbona [emoji2369][emoji2369]
Hapana, tajiri ni Mungu tu mazee.......Nshomile tajiri unachamba Kama vijana wa insta 😅
Haha!hapana mkuu..nahc tu mazingira ndo yamewafanya wawe cheuz mangala....mfno kuish kyela pale boda kwa lile joto hata kama ulikuwa ray kigosi lazma uwe kama bambo😅😅Pole yao. Mimi ni mweusi wa kuzaliwa. Vipi hawajaanza ulokole na kuvaa viatu vya mashangazi
Kwan nae ni mwaisa?🤣🤣🤣Jirani yangu Smart911 umeiona hii🤣🙌
No yeye ni mkurya...ila Mimi ndo mnyakyusaHaha!hapana mkuu..nahc tu mazingira ndo yamewafanya wawe cheuz mangala....mfno kuish kyela pale boda kwa lile joto hata kama ulikuwa ray kigosi lazma uwe kama bambo
Kwan nae ni mwaisa?
🤣🤣🤣Umeona.😜Nimeiona jirani... 🙂
Jirani tukienda ishi Urusi tutakua weupe kama makaratasi...
Aaah!wa uyole nini?No yeye ni mkurya...ila Mimi ndo mnyakyusa
Tukuyu bulyaga,Uyole ni wasafwaAaah!wa uyole nini?
acha masihara!?Mhaya na mhehe ndugu wa tumbo moja
Yewoooomi🤣🤣🤣🤣Acha wivu wewe. Sisi ndiyo utu na utulivu 🤣🤣🤣🤣