Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 665
- 1,360
Kuna jamaa hapa anauza Toyota Crown tena bei chee kweli mil. 7 na ipo kwenye hali nzuri ila hakuna wanunuzi
Wanadai ingekuwa IST wangeinunua
Wanadai ingekuwa IST wangeinunua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni namba gani hiyo crownKuna jamaa hapa anauza Toyota Crown tena bei chee kweli mil. 7 na ipo kwenye hali nzuri ila hakuna wanunuzi
Wanadai ingekuwa IST wangeinunua
Crown mbaya kwene matumizi ya mafuta,Kuna jamaa hapa anauza Toyota Crown tena bei chee kweli mil. 7 na ipo kwenye hali nzuri ila hakuna wanunuzi
Wanadai ingekuwa IST wangeinunua
Ukioshewa gari ukae hapo hapo...fundi wa gari asijue unapoishi au kazini kwakoKuna dada mmoja alikua anadrive harrier..bas akawa anampelekea kaka mmoja aioshe...anamwachia anarudi zake kazini...huyu dogo alikua form 6 leaver hana mishe....
Anahvyodai walitokea wakaka wakamwambia huu ndo utajiri wako... wakamfundisha ulaghai...naskia kichonga key ni dk 1...so wakachonga key wakamchorea ramani fresh...mwaka.jana dada wa watu kaibiwa gari akiwa kazini...
Naskia ni risk mno kumwachia gari na keys muosha magari..wanachonga keys unakuja ibiwa siku isiyo na jina....dogo yuko ndani mpka leo
Toyota type...Noah, ist etcZinazoibiwa sana ni zipi mkuu
Harrier tako la nyaniGari zinazoibiwa ni zinazouzika kirahisi
Lile ni jini mnyonya weseCrown mbaya kwene matumizi ya mafuta,
Ni kuwa makin tu gar zinachongewa ufunguo zilizo potea hata bila funguo yake kuwepoKuna dada mmoja alikua anadrive harrier..bas akawa anampelekea kaka mmoja aioshe...anamwachia anarudi zake kazini...huyu dogo alikua form 6 leaver hana mishe....
Anahvyodai walitokea wakaka wakamwambia huu ndo utajiri wako... wakamfundisha ulaghai...naskia kichonga key ni dk 1...so wakachonga key wakamchorea ramani fresh...mwaka.jana dada wa watu kaibiwa gari akiwa kazini...
Naskia ni risk mno kumwachia gari na keys muosha magari..wanachonga keys unakuja ibiwa siku isiyo na jina....dogo yuko ndani mpka leo
Halafu anaitumia wapi hiyo gari?Kuna dada mmoja alikua anadrive harrier..bas akawa anampelekea kaka mmoja aioshe...anamwachia anarudi zake kazini...huyu dogo alikua form 6 leaver hana mishe....
Anahvyodai walitokea wakaka wakamwambia huu ndo utajiri wako... wakamfundisha ulaghai...naskia kichonga key ni dk 1...so wakachonga key wakamchorea ramani fresh...mwaka.jana dada wa watu kaibiwa gari akiwa kazini...
Naskia ni risk mno kumwachia gari na keys muosha magari..wanachonga keys unakuja ibiwa siku isiyo na jina....dogo yuko ndani mpka leo
Njoo PM nikuelekezeHabari wakuu.
Kuna kitu hua nashindwa kukielewa hasa wizi wa magari.
Je wizi wa gari unafanyikaje kama gari imefungwa.
Je unakutamwizi ana funguo ya ziada ama nini kinafanyika.
Je kwa gari ambazo ni keyless za push to start pia zinaibiwaje maana nyingine kama hujaingia na ufunguo haiondoki.
Naomba kufahamishwa wizi unafanyikaje.
Ahsante.
kwa hiyo unataka upate mbinu za kuiba sio?Habari wakuu.
Kuna kitu hua nashindwa kukielewa hasa wizi wa magari.
Je wizi wa gari unafanyikaje kama gari imefungwa.
Je unakutamwizi ana funguo ya ziada ama nini kinafanyika.
Je kwa gari ambazo ni keyless za push to start pia zinaibiwaje maana nyingine kama hujaingia na ufunguo haiondoki.
Naomba kufahamishwa wizi unafanyikaje.
Ahsante.
Mfano nafanya kazi AIRWING hapa JWTZ?Ukioshewa gari ukae hapo hapo...fundi wa gari asijue unapoishi au kazini kwako
1. Alarm system...kuna kifaa chenye nguvu kubwa zaidi ya alarm uliyofunga hicho kikisetiwa alarm yako inakuwa boko watu wanafanya yao
2. Kwenye carwash na garage za uchochoroni, ukiacha funguo vijana wasio waaminifu wanaikandamiza kwenye kipande cha sabuni au wanaichora kwenye karatasi wanawapa wezi wakachonge nyingine, kifuatacho hapo ni kilio
3.Keyless/push start wanakuwa na kijimtambo kidogo cha kuhack hiyo system na kui command watakavyo, baada ya hapo wanaamua tu sasa wafanye nini kwenye hiyo gari
4. Japo kwa uchache sana, unavamiwa na kuporwa gari live
Habari wakuu.
Kuna kitu hua nashindwa kukielewa hasa wizi wa magari.
Je wizi wa gari unafanyikaje kama gari imefungwa.
Je unakutamwizi ana funguo ya ziada ama nini kinafanyika.
Je kwa gari ambazo ni keyless za push to start pia zinaibiwaje maana nyingine kama hujaingia na ufunguo haiondoki.
Naomba kufahamishwa wizi unafanyikaje.
Ahsante.
Wanauza ...wanajua wenyewe wanabadilishaje nambaHalafu anaitumia wapi hiyo gari?
Duh...sasa kwa kupeleka kuosha unakuaje makini? Ukae hapo au?Ni kuwa makin tu gar zinachongewa ufunguo zilizo potea hata bila funguo yake kuwepo