Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Haimaanishi wote waliofunga ndoa wanaishi pamoja, wapo pia walioachana; ila wote walifunga ndoa. Kwa hiyo kuna kitu kinachoitwa utaratibu.Waliozikwa kwa sala wamefufuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haimaanishi wote waliofunga ndoa wanaishi pamoja, wapo pia walioachana; ila wote walifunga ndoa. Kwa hiyo kuna kitu kinachoitwa utaratibu.Waliozikwa kwa sala wamefufuka?
Mkuu kwa pole sana masikitiko mengi sana.Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki.
Lililonileta ni kuwa nimekuwa sipendezwi na imani yoyote haswa hizi za dini naona kama uongo na ni mifumo ya watu fulani hapa namanisha Ukristu na madhehebu yake yote naona kama udwanzi na uislam ndo kabisa siulewagi kabisa kwa kifupi siamini kama Mungu yupo(nina ground zangu) na kama yupo hatambui hii mifumo iliyowekwa na makundi ya binadamu(dini) na hana uwezo huo anaosifiwa na dini zote zilizoanzishwa.
Nimegundua kwenye kuifuata dini tunapoteza muda tu na hela mfano mimi huu mwaka wa 5 anaenda kanisani ni wife tu ila hajawahi leta chochote kutoka KANISANI zaidi ya sisi kupeleka vitu kibao include hela zetu(sadaka,zaka na michango mingine) na mavuno zaidi zaidi kuna matawi ya muwese la enzi za kuanza kwa mfungo wa kwa resma na bado hayo matawi alienda nayo yeye likabalikiwa akalileta home pamoja na maji ya baraka.
Changamoto niliyonayo ni kuwa wife kajiunga kwenye jumuia alafu huwa anawapa namba yangu viongozi wa jumuia na nimezinguana nae sana kwa hilo swala kiasi kwamba wananisumbua kwa kuniletea ma bahasha mengi ambayo hata nikitoa siamini kama lolote naongezewa zaidi zaidi naona kama napungukiwa kwa sababu natoa kitu live alafu narudishiwa ahadi ya kubarikiwa ambapo siwezi pima hizo baraka kama zinahusiana na kusali au kutoa kwangu.
OMBI LANGU
Nisaidien mbinu za kukwepa ushiriki wa hizi habari za kusali jumuia au kanisani maana nahisi wameona kuna magari matatu yard kwangu ndio maana wananisakama na ndio maana nikiweka hela ndogo kwenye bahasha wanapanic kuwa "huyu sio wa kuchangia elf 20". Kuna siku walifanya uchaguzi wakanichagua kuwa Mhasibu/Mweka hazina wa parokia na huku kwenye jumuia wakanichagua kuwa katibu wa jumuia nilishangazwa na uchaguzi wao wa kushinda bila kushiriki ikabidi nikatae kwa kisingizio cha muda wangu hautoshi kutokana na nature ya kazi yangu na wakataka kulazimisha sana ila walishindwa.
In short najiuliza nawezaje kuwatoka kistaarabu na wakatambua kuwa mimi sihitaji kuwa mshiriki wa hizi imani maana imani yangu mimi nikufight na maisha na kuinjoy matokeo kwa kuwekeza nguvu na akili chache nilizonazo.Naomba ushauri ili kuepuka kuwakwaza majirani na watu tunaoheshimiana nao wasije ona nimejaa kiburi kumbe mimi nimeona kuwa nawekeza effort za kufungua mlango uliochorwa ukutani.
Jamii kushiriki nayo kwenye mambo mengine nahitaji ila sio haya mambo ya kusali pamoja nipo tayari kama kuna umoja wa kuchangiana au kuwa na kikundi cha kusaidiana kwenye raha na shida ila sio hivi vikundi vya dini vikekaa kinyonyaji sana yaani wanatupa hewa(maombi) sisi tunawapa vitu tangible n valuable.
Hapana uzuri Rc uwa hawambembeleziSi wataniona najidai
Ndiyo naondoka hainiingii kichwani mifumo ya bahasha na michango yenu ambayo haina tija kama huyo Mungu yupo ROMAN CATHOLIC basi ataniua maana nimeijua kweli kuwa Dini ni wizi ambao umejikita mizizi yake kwenye vichwa vya waoga na wenye roho nyepesiKwanza unajichanganya mwenyewe kwenye maelezo yako. Unakaataje Mungu hayupo bila uwepo wake? Huwezi kukataa uwepo WA kitu bila kitu kenyewe Ku exist first. St Anselm, alisema wapumbavu husema hakuna Mungu, wakati mawazoni mwao the concept God is already there.
Tuje kwenye jumuiya na ukatoliki, hakuna kanisa katoliki bila jumuiya. Jumuiya ndogondogo ndio msingi WA kanisa lenyewe rejea kitabu cha matendo ya mitume kwenye agano jipya, wakiristu WA mwanzo mitume WA Yesu na wafuasi Wao waliishi maisha ya jumuiya. Waliweka vitu pamoja na kugawana kadiri ya mahitaji. Kwasasa ndani ya kanisa katoliki jumuiya zinatusaidia kujuana, kusali pamoja na kusaidiana.
Umesema umebatizwa, umepokea komunyo na kipaimara na ndoa ndani ya kanisa katoliki lakini hujaelewa Imani ya kanisa katoliki. Kanisa katoliki linafundisha juu ya Imani na halilazimishi wala kutafuta waumini wabakie ni hiyari yako kama unaona kanisa katoliki si mahali pako nakushauri uondoke huna sababu ya kukwepa jumuiya.
Ungekuwa kitandani unapambania uhai, usingeandika huu upumbavu!!Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki.
Lililonileta ni kuwa nimekuwa sipendezwi na imani yoyote haswa hizi za dini naona kama uongo na ni mifumo ya watu fulani hapa namanisha Ukristu na madhehebu yake yote naona kama udwanzi na uislam ndo kabisa siulewagi kabisa kwa kifupi siamini kama Mungu yupo(nina ground zangu) na kama yupo hatambui hii mifumo iliyowekwa na makundi ya binadamu(dini) na hana uwezo huo anaosifiwa na dini zote zilizoanzishwa.
Nimegundua kwenye kuifuata dini tunapoteza muda tu na hela mfano mimi huu mwaka wa 5 anaenda kanisani ni wife tu ila hajawahi leta chochote kutoka KANISANI zaidi ya sisi kupeleka vitu kibao include hela zetu(sadaka,zaka na michango mingine) na mavuno zaidi zaidi kuna matawi ya muwese la enzi za kuanza kwa mfungo wa kwa resma na bado hayo matawi alienda nayo yeye likabalikiwa akalileta home pamoja na maji ya baraka.
Changamoto niliyonayo ni kuwa wife kajiunga kwenye jumuia alafu huwa anawapa namba yangu viongozi wa jumuia na nimezinguana nae sana kwa hilo swala kiasi kwamba wananisumbua kwa kuniletea ma bahasha mengi ambayo hata nikitoa siamini kama lolote naongezewa zaidi zaidi naona kama napungukiwa kwa sababu natoa kitu live alafu narudishiwa ahadi ya kubarikiwa ambapo siwezi pima hizo baraka kama zinahusiana na kusali au kutoa kwangu.
OMBI LANGU
Nisaidien mbinu za kukwepa ushiriki wa hizi habari za kusali jumuia au kanisani maana nahisi wameona kuna magari matatu yard kwangu ndio maana wananisakama na ndio maana nikiweka hela ndogo kwenye bahasha wanapanic kuwa "huyu sio wa kuchangia elf 20". Kuna siku walifanya uchaguzi wakanichagua kuwa Mhasibu/Mweka hazina wa parokia na huku kwenye jumuia wakanichagua kuwa katibu wa jumuia nilishangazwa na uchaguzi wao wa kushinda bila kushiriki ikabidi nikatae kwa kisingizio cha muda wangu hautoshi kutokana na nature ya kazi yangu na wakataka kulazimisha sana ila walishindwa.
In short najiuliza nawezaje kuwatoka kistaarabu na wakatambua kuwa mimi sihitaji kuwa mshiriki wa hizi imani maana imani yangu mimi nikufight na maisha na kuinjoy matokeo kwa kuwekeza nguvu na akili chache nilizonazo.Naomba ushauri ili kuepuka kuwakwaza majirani na watu tunaoheshimiana nao wasije ona nimejaa kiburi kumbe mimi nimeona kuwa nawekeza effort za kufungua mlango uliochorwa ukutani.
Jamii kushiriki nayo kwenye mambo mengine nahitaji ila sio haya mambo ya kusali pamoja nipo tayari kama kuna umoja wa kuchangiana au kuwa na kikundi cha kusaidiana kwenye raha na shida ila sio hivi vikundi vya dini vikekaa kinyonyaji sana yaani wanatupa hewa(maombi) sisi tunawapa vitu tangible n valuable.
Wahindi wanachomwa moto unataka kuniambia kuwa adhabu ya moto itawahusu tena
Chochote kikifanyika mara kwa mara ni utaratibu, mzuri au mbaya ni juu yakoHaimaanishi wote waliofunga ndoa wanaishi pamoja, wapo pia walioachana; ila wote walifunga ndoa. Kwa hiyo kuna kitu kinachoitwa utaratibu.
Martin Luther aliondoka na kanisa limeendelea itakuwa wewe nenda mwanakwendaNdiyo naondoka hainiingii kichwani mifumo ya bahasha na michango yenu ambayo haina tija kama huyo Mungu yupo ROMAN CATHOLIC basi ataniua maana nimeijua kweli kuwa Dini ni wizi ambao umejikita mizizi yake kwenye vichwa vya waoga na wenye roho nyepesi
Na wewe baki na ukondoo wako ukistuka kuwa unaliwa utanifuata kwa ushauri.Martin Luther aliondoka na kanisa limeendelea itakuwa wewe nenda mwanakwenda
Alipambania uhai papa Paulo wa pili akafa sembuse mimi.Ungekuwa kitandani unapambania uhai, usingeandika huu upumbavu!!
Ndio maana hujui nini maana ya kanisa, sasa wewe unataka Utoe pesa upate Vitu kwa kanisa . Kanisa haliendi hivyo, kanisa kwa maana hasa ya Imani linakusaidia kwenye mambo ya kiroho yanakuwezesha kupata Baraka zinazokuwezesha kupata Mali na vitu vitakavyokuwezesha kuendesha maisha. Vitu au Mali haviwezi kumtosheleza mtu ila mtu anatosheka kwa Mungu tu. Kanisa linaendeshwa na waumini kwa Michango Yetu.Na wewe baki na ukondoo wako ukistuka kuwa unaliwa utanifuata kwa ushauri.
Kuna siku niliitwa kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya Sundey school ya parokia nikaropoka bundle mbili za bati na kweli walinikomalia nikazipeleka tena walikuwa na kigezo kuwa wanataka kampuni ya ALAF na inatakiwa tupeleke hela nikapeleka milion moja ikaja siku nikasema ngoja niwatest nikachelelewesha ada coz mtoto wangu yupo pale anasoma shule ile ile si wakanipigia simu na wakamrudisha aisee NILIGUNDUA KUWA WANATUONA SISI NI NG'OMBE ZA KANISA WHY MIMI NA HISA YA KUCHANGIA UJENZI WA SHULE ALAFU KUCHELEWA KIDOGO TU KULIPA ADA DOGO AKARUDISHWA
Mimi niliona sheh anapiga simu jamaa mmoja anauliza sadaka na ujenzi wa msikitiKuwa Muislam.
Uislam hauna chenga chenga, umenyooka.
Mbona waafrica pia ni wanyonyaji walikuwa wanazika machifu na watu waliopo haiHiyo sio Imani yetu ni ya wazungu wanyonyaji
Hizo ibada ndio kasema hataki kujumuika pamojaNjia rahisi ni kuwakwepa kwepa kijanja hivyo hivyo. Ikitokea event yoyote unatengeneza excuse usijumuike nao ingawa usiache kwenda katika ibada. Mwishoe watachoka na kukupotezea. Kwetu sisi introverts ni kazi rahisi mno hiyo.
Hakika umenena vyema Mkuu Ndio maana YESU alisema hivi 👇Sasa hapo unaanza kufunguka! Believe me or not I don't care! Hizi dini zoote kwa majina yake nyuma yake hiko roho inayokamata fahamu na kuamini unamtumikia Mungu lakini kiundani unatumikia taasisi za kinyonyaji za kibepari na kibwenyenye zilizojenga mtandao na kufungamana na nguvu za giza! Kama wewe ni wa hiyo dini kama ulivyosema na hiyo dini ndo iliyokufungisha ndoa umefungamana na madhabahu ya hiyo dini na hiyo roho ukitaka kuihasi lazima uhadhibiwe na mwisho watasema "unaona? Mungu kaanza kumpiga"! Broh! Kuna njia moja tu ya kukimbia dini nayo kuokoka! Just you and your faith in Jesus Christ! You don't even need to go to divinity churches! Unaweza kuvuta nguvu za Mungu ukiomba na kusikiliza mafundisho sahihi na kusimama kivyako na ukatoboa bila kutishwa na kupigwa na maroho ya mashetani yaliyomo kwenye dini! Maroho ya dini yana nguvu kuliko wachawi!