Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Naona wapumbavu wanaongezeka sana kwa kasi. Jumuiya ni kitu kilikuwepo enzi na enzi. Ukiwa mkatoliki safi huwezi kulaumu jumuiya. Haya malalamiko yako kwa mkeo ni upuuzi mtupu. Tena shukuru sana mkeo amejikita kufuata ukatoliki ambao hauna mambo mengi. Ukiendelea hivyo basi mkeo ataachana na mambo ya jumuiya na kujiunga na kina Pastor Tony Kapola au manabii feki wengine... kuanzia hapo ndo utajua kwanini nyoka hana miguu ila anakimbia. Wewe kama hutaki mambo ya dini kausha tu kimyakimya unakwepa ila sio kuanza kashfa na malalamiko ya kingese.
Hizi jumuiya zitakuja kufa kadri maisha yanavyosonga. Hata Ulaya a marekani zilikuwepo enzi hizo lakini sasa hivi hakuna anayezitaka maana wameona hazina maana na pia watu sanataka privacy sio kila mtu apajue nyumbani kwako kiundani.
 
Kuzikwa utazikwa tu. Hao makatoliki wanatisha watu tu. Hivi padre kule makaburini huwa anahusika kuchimba kabari? Jibu: Hapana. Je huwa anashiriki kuibgiza marehemu ndani ya kaburi? Jibu: HAPANA. Je huwa anashuriki kujaza udongo kwenye kaburi? Jibu: Hapana. Je padre kwenye mazishi ana kazi gani ya maana? Jibu: HAKUNA.
Yule kijana aliyejinyonga kule Tanga akiwa ansomea upadre hakuzikwa na kanisa eti wala hakukuwa na ibada. Majirani na ndugu waliingiza mwili kaburini akazikwa. Yaani ni mambo ya ajabu sana, eti sheria zao haziruhusu.
 
Mtoa mada ameonesha ujasiri walau wa kuleta jf ila sio kuwaambia mubashara. Suala la michango makanisani imekuwa kero sana kwa watu wengi. Kama unasali na hujajipata usahau kufanikiwa kama kila mchango unatoa kama wanavyohamasisha. Kwenye hii Dunia unatakiwa utende wema, usiharibie mwenzako, kufanya kazi kwa bidii na kujilinda mwenyewe ukiomba Mungu akusaidie kwa hilo
 
Siku hayo magari yakiondoka na pesa nayo ikaondoka utawatafuta watumishi wa Mungu kwa bidii. Pia ukizeeka ndio utaanza kumtafuta Mungu. Na ukifa ndio utaanza kwenda kanisani na kwenye jumuiya ili uzikwe na Kanisa.

Mungu yupo, tofautisha ubabaishaji wa wanadamu na uaminifu wa Mungu. Sapoti Kanisa lako kuna faida za kuwa mwanachama huko ila angalia pia usibaki kwenye mambo ya kidini tu, faidi nguvu za Yesu na mambo yake mazuri kama ulinzi na mengi mengine. Jifunze zaidi MAARIFA YA KIROHO, usibaki kwenye mazoea ya dini pekee, yanaua!
Wachina hawamjui Yesu wala Mtume so MUNGU atawachoma wote au?
 
Kwa niaba ya wana jumuiya tumeshakujuwa, kumbe ndiyo maana Ulitaka kutugonga na Gari lako siku za nyuma tulipompitia mke wako. Fedha na Mali unazoringia na kututangaza huku jf siyo tabia nzuri kuna siku utatutafuta alafu tutakuwa bize na waumini wengine.
 
Maisha yetu yamejaa utoaji,utafanya kwa hiari au lazima ,usijidikie vibaya kutoa
Tutoe kwenye mrejesho wa kuonekana sio tunatishana Mungu Yesu alafu tunashibisha familia zao ila sisi tukikwama hatuna pa kukimbilia
 
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki.

Lililonileta ni kuwa nimekuwa sipendezwi na imani yoyote haswa hizi za dini naona kama uongo na ni mifumo ya watu fulani hapa namanisha Ukristu na madhehebu yake yote naona kama udwanzi na uislam ndo kabisa siulewagi kabisa kwa kifupi siamini kama Mungu yupo(nina ground zangu) na kama yupo hatambui hii mifumo iliyowekwa na makundi ya binadamu(dini) na hana uwezo huo anaosifiwa na dini zote zilizoanzishwa.

Nimegundua kwenye kuifuata dini tunapoteza muda tu na hela mfano mimi huu mwaka wa 5 anaenda kanisani ni wife tu ila hajawahi leta chochote kutoka KANISANI zaidi ya sisi kupeleka vitu kibao include hela zetu(sadaka,zaka na michango mingine) na mavuno zaidi zaidi kuna matawi ya muwese la enzi za kuanza kwa mfungo wa kwa resma na bado hayo matawi alienda nayo yeye likabalikiwa akalileta home pamoja na maji ya baraka.

Changamoto niliyonayo ni kuwa wife kajiunga kwenye jumuia alafu huwa anawapa namba yangu viongozi wa jumuia na nimezinguana nae sana kwa hilo swala kiasi kwamba wananisumbua kwa kuniletea ma bahasha mengi ambayo hata nikitoa siamini kama lolote naongezewa zaidi zaidi naona kama napungukiwa kwa sababu natoa kitu live alafu narudishiwa ahadi ya kubarikiwa ambapo siwezi pima hizo baraka kama zinahusiana na kusali au kutoa kwangu.

OMBI LANGU
Nisaidien mbinu za kukwepa ushiriki wa hizi habari za kusali jumuia au kanisani maana nahisi wameona kuna magari matatu yard kwangu ndio maana wananisakama na ndio maana nikiweka hela ndogo kwenye bahasha wanapanic kuwa "huyu sio wa kuchangia elf 20". Kuna siku walifanya uchaguzi wakanichagua kuwa Mhasibu/Mweka hazina wa parokia na huku kwenye jumuia wakanichagua kuwa katibu wa jumuia nilishangazwa na uchaguzi wao wa kushinda bila kushiriki ikabidi nikatae kwa kisingizio cha muda wangu hautoshi kutokana na nature ya kazi yangu na wakataka kulazimisha sana ila walishindwa.

In short najiuliza nawezaje kuwatoka kistaarabu na wakatambua kuwa mimi sihitaji kuwa mshiriki wa hizi imani maana imani yangu mimi nikufight na maisha na kuinjoy matokeo kwa kuwekeza nguvu na akili chache nilizonazo.Naomba ushauri ili kuepuka kuwakwaza majirani na watu tunaoheshimiana nao wasije ona nimejaa kiburi kumbe mimi nimeona kuwa nawekeza effort za kufungua mlango uliochorwa ukutani.

Jamii kushiriki nayo kwenye mambo mengine nahitaji ila sio haya mambo ya kusali pamoja nipo tayari kama kuna umoja wa kuchangiana au kuwa na kikundi cha kusaidiana kwenye raha na shida ila sio hivi vikundi vya dini vikekaa kinyonyaji sana yaani wanatupa hewa(maombi) sisi tunawapa vitu tangible n valuable.
Okoka uachane na mafarisayo na masadukayo.
 
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki.

Lililonileta ni kuwa nimekuwa sipendezwi na imani yoyote haswa hizi za dini naona kama uongo na ni mifumo ya watu fulani hapa namanisha Ukristu na madhehebu yake yote naona kama udwanzi na uislam ndo kabisa siulewagi kabisa kwa kifupi siamini kama Mungu yupo(nina ground zangu) na kama yupo hatambui hii mifumo iliyowekwa na makundi ya binadamu(dini) na hana uwezo huo anaosifiwa na dini zote zilizoanzishwa.

Nimegundua kwenye kuifuata dini tunapoteza muda tu na hela mfano mimi huu mwaka wa 5 anaenda kanisani ni wife tu ila hajawahi leta chochote kutoka KANISANI zaidi ya sisi kupeleka vitu kibao include hela zetu(sadaka,zaka na michango mingine) na mavuno zaidi zaidi kuna matawi ya muwese la enzi za kuanza kwa mfungo wa kwa resma na bado hayo matawi alienda nayo yeye likabalikiwa akalileta home pamoja na maji ya baraka.

Changamoto niliyonayo ni kuwa wife kajiunga kwenye jumuia alafu huwa anawapa namba yangu viongozi wa jumuia na nimezinguana nae sana kwa hilo swala kiasi kwamba wananisumbua kwa kuniletea ma bahasha mengi ambayo hata nikitoa siamini kama lolote naongezewa zaidi zaidi naona kama napungukiwa kwa sababu natoa kitu live alafu narudishiwa ahadi ya kubarikiwa ambapo siwezi pima hizo baraka kama zinahusiana na kusali au kutoa kwangu.

OMBI LANGU
Nisaidien mbinu za kukwepa ushiriki wa hizi habari za kusali jumuia au kanisani maana nahisi wameona kuna magari matatu yard kwangu ndio maana wananisakama na ndio maana nikiweka hela ndogo kwenye bahasha wanapanic kuwa "huyu sio wa kuchangia elf 20". Kuna siku walifanya uchaguzi wakanichagua kuwa Mhasibu/Mweka hazina wa parokia na huku kwenye jumuia wakanichagua kuwa katibu wa jumuia nilishangazwa na uchaguzi wao wa kushinda bila kushiriki ikabidi nikatae kwa kisingizio cha muda wangu hautoshi kutokana na nature ya kazi yangu na wakataka kulazimisha sana ila walishindwa.

In short najiuliza nawezaje kuwatoka kistaarabu na wakatambua kuwa mimi sihitaji kuwa mshiriki wa hizi imani maana imani yangu mimi nikufight na maisha na kuinjoy matokeo kwa kuwekeza nguvu na akili chache nilizonazo.Naomba ushauri ili kuepuka kuwakwaza majirani na watu tunaoheshimiana nao wasije ona nimejaa kiburi kumbe mimi nimeona kuwa nawekeza effort za kufungua mlango uliochorwa ukutani.

Jamii kushiriki nayo kwenye mambo mengine nahitaji ila sio haya mambo ya kusali pamoja nipo tayari kama kuna umoja wa kuchangiana au kuwa na kikundi cha kusaidiana kwenye raha na shida ila sio hivi vikundi vya dini vikekaa kinyonyaji sana yaani wanatupa hewa(maombi) sisi tunawapa vitu tangible n valuable.
Ulivyotaja tu magari 3 nimeacha kusoma.
 
Jifanye unasali dhehebu lingine. Wajue haujakimbia ukristo ila unasali dhehebu la baba yako. Mfano mimi mambo ya jumuiya yalinikera nikaamua kusali SDA sababu hawana hizo jumuiya.

Nikaja kugundua ukiondoa kusali jumamosi SDA taratibu zao tamu sana kwa mtu asiye na mambo mengi
Haujui ukichokiamini. Hapo umekwepa ukristo. Yesu alitufia msalabani ili tumtumikie. Ukishindwa kutumika kama huyo mtka mada maana yake umeukataa ukristo. Hapo siyo inshu ya SDA. Inshunninkuktumikia Mungu wapi na kwa namna gani hapo ndiyo kisanga ila si kusema hawana mambo mengi. Mungu ana mambo mengi ambayo anataka mtu ayafanye. Kalaghabaho.
 
Haujui ukichokiamini. Hapo umekwepa ukristo. Yesu alitufia msalabani ili tumtumikie. Ukishindwa kutumika kama huyo mtka mada maana yake umeukataa ukristo. Hapo siyo inshu ya SDA. Inshunninkuktumikia Mungu wapi na kwa namna gani hapo ndiyo kisanga ila si kusema hawana mambo mengi. Mungu ana mambo mengi ambayo anataka mtu ayafanye. Kalaghabaho.

Acha ujinga wewe. Hata Yesu mwenyewe hakuwa mkristo

Ukitaka kumtawala mtu mpe hofu kwanza. Nyinyi ndio wapuuzi mmejazwa hofu. Ili mtawaliwe na wajanja wenye makanisa yao.

Yesu sio Mungu hata wayahudi wenzake wanamkataa na kumuona tapeli tu.

Kwanza Kanisani tunaenda ku socialize tu sababu ni utamaduni tulioukuta kwa wazazi wetu. Ila tumeshajitambua tunajua dini ni utapeli tu
 
Acha ujinga wewe. Hata Yesu mwenyewe hakuwa mkristo

Ukitaka kumtawala mtu mpe hofu kwanza. Nyinyi ndio wapuuzi mmejazwa hofu. Ili mtawaliwe na wajanja wenye makanisa yao.

Yesu sio Mungu hata wayahudi wenzake wanamkataa na kumuona tapeli tu.

Kwanza Kanisani tunaenda ku socialize tu sababu ni utamaduni tulioukuta kwa wazazi wetu. Ila tumeshajitambua tunajua dini ni utapeli
Soma tena paragraph zako mbili za mwisho. Wewe siyo Mkristo. Mkristo ni yule anayemfata Kristo. Wewe unafata wazazi. Ukristo siyo dini ni Imani na huna hiyo Imani. Tuachie tunaojua tunachokiamini. Pia, tangu leo fahamu msabato siyo mkristo.
 
Kizazi kinapotea, pita hapa na upige kura yako

 
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki.

Lililonileta ni kuwa nimekuwa sipendezwi na imani yoyote haswa hizi za dini naona kama uongo na ni mifumo ya watu fulani hapa namanisha Ukristu na madhehebu yake yote naona kama udwanzi na uislam ndo kabisa siulewagi kabisa kwa kifupi siamini kama Mungu yupo(nina ground zangu) na kama yupo hatambui hii mifumo iliyowekwa na makundi ya binadamu(dini) na hana uwezo huo anaosifiwa na dini zote zilizoanzishwa.

Nimegundua kwenye kuifuata dini tunapoteza muda tu na hela mfano mimi huu mwaka wa 5 anaenda kanisani ni wife tu ila hajawahi leta chochote kutoka KANISANI zaidi ya sisi kupeleka vitu kibao include hela zetu(sadaka,zaka na michango mingine) na mavuno zaidi zaidi kuna matawi ya muwese la enzi za kuanza kwa mfungo wa kwa resma na bado hayo matawi alienda nayo yeye likabalikiwa akalileta home pamoja na maji ya baraka.

Changamoto niliyonayo ni kuwa wife kajiunga kwenye jumuia alafu huwa anawapa namba yangu viongozi wa jumuia na nimezinguana nae sana kwa hilo swala kiasi kwamba wananisumbua kwa kuniletea ma bahasha mengi ambayo hata nikitoa siamini kama lolote naongezewa zaidi zaidi naona kama napungukiwa kwa sababu natoa kitu live alafu narudishiwa ahadi ya kubarikiwa ambapo siwezi pima hizo baraka kama zinahusiana na kusali au kutoa kwangu.

OMBI LANGU
Nisaidien mbinu za kukwepa ushiriki wa hizi habari za kusali jumuia au kanisani maana nahisi wameona kuna magari matatu yard kwangu ndio maana wananisakama na ndio maana nikiweka hela ndogo kwenye bahasha wanapanic kuwa "huyu sio wa kuchangia elf 20". Kuna siku walifanya uchaguzi wakanichagua kuwa Mhasibu/Mweka hazina wa parokia na huku kwenye jumuia wakanichagua kuwa katibu wa jumuia nilishangazwa na uchaguzi wao wa kushinda bila kushiriki ikabidi nikatae kwa kisingizio cha muda wangu hautoshi kutokana na nature ya kazi yangu na wakataka kulazimisha sana ila walishindwa.

In short najiuliza nawezaje kuwatoka kistaarabu na wakatambua kuwa mimi sihitaji kuwa mshiriki wa hizi imani maana imani yangu mimi nikufight na maisha na kuinjoy matokeo kwa kuwekeza nguvu na akili chache nilizonazo.Naomba ushauri ili kuepuka kuwakwaza majirani na watu tunaoheshimiana nao wasije ona nimejaa kiburi kumbe mimi nimeona kuwa nawekeza effort za kufungua mlango uliochorwa ukutani.

Jamii kushiriki nayo kwenye mambo mengine nahitaji ila sio haya mambo ya kusali pamoja nipo tayari kama kuna umoja wa kuchangiana au kuwa na kikundi cha kusaidiana kwenye raha na shida ila sio hivi vikundi vya dini vikekaa kinyonyaji sana yaani wanatupa hewa(maombi) sisi tunawapa vitu tangible n valuable.
Una hoja, japo wapuuzi watakushambulia.
 
We kenge Mungu unayemuabudu amekufanyia nini ambacho unaweza ukajitokeza hadharani kujidai kuwa alikupa yeye kwa ushahidi.Kuna watu kibao wanamuabudu Mungu na wanatoa hadi hela zao za kibindoni na bado wanagongwa njaa na dhiki kama kawaida.
Africa tuna akili nyeusi kama ngozi za ..... yaani tumeletewa Dini zao tumezishupalia kuliko hata dini zetu maana tulikuwa na Miungu yetu ambayo ni culture yetu(mizimu) tukaaminishwa mizimu ni ushirikina tukaachana nayo ama kweli ukiwa huna akili unaweza ukatupa dhahabu na ukaokota jiwe
ukiwa huna akili unaweza kutupa dhahabu na kuokota jiwe!
 
Back
Top Bottom