Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Mkuu kwanza usiache kusali mm ni mlokole mzuri sana ila sipendi kujiweka karibu sana na mambo kama hayo mm nkisha sali nkatoa sadaka mambo ya makundi huwa sizingatii sana sababu kuna vtu ni vgumu kule najua siwezi kuvitimiza.
 
🤔🤔🤔📝✍️
 
Left kwenye group la jumuiya, Ijumaa kesha club wakija home haupo, watakuja mara mbili tatu.....wasipokukuta hawatarudi tena
 
Kuwa Muislam.

Uislam hauna chenga chenga, umenyooka.
 
Jifanye chizi nenda jumuia ukiwa umejifunga taulo tu na bibilia mkononi.
 
Mtu mzima ufundishwe kukwepa watu?Are you serious?
 
Hata Ushoga ulianza na hoja kama hizi hizi, mwishowe unaanza kuenea kwa Kasi. Hili nalo ni eneo lingine la wanaompinga Mungu linavyoanza.

Hamia Freemason, wanamuabudu Shetani na pesa za kula Bata wanapata.
Hakuna sehemu yeyote kwenye mada ushoga ulipotajwa.

Ila wajinga kama wewe ndio machoko mnao fukunyuliwa huko nyuma mnawashwa washwa kuutaja taja ushoga kila mahali na kuja kuharibu nyuzi za watu.
 
Mungu amekuumba, unavuta pumzi bure. mshukuru kwa hayo
ila hizi mbilingembilinge za kutotaka kujumuika na wenzio isikufanye ukamkosea Mungu
Hakuna Mungu aliyeumba chochote.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Ninyi ndio mme muumba huyo mungu vichwani mwenu wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Mnahusishanisha vitu vilivyopo kuwa uthibitisho kwamba viliumbwa na fictional character mnayemuita mungu ambaye hata kuthibitisha hamuwezi.

Mnafanya, logical non sequitur.
 
huyu ossie sio jumuiya hataki kusikia hata dini kama ipo
Wenye c2 mkuje tusaidiane
 
Soma historia ya mtu aliyejulikana kwama Kingunge Ngombare Mwiru. Naona unachanganywa na "mafanikio" ya kumiliki magari
nk. Ipo siku itajutia kutokujua kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…