Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kukubali kulishwa uoga nao ni asili ya ujinga.Watanzania walilishwa limbwata la Uoga na Mwalimu Nyerere
Uoga mpaka kusema ukweli usiowaumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukubali kulishwa uoga nao ni asili ya ujinga.Watanzania walilishwa limbwata la Uoga na Mwalimu Nyerere
Uoga mpaka kusema ukweli usiowaumiza
Mimi nina vikundi vya kazini ,shule,ukoo,chuo na mtaani pia mke wangu vivyo hivyo vyote anavyo na mimi ni mchangiaji mzuri na ninavipenda kwa sababu ukipata matatizo unasaidiwa sawa sawa na wanavyochangiwa member wenzio sasa huku kwenye dini hata ukwame Mboga au ada hawawezi hata kukukopesha na mbaya zaidi wanatangaza makusanyo jinsi yalivyo makubwa ila hunufaiki nayo wewe muumini unabaki kuambiwa utabarikiwa huu ndo upuuzi ambao siutaki mimi yaani mi nilete hela live nyie mnipe ahadi hewa.Mimi ni MLOKOLE katika kanisa letu Kuna ministry hizi Ni familia za kiroho.......
Kwa kweli tume shikamana na sanaa tunaambatana mpaka Raha
NB: waswahili husema ""ukitaka kujua umuhimu wa matako Basi kalia kichwa""
Ndio kuna wafanyabiashara lakini Mungu yupo!Acha kumtisha ntuu wewe din zote biashara Acha ujinga
Kwani wewe ni mfuasi wake mnyoofu akulinde? Unajua namna zake?Una
Uhakika kama huyo Yesu wenu ananilinda juzi nipata hasara ya mil 9 mbona hakuniokolea hela zangu
Kwa namna hiyo paroko akiomba utamu wife anampa wanawake waliolalia sana kwenye dini akili zao ni km hazitoshi vizuri yani sijui wakoje si waislam wala wakristoKweli kwa jinsi mke wangu anavyomheshimu paroko mpaka huwa napanic Anamuita Paroko BABA Huku mikono kaifunga kama kakutana na Yesu mwenyewe
Elimu ndio ilikua changamoto enzi hizoKukubali kulishwa uoga nao ni asili ya ujinga.
Kwa nini atokomee kusikojulikana? Alale tu ndani.Mueleweshe mke wako asikuhusishe na mambo ya jumuiya. Yeye afanye kivyake.
Kanisani usiende..siku wanasali kwako jumuiya amka alfajiri utokomee kusikojulikana baadae urudi. Simple tu
Kama hizo sacrament huzihitaji huna haja ya kutoa, si ndio hivyo?mfano kwenye ujenzi kila mtu anapewa goli lake kutokana na tunavyomwona katika jamii na alivyobarikiwa huyu muumini aache kukwepa wakati huku anahitaji huduma za sakrameti za kanisa
Elimu ni ziada tu ya kuujua undani wako.Tunaanza na wewe kinafsi.Upoje?Elimu ndio ilikua changamoto enzi hizo
kwenye misiba mingi niliyohudhuria hawa watu wanaojifanya hawajihusishi na hizi jumuia huwa misiba yao inakuwaga pasua kichwa sana wakifa.Kingunge alifanya nini?
Hiyo sio Imani yetu ni ya wazungu wanyonyajiMbona rahisi tu, wala haukuhitaji kuandika gazeti. Waambie wewe ni mpagani wakung'ute mavumbi. Unaweza pia kumwandikia barua Paroko na nakala yake uwape. RC tunafundisha watu waelewe kwanza imani yao, lakini baada ya juhudi za kuwaelekeza, hatuwalazimishi
Atufafanulie kwa faida ya wengi..Kingunge alifanya nini?
Hata wewe haupoHakuna Mungu aliyeumba chochote.
Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Ninyi ndio mme muumba huyo mungu vichwani mwenu wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Mnahusishanisha vitu vilivyopo kuwa uthibitisho kwamba viliumbwa na fictional character mnayemuita mungu ambaye hata kuthibitisha hamuwezi.
Mnafanya, logical non sequitur.
Kuzikwa utazikwa tu. Hao makatoliki wanatisha watu tu. Hivi padre kule makaburini huwa anahusika kuchimba kabari? Jibu: Hapana. Je huwa anashiriki kuibgiza marehemu ndani ya kaburi? Jibu: HAPANA. Je huwa anashuriki kujaza udongo kwenye kaburi? Jibu: Hapana. Je padre kwenye mazishi ana kazi gani ya maana? Jibu: HAKUNA.Hivi serikali hawaoni haja ya kuweka sheria ya kuchoma moto miili. Maana kuna watu dini unatishiwa hautazikwa as if huo mwili una umuhimu tena duniani.Kwanini pasiwepo na kuchoma miili moto ili tusave muda na nafasi?
Kwa hiyo hapa ndiyo umeeleza ili ieleweke!Maliza kwanza usingizi.
Sentensi zangu ni semantically correct.
NdiyoKwa hiyo hapa ndiyo umeeleza ili ieleweke!