Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Mimi ni MLOKOLE katika kanisa letu Kuna ministry hizi Ni familia za kiroho.......
Kwa kweli tume shikamana na sanaa tunaambatana mpaka Raha

NB: waswahili husema ""ukitaka kujua umuhimu wa matako Basi kalia kichwa""
Mimi nina vikundi vya kazini ,shule,ukoo,chuo na mtaani pia mke wangu vivyo hivyo vyote anavyo na mimi ni mchangiaji mzuri na ninavipenda kwa sababu ukipata matatizo unasaidiwa sawa sawa na wanavyochangiwa member wenzio sasa huku kwenye dini hata ukwame Mboga au ada hawawezi hata kukukopesha na mbaya zaidi wanatangaza makusanyo jinsi yalivyo makubwa ila hunufaiki nayo wewe muumini unabaki kuambiwa utabarikiwa huu ndo upuuzi ambao siutaki mimi yaani mi nilete hela live nyie mnipe ahadi hewa.
 
Kweli kwa jinsi mke wangu anavyomheshimu paroko mpaka huwa napanic Anamuita Paroko BABA Huku mikono kaifunga kama kakutana na Yesu mwenyewe
Kwa namna hiyo paroko akiomba utamu wife anampa wanawake waliolalia sana kwenye dini akili zao ni km hazitoshi vizuri yani sijui wakoje si waislam wala wakristo
 
Kingunge alifanya nini?
kwenye misiba mingi niliyohudhuria hawa watu wanaojifanya hawajihusishi na hizi jumuia huwa misiba yao inakuwaga pasua kichwa sana wakifa.

maana unakuta hayupo kwenye ushirika wowote na nduguzake wako mkoa mwingine huko.

kanisani hatambuliki wala msikitini hawamjui.

mnachofanya kwa huku mijini majirani na marafiki ndo mnashikana mashati mpate kumzika jamaa fasta yaishe. ila sio siri huwa ni misiba yenye kuungaunga kwingi sana.

mara nyingi hawa wahubiri uchwara wa mitaani ndo huwa wanaokoa jahazi. mnakamata mmoja mnamshikisha kidogo anapiga shoo mnazika adios.
 
Mbona rahisi tu, wala haukuhitaji kuandika gazeti. Waambie wewe ni mpagani wakung'ute mavumbi. Unaweza pia kumwandikia barua Paroko na nakala yake uwape. RC tunafundisha watu waelewe kwanza imani yao, lakini baada ya juhudi za kuwaelekeza, hatuwalazimishi
Hiyo sio Imani yetu ni ya wazungu wanyonyaji
 
Kuna sehemu moja Tu unastahili kwenda:Mortuary.
Kwa nini?
1.Binadam ni social being,hivyo ukikimbia Jumuiya au Kanisa hutaikimbia Jamii yako,Wananzengo wala wanaukoo wako.Kila mkikutana kuna wahitaji watataka Msaada wako.Hata mkikutana vikao vya Ukoo haiwezi lingana Kwa mapato,unatakiwa kuchangia.Ukiinhia chama cha siasa au Michezo unatakiwa kuchangia.Hata kama si Pesa basi mawazo.Umekuja JF ili tukupe mawazo,hivyo Hadi hapo unatambua umhimu wa binadami wenzako.
2.Binadamu ameumbwa kuabudu,kama si Mungu basi Mungu,hata kama ni ya kijadi au mizimu.Na Kote huko kuna Mchango na Sadaka.Hujawahi kujiuliza watu wa Zamani kama Ibrahim,hata bila mapadre walikuwa wakijenga madhabahu na kitia sadaka kisha zinateketea Kwa Moto.Hapo hakuna askofu wala shehe alikuja kuchukua hata majivu.Hata mabab zetu walikuwa wakatoa kafara.Shida ya Waafrika wengi kabla ya wazungu kuja walikuwa wakatoa kafara Kwa kibano:Yaani mvua haijanyesha ndiyo njaa Kali wanakwenda kutambika au Wakiwa na magonjwa ndiyo wanakwenda Kwa Mganga wanaambiwa leta Mbuzi au Mnyama mwingine.Kwa hiyo tukajikiya hatupendi kutoa Kwa hiari.Baba yangu Chakula kikiiba kabla ya Kula alikuwa lazima msosi wa Kwanza Kwa mizimi Kwanza.Hivyo kutoa ni sharti hata ukimbieje.
Mwisho unasumbuliwa na uchoyo,unadhani Kwa kuwa Una Mali watu wanaohitaji Mali zako.Acha roho ya uchoyo.Mali ulizonazo ni Kwa ajili ya Watu wengine.Yaani Ungekuwa kwenye Ukoo Nina wasiwasi tuna mgonjwa au tumepungukiwa na Karo tusingekuja kwako.
 
Hakuna Mungu aliyeumba chochote.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Ninyi ndio mme muumba huyo mungu vichwani mwenu wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Mnahusishanisha vitu vilivyopo kuwa uthibitisho kwamba viliumbwa na fictional character mnayemuita mungu ambaye hata kuthibitisha hamuwezi.

Mnafanya, logical non sequitur.
Hata wewe haupo
 
Hivi serikali hawaoni haja ya kuweka sheria ya kuchoma moto miili. Maana kuna watu dini unatishiwa hautazikwa as if huo mwili una umuhimu tena duniani.Kwanini pasiwepo na kuchoma miili moto ili tusave muda na nafasi?
Kuzikwa utazikwa tu. Hao makatoliki wanatisha watu tu. Hivi padre kule makaburini huwa anahusika kuchimba kabari? Jibu: Hapana. Je huwa anashiriki kuibgiza marehemu ndani ya kaburi? Jibu: HAPANA. Je huwa anashuriki kujaza udongo kwenye kaburi? Jibu: Hapana. Je padre kwenye mazishi ana kazi gani ya maana? Jibu: HAKUNA.
 
Back
Top Bottom