Naomba kuifahamu biashara ya uvuvi wa samaki baharini

Naomba kuifahamu biashara ya uvuvi wa samaki baharini

mangada

Member
Joined
Apr 10, 2022
Posts
5
Reaction score
5
Wenye exprience nipeni mwongozo boti ninayo tayari na mota pamoja na net nipeni profit and loss za hii biashara
Eneo la uvuvi ni Mtwara
 
Wenye exprience nipeni mwongozo boti ninayo tayari na mota pamoja na net nipeni profit and loss za hii biashara
Eneo la uvuvi ni Mtwara

Mkuu si uende pwani ukakutane na wadau kama vile unakunywa kahawa huku unadadisi ili upate details kamili mkuu...?

Kwa nilivyoskia ni kuwa unaweza ukakaa ufukweni tu na boti watu wakafanyia kazi ikawa inaleta hela tu, au ukaamua na wewe kuingia baharini pia kwenda kuvua.

Yaani unaweza ukakodisha chombo au ukatafuta vijana wa kuvua then ukawalipa kwa kazi waliyoifanya, ni makubaliano tu nenda pwani utajua yote mkuu.
 
Una Boti ya aina gani Mkuu?Na Engine ni ya ndani au nje?
 
Mkuu si uende pwani ukakutane na wadau kama vile unakunywa kahawa huku unadadisi ili upate details kamili mkuu...?

Kwa nilivyoskia ni kuwa unaweza ukakaa ufukweni tu na boti watu wakafanyia kazi ikawa inaleta hela tu, au ukaamua na wewe kuingia baharini pia kwenda kuvua.

Yaani unaweza ukakodisha chombo au ukatafuta vijana wa kuvua then ukawalipa kwa kazi waliyoifanya, ni makubaliano tu nenda pwani utajua yote mkuu.
nilienda nilishapewa detail zote natak ku compare na mawazo ya wadau km yataendana
 
Maboti ni kama daladala. Unampa mtu anakuletea hesabu. Ukiamua kwenda nenda kama mtalii, ukienda kama mmiliki hurudi
hahahah mm siend mm mda mwing nashinda TPA
 
Ni biashara nzuri,upepo ukiwa vizuri unaweza kupata Milion 2 kwa siku,tafuta nahodha anaeeleweka,pia biashara hii inategemea sana hali ya hewa,na mwezi
Nikiwa likizo ntafanya utafiti huko kunduchi
 
Maboti ni kama daladala. Unampa mtu anakuletea hesabu. Ukiamua kwenda nenda kama mtalii, ukienda kama mmiliki hurudi

Ni kweli, kuna mtu ni mvuvi aliniambia hivi hivi.
 
Kuna jamaa ana boti ni mshikaji wangu, nilimuuliza akanijibu.

1. Hanishauri Kufanya hiyo biashara

2. Wavuvi pasua kichwa

3. Kama ikitokea nimenunua boti nisijariibu kwenda na wavuvi kuvua. Kuna uwezekano wa kutorudi nchi lach.
 
Kuna jamaa ana boti ni mshikaji wangu, nilimuuliza akanijibu.

1. Hanishauri Kufanya hiyo biashara

2. Wavuvi pasua kichwa

3. Kama ikitokea nimenunua boti nisijariibu kwenda na wavuvi kuvua. Kuna uwezekano wa kutorudi nchi lach.
Kwa uvuvi wa baharini sijui ila waziwani yeyote kivyovyote katika muda wowote ilimladi azijue kazi. Wanaaminika niwastaatabu na wala hakuna unyama wowote kwa mtu yeyote
 
Back
Top Bottom