Mom sheena New Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2 Reaction score 1 Jul 15, 2022 #1 Habari zenu jamani naombeni mnisaidie dawa ya mapunye, mtoto wangu katokewa na punye mkononi. Ana miaka 4 na miezi 7
Habari zenu jamani naombeni mnisaidie dawa ya mapunye, mtoto wangu katokewa na punye mkononi. Ana miaka 4 na miezi 7
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jul 15, 2022 #2 Nenda duka la madawa waambie tatizo watakupa dawa nzuri bei haizidi 5000 maana kuna tofauti kati ya ngozi na ngozi
Nenda duka la madawa waambie tatizo watakupa dawa nzuri bei haizidi 5000 maana kuna tofauti kati ya ngozi na ngozi
Mom sheena New Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2 Reaction score 1 Jul 15, 2022 Thread starter #4 Numbisa said: Nenda duka la madawa waambie tatizo watakupa dawa nzuri bei haizidi 5000 maana kuna tofauti kati ya ngozi na ngozi Click to expand... Asante Sana ubarikiwe
Numbisa said: Nenda duka la madawa waambie tatizo watakupa dawa nzuri bei haizidi 5000 maana kuna tofauti kati ya ngozi na ngozi Click to expand... Asante Sana ubarikiwe