Naomba kuifahamu Dawa ya mapunye kwa mtoto

Mom sheena

New Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Habari zenu jamani naombeni mnisaidie dawa ya mapunye, mtoto wangu katokewa na punye mkononi. Ana miaka 4 na miezi 7
 
Nenda duka la madawa waambie tatizo watakupa dawa nzuri bei haizidi 5000 maana kuna tofauti kati ya ngozi na ngozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…