KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Hope mmeamka salama. Naomba anayejua anisaidie na mimi kujua÷
1. Kwanini mtu akifa anaoshwa?
Anazikwa ardhini na kufukiwa sasa huo usafi anaofanyiwa unamsaidia nini as long as atachanganyikana na mavumbi soon?
2. Mtu akishazikwa baada ya miezi au miaka kadhaa ndugu huanza kwenda kufagia kaburi lake tena wanapiga deki kabisa. Hii inamsaidia nini mtu aliyeoza kaburini?
3. Kuna nadharia kwamba tutafute pesa ili tukifa tukumbukwe, Maiti huko iliko inapata faida gani ikikumbukwa na walio hai kwa mema iliyotenda? Mfano Mengi anapata faida gani kukumbukwa na walemavu ambayo Maiti ya kimasikini haipati?
Mshana Jr na wengine njooni mnisaidie kuelewa haya mambo.
1. Kwanini mtu akifa anaoshwa?
Anazikwa ardhini na kufukiwa sasa huo usafi anaofanyiwa unamsaidia nini as long as atachanganyikana na mavumbi soon?
2. Mtu akishazikwa baada ya miezi au miaka kadhaa ndugu huanza kwenda kufagia kaburi lake tena wanapiga deki kabisa. Hii inamsaidia nini mtu aliyeoza kaburini?
3. Kuna nadharia kwamba tutafute pesa ili tukifa tukumbukwe, Maiti huko iliko inapata faida gani ikikumbukwa na walio hai kwa mema iliyotenda? Mfano Mengi anapata faida gani kukumbukwa na walemavu ambayo Maiti ya kimasikini haipati?
Mshana Jr na wengine njooni mnisaidie kuelewa haya mambo.