Naomba kujibiwa haya maswali kuhusu Maiti

Naomba kujibiwa haya maswali kuhusu Maiti

Namba tatu ndo inashngaza naona Bora hata kama hauna pesa uwe na roho ya kusaidia watu utagain heshima kubwa na mioyo ya watu na kuacha alama.
Ukikumbukwa itakusaidia nini?
 
Sikukuu za mwanadamu ziko tatu KAGAMEE
Ya kwanza ni kuzaliwa
Ya pili harusi
Ya tatu kifo
Tukio la sikukuu linajumuisha kula, kunywa, kuvaa vizuri nk.. Na ndio maana kuna nguo zinaitwa za sikukuu

Makaburini sio sehemu baki la hasha pale ni makazi ya wafu, hivyo panastahili kuhudumiwa kama makazi mengine japo si kila siku..

Kukumbukwa ni legacy, je maisha yako hapa duniani uliyaishije? Umeacha nini? Huu husaidia wengine kwenye mapambano ya maisha nknk
Kwa upande wangu sikukuu ya Mwanadamu iko moja tu.

Kuzaliwa.
wakati wa kuzaliwa mimi nakuwa sina habari kabisa.
Hii ni skukuu ya familia iliyonizaa na sio mimi.

Harusi
Sasa hivi watu wa dini na wenye vipato vya kula mala tatu kwa siku ndio wanaofanya sherehe za harusi.

Pia kuna harusi nyingine za kulazimishana kama Ndoa za Mkeka, na Ndoa za Utotoni, kama kale katoto kalikolazimishwa na wazazi wake ka kule mbali [emoji28][emoji28][emoji28]

Pia sisi tunaanza kujitegemea toka utoto huwa tunavuta mwanamke aliye tayari kuishi basi.
Hakuna cha harusi wala sherehe.

Kifo
Hii ni sherehe ya wapendwa wanaokupenda mimi sitakuwa na habari nayo.
Tena wengi wakati huo wataogopa hata kuusogelea mwili wangu
Wengine watafurahia ili warithi jasho langu tu. Mali.

Hitimisho
Sherehe ya Mwanadamu iko moja tu hapa Ulimwenguni.
Kwenye Kilaji.

Wakati wa kunywa bia iwe Bar au Kasino.
Washiriki wote wanakuwa na tabasamu tele mashavuni pamoja na mimi Steringi.
Nyimbo zinaimbwa, zinachezwa, kicheko kila kona.
Watu wanaongea Kifaransa, Kilingala, Kihadzabe bila hata kujifunza.
Yaani wananena kwa Lugha zote.

Nawasilisha [emoji848][emoji871]
 
Kwa upande wangu sikukuu ya Mwanadamu iko moja tu.

Kuzaliwa.
wakati wa kuzaliwa mimi nakuwa sina habari kabisa.
Hii ni skukuu ya familia iliyonizaa na sio mimi.

Harusi
Sasa hivi watu wa dini na wenye vipato vya kula mala tatu kwa siku ndio wanaofanya sherehe za harusi.

Pia kuna harusi nyingine za kulazimishana kama Ndoa za Mkeka, na Ndoa za Utotoni, kama kale katoto kalikolazimishwa na wazazi wake ka kule mbali [emoji28][emoji28][emoji28]

Pia sisi tunaanza kujitegemea toka utoto huwa tunavuta mwanamke aliye tayari kuishi basi.
Hakuna cha harusi wala sherehe.

Kifo
Hii ni sherehe ya wapendwa wanaokupenda mimi sitakuwa na habari nayo.
Tena wengi wakati huo wataogopa hata kuusogelea mwili wangu
Wengine watafurahia ili warithi jasho langu tu. Mali.

Hitimisho
Sherehe ya Mwanadamu iko moja tu hapa Ulimwenguni.
Kwenye Kilaji.

Wakati wa kunywa bia iwe Bar au Kasino.
Washiriki wote wanakuwa na tabasamu tele mashavuni pamoja na mimi Steringi.
Nyimbo zinaimbwa, zinachezwa, kicheko kila kona.
Watu wanaongea Kifaransa, Kilingala, Kihadzabe bila hata kujifunza.
Yaani wananena kwa Lugha zote.

Nawasilisha [emoji848][emoji871]
Pia kuna harusi nyingine za kulazimishana kama Ndoa za Mkeka, na Ndoa za Utotoni, kama kale katoto kalikolazimishwa na wazazi wake ka kule mbali [emoji28][emoji28][emoji28]
 
🤣🤣🤣
Kwa upande wangu sikukuu ya Mwanadamu iko moja tu.

Kuzaliwa.
wakati wa kuzaliwa mimi nakuwa sina habari kabisa.
Hii ni skukuu ya familia iliyonizaa na sio mimi.

Harusi
Sasa hivi watu wa dini na wenye vipato vya kula mala tatu kwa siku ndio wanaofanya sherehe za harusi.

Pia kuna harusi nyingine za kulazimishana kama Ndoa za Mkeka, na Ndoa za Utotoni, kama kale katoto kalikolazimishwa na wazazi wake ka kule mbali [emoji28][emoji28][emoji28]

Pia sisi tunaanza kujitegemea toka utoto huwa tunavuta mwanamke aliye tayari kuishi basi.
Hakuna cha harusi wala sherehe.

Kifo
Hii ni sherehe ya wapendwa wanaokupenda mimi sitakuwa na habari nayo.
Tena wengi wakati huo wataogopa hata kuusogelea mwili wangu
Wengine watafurahia ili warithi jasho langu tu. Mali.

Hitimisho
Sherehe ya Mwanadamu iko moja tu hapa Ulimwenguni.
Kwenye Kilaji.

Wakati wa kunywa bia iwe Bar au Kasino.
Washiriki wote wanakuwa na tabasamu tele mashavuni pamoja na mimi Steringi.
Nyimbo zinaimbwa, zinachezwa, kicheko kila kona.
Watu wanaongea Kifaransa, Kilingala, Kihadzabe bila hata kujifunza.
Yaani wananena kwa Lugha zote.

Nawasilisha [emoji848][emoji871]
😊😊
 
1. kwanini tunasafisha maiti?

Jibu; Kuna sababu za kidi na sababu za kiutu/ kibinadamu. kidini ndugu waislam na wakristo watakuja kuelezea kwanini tunasafisha maiti, sababu za kiutu/kibinadamu tunasafisha maiti kwa kuuheshimu ule mwili wa mpendwa wetu hatuendi kumfukia kama mzoga wa punda, ile ni maiti lakini ni maiti ya binadamu lazima tuheshimu kumsafisha as na sisi ni binadamu pia.

2. Inamsaidia nini maiti kusafisha kaburi lake au kwanini tunasafisha kaburi?

Jibu;sababu kuu ni kumbukumbu, kaburi linasafishwa ili kuonesha bado tunamkumbuka mpendwa wetu na tunasafisha ili kaburi lisisahaulike kizazi na kizazi watu waendelee kujua pale kuna ndugu yetu amehifadhiwa.

3. Kuna nadharia kwamba tutafute pesa ili tukifa tukumbukwe, Maiti huko iliko inapata faida gani ikikumbukwa na walio hai kwa mema iliyotenda?

Jibu; Maiti haipati faida yoyote ikikumbukwa na walio hai. kwaiyo nadhali ya kutafuta pesa ili ukumbukwe ukifa hii itabaki kuwa nadhali tu, Haina ualisia.
walio hai ndiyo wanajukumu la kumkumbuka alie kufa maiti haina mda wa kumkumbuka alie hai, uwe masikini ama tajiri ukifa utakumbukwa tu.
Atleast umetoa majibu yenye logic
 
Back
Top Bottom