Naomba kujua baadhi ya vitu kuhusu wilaya ya Korogwe Tanga

Naomba kujua baadhi ya vitu kuhusu wilaya ya Korogwe Tanga

MOSHI UFUNDI

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2022
Posts
526
Reaction score
1,222
Habari wakuu?
Nategemea kuenda kuanzisha maisha Korogwe mjini Tanga, naomba webye ujuzi na wilaya hii wanisaidie baadhi ya taarifa zifuatazo.
1. Hali ya hewa
2. Mazao yanayolimwa sana.
3. Hali ya kibiashara na uchumi hapo mjini?
4. Upatikanaji wa vyumba vya kupanga na mashamba.

Lakini vipi pia kibiashara kati ya Tanga mjini na Korogwe wapi pana nafuu kiutafutaji kwa capital ya 4million?

Natanguliza shukrani.
 
Ngoja waje,Mbunge wa Geita Bw.Musukuma huko nako ni kwake pia anapajua vizuri Korogwe,amefanya sana biashara kule,nasikia kupo poa sana
 
Kuna madem watamu sana, hasa ukipata weusi waliojaa kidogo. Usipokuwa makini utamaliza kamtaji kako
 
mkuu hapo korogwe kwa sasa matajiri wameamia hapo kuchimbua ardhi hekari kwa mahekari kupanda mkonge,mkonge unataka kuzika hela so kwa mtaji wako huo pale patakufaa kwa biashara za kuchuuza maana korogwe inalisha vijiji vingi sana vya korogwe vijijini.

watoto wakali wa kisambaa weupee pee hata anko Magu alikiri pale hale kuwa wanamchanganya watakuwa karibu karibu kuzengea kamilion 4 kako.
 
Mke wa msambaa achana nae. Msambaa muibie pesa, Hilo linazungumzika huku kwa mke Kama sio usinga Basi wataondoka na marinda.
 
mkuu hapo korogwe kwa sasa matajiri wameamia hapo kuchimbua ardhi hekari kwa mahekari kupanda mkonge,mkonge unataka kuzika hela so kwa mtaji wako huo pale patakufaa kwa biashara za kuchuuza maana korogwe inalisha vijiji vingi sana vya korogwe vijijini.

watoto wakali wa kisambaa weupee pee hata anko Magu alikiri pale hale kuwa wanamchanganya watakuwa karibu karibu kuzengea kamilion 4 kako.
Shukran sana mkuu ngoja nijiandae.
 
Korogwe jiandae kukutana na watu ea kaskazini hapo kuna wapare , wachaga na wasambaa tena wazawa kabisa ....Kuna bajaj kibao ...Kazi mwanzo mwisho.

Hali ya hewa kama sio joto sana ,kukuta watu wamevaa makoti kawaida sana.
 
Habari wakuu?
Nategemea kuenda kuanzisha maisha Korogwe mjini Tanga, naomba webye ujuzi na wilaya hii wanisaidie baadhi ya taarifa zifuatazo.
1. Hali ya hewa
2. Mazao yanayolimwa sana.
3. Hali ya kibiashara na uchumi hapo mjini?
4. Upatikanaji wa vyumba vya kupanga na mashamba.

Lakini vipi pia kibiashara kati ya Tanga mjini na Korogwe wapi pana nafuu kiutafutaji kwa capital ya 4million?

Natanguliza shukrani.
Mlima Ambangulu
 
Habari wakuu?
Nategemea kuenda kuanzisha maisha Korogwe mjini Tanga, naomba webye ujuzi na wilaya hii wanisaidie baadhi ya taarifa zifuatazo.
1. Hali ya hewa
2. Mazao yanayolimwa sana.
3. Hali ya kibiashara na uchumi hapo mjini?
4. Upatikanaji wa vyumba vya kupanga na mashamba.

Lakini vipi pia kibiashara kati ya Tanga mjini na Korogwe wapi pana nafuu kiutafutaji kwa capital ya 4million?

Natanguliza shukrani.
Karibu korogwe mjini mkuu.

Ukikaza hapa utatoboa mana ndio WILAYA Tanga ambayo inaunganisha mikoa miwili.

Arusha
Kilimanjaro
 
Back
Top Bottom