Naomba kujua bei ya gold kwa gram kwa hii pete na hereni zake inaweza kuwa sh. ngapi?

Naomba kujua bei ya gold kwa gram kwa hii pete na hereni zake inaweza kuwa sh. ngapi?

Mkanaani

Senior Member
Joined
Jul 31, 2021
Posts
197
Reaction score
582
Habari zenu wakuu, naombeni msaada, nataka kuuza hizi hereni na pete ni vya gold ila sijui chochote kuhusiana na bei naogopa nisije pata mteja nikataja bei kubwa nikachekwa au nikataja ndogo nikajinyonya.

Msaada kwa wataalam wa mambo ya grams za gold na bei zake wanisaidie bei kwa gm. Mf. Ikiwa gm 1,2,3 au 4 ni sh. ngapi ili hata nikienda kuuza vikipimwa niwe na idea ya bei walau.
_20230225_145600.JPG
 
Habari zenu wakuu, naombeni msaada, nataka kuuza hizi hereni na pete ni vya gold ila sijui chochote kuhusiana na bei naogopa nisije pata mteja nikataja bei kubwa nikachekwa au nikataja ndogo nikajinyonya.

Msaada kwa wataalam wa mambo ya grams za gold na bei zake wanisaidie bei kwa gm. Mf. Ikiwa gm 1,2,3 au 4 ni sh. ngapi ili hata nikienda kuuza vikipimwa niwe na idea ya bei walau.View attachment 2529583
Kama upo Dar nenda mtaa wa Indira Gandhi kwenye maduka ya sonara yapo kibao tu, Ingia Kwa mdosi muwekee mezani hizo Helen atatowa mzani na kupima gram ni digital scale, atachukuwa calculator na kukuonesha pesa unayostahili kupewa, chukuwa pesa sepa, hiyo siyo biashara ya mitumba kupatana.

Uelewa gold ni kama dollar kuna bei ya kununuwa na bei ya kuuza, gram moja Sasa hivi kununuwa ni kama 140,000/= Kwahiyo kuuza unapewa pungufu ya pesa hiyo, wana rate zao masonara wadosi.
 
Kama upo Dar nenda mtaa wa Indira Gandhi kwenye maduka ya sonata yapo kibao tu, Ingia Kwa mdosi muwekee mezani hizo Helen atatowa mzani na kupima gram ni digital scale, atachukuwa calculator na kukuonesha pesa unayostahili kupewa, chukuwa pesa sepa, hiyo siyo biashara ya mitumba kupatana.
Asantee ila nipo Mwanza ndugu.
 
Asanteni wapendwa nimeshafanikiwa japo vimekutwa na quality ya chini na gm 3 vyote vitatu, ila vimeuzika mbarikiwe mnoo kwakunipa mwanga.
 
Back
Top Bottom