Naomba kujua dawa mbadala ya vidonge vya once a day Kwa ajili ya vitamini vya macho

Naomba kujua dawa mbadala ya vidonge vya once a day Kwa ajili ya vitamini vya macho

ajent45

Senior Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
159
Reaction score
162
Nimekuwa na shida ya macho yenye uoni hafifu kwa miaka kama mitatu sasa siwezi kuona maandishi madogo hata nikitumia lenzi yeyote ya miwani nilienda CCBRT waliniandikia dawa nyingi lakini nilipokuwa nameza sikupata nafuu nikaamua kwenda Muhimili kwa bima niliyokatiwa na mzazi baada ya vipimo vya macho ndo nikapewa haya hiyo ya vidonge vya once a day anayo ilikuwa misaada kwangu. shida imekuja tangu mwezi wa pili mwaka 2022 hizi dawa zimekuwa hazipatikani kwenye maduka makubwa niliyozoea kununua nimehangaika kutafuta wapi wapi maisha kupewa dawa nyingine kama mbadala wake sasa hali yangu ya macho imekuwa sio nzuri nashindwa kurudi. muhimbili kwa mwenye bima akishaastafu nani sina uwezo wa kugharimia matibabu naomba msaada kama nitaweza kupata hizi dawa au kujua mbadala wake sahihi

16512698026051635701048017464051.jpg
 
naomba msaada please nguvu ya macho inapungua sana
 
Ukiweza piga picha Kwa nyuma kama wameandika content zake zilizopo ila kama Ni supp for eyes diseases kuna Eye Support au ii care. So kwa kuangali content zake moja inaweza kuwa substitute yake.
 
Duuh! Pole sana Mungu Atakuponya ukimpa nafasi sikwqmbii ukakanyage mafuta wala kunywa maji ya maiti ila fikiri mara mbili lipo jina lenye uwezo wa kulitoa shida yako milele
 
Pia nitajaribu kukitafutia incase nikivipata Ntakwambia...
 
Ukiweza piga picha Kwa nyuma kama wameandika content zake zilizopo ila kama Ni supp for eyes diseases kuna Eye Support au ii care. So kwa kuangali content zake moja inaweza kuwa substitute yake.

16512710880826281028815656707460.jpg
 
Pia nitajaribu kukitafutia incase nikivipata Ntakwambia...
Litakuwa jambo jema kwani nimehangaika Karia koo madukani kila bikiwauliza hawana wananipa zinazofanania haziwi kama once a day macho yanauma mchana kutwa
 
0672 669 309
Piga hiyo simu kama upo Dar.
Wako wazi 24hrs.

Tahadhani nimepata namba yao online
 
Hii naona ni supplement Mkuu. Tafuta supplement mbadala wake angalia content zilizomo ziendane..

Pia jitahidi kula Mboga za majani, karoti n.k; Kwa wingi..

Pole sana.
sawa ahsante nitafuata huu ushauri , supplement ndiyo nn?
 
Dawa rahisi na salama ni kula mchicha kila siku. Mengine yanawahusu madaktari.
 
sawa ahsante nitafuata huu ushauri , supplement ndiyo nn?
Mkuu aina ya dawa(Once a Day) ni supplement, aina zingine ni hizi hapa.
Unaweza kuzipata kwenye maduka ya dawa. Tafuta mojawapo uanze kutumia
IMG_20220501_093653_837~2.jpg
 
Back
Top Bottom