KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
- Thread starter
- #41
Wenzako wanaandika vitu vya maana ww unaleta ush.u.ziii wako hapaKwa fikra zile hata maana ya product sidhani Kama anajua
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako wanaandika vitu vya maana ww unaleta ush.u.ziii wako hapaKwa fikra zile hata maana ya product sidhani Kama anajua
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hapa ulichoandika cha maana kipi?Wenzako wanaandika vitu vya maana ww unaleta ush.u.ziii wako hapa
Biashara is directed proportional to matangazo, big gay, matangazo yanaposhamiri biashara itakuwa mara dufu, jiulize makampuni makubwa duniani kama Coca-Cola, picha ya kujitangaza Sana lakini hawakomi kutenga budget Kwa ajili ya matangazo, binadam wasahaulifu Sana!Mimi ni mshabiki wa mpira ila mpka sasa sijui huyu mdhamini mkuu anapataje faida kwa kudhamini ligi kuu.Ukiniambia anajitangaza na anapata wateja sijui kama ni kweli maana mimi tangu aidhamini sijawahi kuvutiwa kwenye kufungua acc kwao.
Kwa Azam najua anapata faida kwa sababu anatangaza vitu ambavyo ni consumable na watu wote.Hata GSM sijui anapataje faida kwa kuwa mdhamini mwenza maana sijui kitu kingne anachouza zaidi ya Magodoro (Sijui nitanunua godoro lini).
Au kuna watu mlikuwa hamna acc NBC na sasa mmefungua baada ya NBC kuidhamini league?Kuna watu mlikuwa mnanunua magorodo kwingne na baada ya udhamini sasa mnanunua ya GSM?
Kwa Mo najua pale anapiga pesa ndefu maana watu kibao ndani ya Nchi hii wanambea,wanaingia ofsini,wanapiga vibarua,wanavuja jasho kuchimba mitaro huku WAMEBEBA SABUNI MGONGONI.
Narudia tena,Sina mpango wa kununua godoro hivi karibuni labda baada ya miaka 5 ijayo na sina mpango wa kuhamisha maburungutu yangu kupelekea NBC kisa mpira.
Umenikumbusha Oral tradition is the history handed down through words of mouth[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Faida mojawapo ni hapo ulipowataja.
Inaitwa "spread through word of mouth"
Uko na hoja usikilizweMimi ni mshabiki wa mpira ila mpka sasa sijui huyu mdhamini mkuu anapataje faida kwa kudhamini ligi kuu.Ukiniambia anajitangaza na anapata wateja sijui kama ni kweli maana mimi tangu aidhamini sijawahi kuvutiwa kwenye kufungua acc kwao.
Kwa Azam najua anapata faida kwa sababu anatangaza vitu ambavyo ni consumable na watu wote.Hata GSM sijui anapataje faida kwa kuwa mdhamini mwenza maana sijui kitu kingne anachouza zaidi ya Magodoro (Sijui nitanunua godoro lini).
Au kuna watu mlikuwa hamna acc NBC na sasa mmefungua baada ya NBC kuidhamini league?Kuna watu mlikuwa mnanunua magorodo kwingne na baada ya udhamini sasa mnanunua ya GSM?
Kwa Mo najua pale anapiga pesa ndefu maana watu kibao ndani ya Nchi hii wanambea,wanaingia ofsini,wanapiga vibarua,wanavuja jasho kuchimba mitaro huku WAMEBEBA SABUNI MGONGONI.
Narudia tena,Sina mpango wa kununua godoro hivi karibuni labda baada ya miaka 5 ijayo na sina mpango wa kuhamisha maburungutu yangu kupelekea NBC kisa mpira.
Moja wapo ni kama hiyo wewe kujua kuna NBC na kwamba ndiyo Benki ya Taifa ya BiasharaMimi ni mshabiki wa mpira ila mpka sasa sijui huyu mdhamini mkuu anapataje faida kwa kudhamini ligi kuu.Ukiniambia anajitangaza na anapata wateja sijui kama ni kweli maana mimi tangu aidhamini sijawahi kuvutiwa kwenye kufungua acc kwao.
Kwa Azam najua anapata faida kwa sababu anatangaza vitu ambavyo ni consumable na watu wote.Hata GSM sijui anapataje faida kwa kuwa mdhamini mwenza maana sijui kitu kingne anachouza zaidi ya Magodoro (Sijui nitanunua godoro lini).
Au kuna watu mlikuwa hamna acc NBC na sasa mmefungua baada ya NBC kuidhamini league?Kuna watu mlikuwa mnanunua magorodo kwingne na baada ya udhamini sasa mnanunua ya GSM?
Kwa Mo najua pale anapiga pesa ndefu maana watu kibao ndani ya Nchi hii wanambea,wanaingia ofsini,wanapiga vibarua,wanavuja jasho kuchimba mitaro huku WAMEBEBA SABUNI MGONGONI.
Narudia tena,Sina mpango wa kununua godoro hivi karibuni labda baada ya miaka 5 ijayo na sina mpango wa kuhamisha maburungutu yangu kupelekea NBC kisa mpira.
CC BODI ya ligiMimi ni mshabiki wa mpira ila mpka sasa sijui huyu mdhamini mkuu anapataje faida kwa kudhamini ligi kuu.Ukiniambia anajitangaza na anapata wateja sijui kama ni kweli maana mimi tangu aidhamini sijawahi kuvutiwa kwenye kufungua acc kwao.
Kwa Azam najua anapata faida kwa sababu anatangaza vitu ambavyo ni consumable na watu wote.Hata GSM sijui anapataje faida kwa kuwa mdhamini mwenza maana sijui kitu kingne anachouza zaidi ya Magodoro (Sijui nitanunua godoro lini).
Au kuna watu mlikuwa hamna acc NBC na sasa mmefungua baada ya NBC kuidhamini league?Kuna watu mlikuwa mnanunua magorodo kwingne na baada ya udhamini sasa mnanunua ya GSM?
Kwa Mo najua pale anapiga pesa ndefu maana watu kibao ndani ya Nchi hii wanambea,wanaingia ofsini,wanapiga vibarua,wanavuja jasho kuchimba mitaro huku WAMEBEBA SABUNI MGONGONI.
Narudia tena,Sina mpango wa kununua godoro hivi karibuni labda baada ya miaka 5 ijayo na sina mpango wa kuhamisha maburungutu yangu kupelekea NBC kisa mpira.
Faida moja wapo kwasasa wewe unaweza kuwataja vizuri na umejua kwamba ni BenkiMimi ni mshabiki wa mpira ila mpka sasa sijui huyu mdhamini mkuu anapataje faida kwa kudhamini ligi kuu.Ukiniambia anajitangaza na anapata wateja sijui kama ni kweli maana mimi tangu aidhamini sijawahi kuvutiwa kwenye kufungua acc kwao.
Kwa Azam najua anapata faida kwa sababu anatangaza vitu ambavyo ni consumable na watu wote.Hata GSM sijui anapataje faida kwa kuwa mdhamini mwenza maana sijui kitu kingne anachouza zaidi ya Magodoro (Sijui nitanunua godoro lini).
Au kuna watu mlikuwa hamna acc NBC na sasa mmefungua baada ya NBC kuidhamini league?Kuna watu mlikuwa mnanunua magorodo kwingne na baada ya udhamini sasa mnanunua ya GSM?
Kwa Mo najua pale anapiga pesa ndefu maana watu kibao ndani ya Nchi hii wanambea,wanaingia ofsini,wanapiga vibarua,wanavuja jasho kuchimba mitaro huku WAMEBEBA SABUNI MGONGONI.
Narudia tena,Sina mpango wa kununua godoro hivi karibuni labda baada ya miaka 5 ijayo na sina mpango wa kuhamisha maburungutu yangu kupelekea NBC kisa mpira.