GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani una Job na Fred halafu kabisa Mtu mzima umekalisha Kende zako Komavu kama Kungu ndio umfunge Yanga SC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tartiiibuu unakuja..!! Mkiingiza timu uwanjani na hali mliyonayo hiyo siku ya tarehe 20, mtapigwa WIKI..!!Yaani una Jobe na Fredy halafu kabisa Mtu mzima umekalisha Kende zako Komavu kama Kungu ndio umfunge Yanga SC?
Kama Mandonga anavyopendwa hadi wamuue ulingoni.Ila kweli.
Hii ni aibu.
Ukilinganisha mpira utaona mtani katupita mbali.
Tupo utafikiria tunacheza mpira ule wa kufunga matambara.
Mtani tusamehe, huo uchawi wa wapi umetufanya ndembendembe hivi.
Naipenda Simba mshabiki wa damu
Nitakua nje ya mji ila sio kwamba nakimbia mtani...huko hakuna network...lol kazi ipo mwaka huu..
Kwenda nje ya mji peke yake kunatosha kusema unakimbia mvua ya WIKI..!!Nitakua nje ya mji ila sio kwamba nakimbia mtani...huko hakuna network...lol kazi ipo mwaka huu..
Hebu acheni mdomo utawaponza ohooooKwenda nje ya mji peke yake kunatosha kusema unakimbia mfua ya WIKI..!!
Adhabu mbaya zaidi ni ya kushushwa daraja........ingekuwa pesa tuu hata Mimi ningechangia TSH 1750/=Yaani una Job na Fred halafu kabisa Mtu mzima umekalisha Kende zako Komavu kama Kungu ndio umfunge Yanga SC?
itashushwa darajaYaani una Job na Fred halafu kabisa Mtu mzima umekalisha Kende zako Komavu kama Kungu ndio umfunge Yanga SC?
Eeeh😂😂Unawashwa kinyeo wewe sio bure
Hata ile ya 5 kwa 1 kabla ya Mechi Wapuuzi na Wanafiki mlikuja na Upuuzi kama huu. Simba SC hata turoge hadi tuukweke ( tunye ) Mavi mekundu na bluu bado hatuna Ubavu wala Timu ya kuweza Kuifunga Yanga SC na pona pona yetu labda ni Droo ambayo nayo pia nina uhakika kwa tulivyo Mipopoma ( Mipumbavu ) na Mizozola ( Mijinga ) tutaishangilia kweli kweli.Halafu mechi za watani zinakuwaga ngumu hata mmoja awe mbovu kiasi gani, mnyonge hataki kuonekana mnyonge
Kama Aliyekuzaa tu.Unawashwa kinyeo wewe sio bure
Aagh wapi..!! Kwa sasa, tofauti ya 5imba na Mandoga ni aina ya mchezo tu..!!Hebu acheni mdomo utawaponza ohoooo
Mpaka kufikia GENTAMYCINE kutamka kauli za hivi kuhusu 5imba, basi ushakata tamaa mpaka mwisho hadi tamaa na yenyewe imekukatia tamaa..!!Hata ile ya 5 kwa 1 kabla ya Mechi Wapuuzi na Wanafiki mlikuja na Upuuzi kama huu. Simba SC hata turoge hadi tuukweke ( tunye ) Mavi mekundu na bluu bado hatuna Ubavu wala Timu ya kuweza Kuifunga Yanga SC na pona pona yetu labda ni Droo ambayo nayo pia nina uhakika kwa tulivyo Mipopoma ( Mipumbavu ) na Mizozola ( Mijinga ) tutaishangilia kweli kweli.
Hakuna mwana Simba anaekata tamaa na Simba yake..tupo tunawachora tuu mnavyoserebuka mkidhani labda tutakufa kesho mnashindwa kufanya yenu...Mpaka kufikia GENTAMYCINE kutamka kauli za hivi kuhusu 5imba, basi ushakata tamaa mpaka mwisho..!!
Punguza matusi mkuu mi wala sijakutukana, kama mpuuzi ni wewe peke yako ungeweka uzi kwa note book yako uwe unasoma mwenyewe 😅😅Hata ile ya 5 kwa 1 kabla ya Mechi Wapuuzi na Wanafiki mlikuja na Upuuzi kama huu. Simba SC hata turoge hadi tuukweke ( tunye ) Mavi mekundu na bluu bado hatuna Ubavu wala Timu ya kuweza Kuifunga Yanga SC na pona pona yetu labda ni Droo ambayo nayo pia nina uhakika kwa tulivyo Mipopoma ( Mipumbavu ) na Mizozola ( Mijinga ) tutaishangilia kweli kweli.
Itakuwa hujamwelewa , mwenzio kajikatia tamaaHakuna mwana Simba anaekata tamaa na Simba yake..tupo tunawachora tuu mnavyoserebuka mkidhani labda tutakufa kesho mnashindwa kufanya yenu...