Naomba kujua kuhusu hizi gari

John120

Senior Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
139
Reaction score
281
 Wataalamu na wajuvi wa magari,naomba mwenye kujua kuhusu hizi gari kwenye maeneo haya yafuatayo:
1.comfortability yake.
2.fuel consumption
3.Availability of spare part zake.
4.Durability
5.Stability yake.
6.Changamoto zake.
na mengine mengi unayoyajua kuhusu chuma hii.

Asanteni sana
 
BMW Mini Cooper iko poa katika vigezo vyako kasoro 3, 4 na 6.

Nakushauri tafuta gari nyingine. Kama unapenda tudude twa shape iyo cheki Suzuki Swift Sport.
 
BMW Mini Cooper iko poa katika vigezo vyako kasoro 3, 4 na 6.

Nakushauri tafuta gari nyingine. Kama unapenda tudude twa shape iyo cheki Suzuki Swift Sport.
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…