Naomba kujua kuhusu NMB Loan

James07392

Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
20
Reaction score
6
Samahan wanaforum..Mimi nliuza mkopo NMB kutoka faidika na bayport na kwenye salary slip deni linaonesha 7,880,000 kila mwezi nakatwa 247,000..Sasa naulza deni linaloonekana kwenye salary slip ndo hilo likiisha basi haudaiwi au kuna deni lingne lisiloonesha kwenye salary slip?
 
Wewe utakuwa Mwalimu.

Walimu mna matatizo sana, ila hamtaki kukubali badala yake mnaona shida ni serikali.
 
Pole sana ndugu.
Faidika na Bayport kwa wakati mmoja si mchezo!Watakuwa wamekupiga parefu.
Vumilia sasa mkopo upungue uje uvute hela ndefu utatue matatizo yako.
 
DENI NI ILO ILO KWA NMB NA CRDB LAKINI UNGECHUKUA BAYPORT UNGEJUTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…