Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Nilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwa
Buddha ni dini sahihi kwa kiasi chake maana haina mafundisho potofu kwa hapa duniani mfano inataka uwe na mambo 8 tu ili uondoke salama duniani kwa mfano

Matamshi mazuri yaani kuepuka matusi na uongo
Kujinyima yaani usifanye matumizi ya anasa
Kuzishinda tamaa za mwili
Kuwa na mawazo chanya au mitazamo mizuri
Kuishi na watu vizuri
Utende mema pekee
Inataka utenge muda wa kumeditate maisha yako n.k je mpaka hapo huoni ni imani nzuri tu kuendana na mafundisho hayo ambayo naamini hata uislam na ukristo tunafundishwa

Na imani hii sio kwa wabudha tu wanaamini dunia nzima kma hufuati hyo misingi basi utaishi maisha ya mzunguko ya mateso mpaka unyooke na ubadilike kma utapata fursa ya kurudi duniani tena otherwise utazaliwa punda maisha yako yote utandikwe viboko mpaka ukome sio lazima uwe mbwa koko unaweza hata ukazaliwa mti wenye mwiba au mti mbaya mbaya kuendana na matendo yako
 
Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?
Nafsi inakuwa ile ile na inakumbuka ilipotokea so akijirudi na kugundua makosa siku akipata maisha mengine hapa duniani hatarudia tena makosa aliyoyafanya hivyo atatimiza yale mafundisho muhimu ya buddha hivyo atajikomboa kutoka maisha ya mzunguko na atafikia nirvana ambayo ni kujitambua na kuepuka maisha ya mateso baada ya kifo

Ni hayo tu kwa uelewa wangu
 
sasa mkuu itafaa nini kama utazaliwa bila kujitambua kuwa ndio wewe yule uliyekuwa ukitesa na mali zako au ukiua watu.. kwamba sasa haya ni malipo
Nope nafsi yako inasafiri kote huko so unajitambua kabisa kuwa ulikufa ukiwa kahaba so sahivi unateseka hivyo inatakiwa ubadilike ukipata chance nyingine ya kuzaliwa duniani hivyo basi ukizaliwa tena hauwezi rudia makosa yaleyale ambayo yalisababisha uishi maisha mabovu baada ya kifo
 
Ko unataka kusema si tulikuwagepo zaman mkuu?????
Yes kuendana na nadharia hii hivyo maisha unayoishi sasa ni matokeo ya maisha uliyoishi hapo kale!! Kwahyo kma sahivi ni mpiga debe pambana na hali yako 😀😀
 
Yes kuendana na nadharia hii hivyo maisha unayoishi sasa ni matokeo ya maisha uliyoishi hapo kale!! Kwahyo kma sahivi ni mpiga debe pambana na hali yako 😀😀
Sasa mbona nafsi zetu hazikumbuki tulikuwa akina Nani kabla??
Come to Jesus
 
Sasa mbona nafsi zetu hazikumbuki tulikuwa akina Nani kabla??
Come to Jesus
Hazikumbuki!!! Basi ndio maana unapigika mpaka siku utakapotambua unapaswa kuishi maisha ya aina gani hapa duniani.... Hyo ni kuendana na imani ya buddha sio mimi
 
Wewe unakumbuka zamani ulikua unaishi vipi?
Yeah mkuu nilikuwa mnyapala wa watumwa ndio maana sahivi nmezaliwa mmachinga napigika kwenye jua 😀😀 kiddin just

Ila hyo ndio imani yao mkuu wapo nusu billion wanaofuata hiyo dini hivyo tuheshimu tu mawazo yao
 
Buddha ni dini sahihi kwa kiasi chake maana haina mafundisho potofu kwa hapa duniani mfano inataka uwe na mambo 8 tu ili uondoke salama duniani kwa mfano

Matamshi mazuri yaani kuepuka matusi na uongo
Kujinyima yaani usifanye matumizi ya anasa
Kuzishinda tamaa za mwili
Kuwa na mawazo chanya au mitazamo mizuri
Kuishi na watu vizuri
Utende mema pekee
Inataka utenge muda wa kumeditate maisha yako n.k je mpaka hapo huoni ni imani nzuri tu kuendana na mafundisho hayo ambayo naamini hata uislam na ukristo tunafundishwa

Na imani hii sio kwa wabudha tu wanaamini dunia nzima kma hufuati hyo misingi basi utaishi maisha ya mzunguko ya mateso mpaka unyooke na ubadilike kma utapata fursa ya kurudi duniani tena otherwise utazaliwa punda maisha yako yote utandikwe viboko mpaka ukome sio lazima uwe mbwa koko unaweza hata ukazaliwa mti wenye mwiba au mti mbaya mbaya kuendana na matendo yako
Mkuu Zitto Junior mambo vp.!

Me nina kaswali japo kako nje ya mada lkn sio mbaya ukanimegea japo kidogo....,

Buddha ni miongoni mwa dini tano zilizokuwepo kabla ya ujio wa Yesu.

Swali:Nani mwanzilishi au nani alikuja nayo au chimbuko lake...???kama tunavyoona Yesu alikuja Ukristo,Muddy alikuja na Uislam nk.

Nimekuliza hivyo kwasababu naona kama unaifahamu hiyo dini vizuri.

Nakusubiri.
 
Mkuu Zitto Junior mambo vp.!

Me nina kaswali japo kako nje ya mada lkn sio mbaya ukanimegea japo kidogo....,

Buddha ni miongoni mwa dini tano zilizokuwepo kabla ya ujio wa Yesu.

Swali:Nani mwanzilishi au nani alikuja nayo au chimbuko lake...???kama tunavyoona Yesu alikuja Ukristo,Muddy alikuja na Uislam nk.

Nimekuliza hivyo kwasababu naona kama unaifahamu hiyo dini vizuri.

Nakusubiri.
Na huo ukiazi sijui atumie mbinu gani.
 
Nilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwa
Vp wale wafuasi wa Muddy wanaoamini kuwa ukiua Kafri unapata thawabu kwa Mungu na unaandaliwa mwanamwali mzuri tena bikra...,

Is that a right faith...????
 
Mkuu Zitto Junior mambo vp.!

Me nina kaswali japo kako nje ya mada lkn sio mbaya ukanimegea japo kidogo....,

Buddha ni miongoni mwa dini tano zilizokuwepo kabla ya ujio wa Yesu.

Swali:Nani mwanzilishi au nani alikuja nayo au chimbuko lake...???kama tunavyoona Yesu alikuja Ukristo,Muddy alikuja na Uislam nk.

Nimekuliza hivyo kwasababu naona kama unaifahamu hiyo dini vizuri.

Nakusubiri.
Siko deep sana ila nliwahi kuisoma nikiwa chuo Kwenye course unit flani inaitwa world views....

Kuendana na nlichofundishwa ni kwamba Buddhism ilianza karne 6 kabla ya Yesu kuzaliwa na kama alivyosema mtoa mada muanzilishi alikuwa Siddhartha Gautama

Imeitwa BUDDHA ikimaanisha ANAYEJITAMBUA.... Yaani muanzilishi wa hiyo imani alipokuwa kwenye tafakuri nzito ya maana halisi ya maisha ndio ''AKAJITAMBUA'' na kuja na mafundisho yake kwa watu wake na ndio ikazaa hyo imani inayotoa muongozo wa mambo ambayo yanaweza mfanya mtu kuishi maisha ya kitakatifu

Binafsi naona mafundisho yake yana mashiko sana hasa hizo eight-fold paths..... Kma tungezishika wanadamu wote kungekuwa hakuna vita wizi ukahaba tamaa mauaji vurugu n.k

Anapokosea tu ni definition yake ya maisha baada ya kifo ila mengine yote naona ni muhim tuyashike na tuyafundishe ili tuwe na nidhamu ya maisha

RIP Siddhartha Gautama
 
Siko deep sana ila nliwahi kuisoma nikiwa chuo Kwenye course unit flani inaitwa world views....

Kuendana na nlichofundishwa ni kwamba Buddhism ilianza karne 6 kabla ya Yesu kuzaliwa na kama alivyosema mtoa mada muanzilishi alikuwa Siddhartha Gautama

Imeitwa BUDDHA ikimaanisha ANAYEJITAMBUA.... Yaani muanzilishi wa hiyo imani alipokuwa kwenye tafakuri nzito ya maana halisi ya maisha ndio ''AKAJITAMBUA'' na kuja na mafundisho yake kwa watu wake na ndio ikazaa hyo imani inayotoa muongozo wa mambo ambayo yanaweza mfanya mtu kuishi maisha ya kitakatifu

Binafsi naona mafundisho yake yana mashiko sana hasa hizo eight-fold paths..... Kma tungezishika wanadamu wote kungekuwa hakuna vita wizi ukahaba tamaa mauaji vurugu n.k

Anapokosea tu ni definition yake ya maisha baada ya kifo ila mengine yote naona ni muhim tuyashike na tuyafundishe ili tuwe na nidhamu ya maisha

RIP Siddhartha Gautama
Asante Mkuu.
 
Nope nafsi yako inasafiri kote huko so unajitambua kabisa kuwa ulikufa ukiwa kahaba so sahivi unateseka hivyo inatakiwa ubadilike ukipata chance nyingine ya kuzaliwa duniani hivyo basi ukizaliwa tena hauwezi rudia makosa yaleyale ambayo yalisababisha uishi maisha mabovu baada ya kifo
Sory hapo kidogo..mimi mbona sjikumbuki maovu na mazuri...au ndio nipo stage ya kwanza Kwenye life cycle?
 
Yeah mkuu nilikuwa mnyapala wa watumwa ndio maana sahivi nmezaliwa mmachinga napigika kwenye jua 😀😀 kiddin just

Ila hyo ndio imani yao mkuu wapo nusu billion wanaofuata hiyo dini hivyo tuheshimu tu mawazo yao
Hahaaaa acha zako ndungu..
Hakuna mtu anayejua mm nishatafakari mno ila nimetoka kapa..
Nipatie vitabu unavyosomaga.
 
Hahaaaa acha zako ndungu..
Hakuna mtu anayejua mm nishatafakari mno ila nimetoka kapa..
Nipatie vitabu unavyosomaga.
Mkuu ndio imani yao hiyo na wanaamini ukifanya meditation ndio utajua ulipotoka na wapi unakwenda

Jiulize ulishwahu fanya meditation kabisa ile ambayo hata nzi akipita mita 50 unamsikia?? Gautama alifanya hiyo so na wwe jaribu unaweza pata majibu otherwise kwa imani yao ukifa na madhambi maisha yajayo utakuwa mmachinga huko bamako !!!
 
Back
Top Bottom