Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 856
- 395
Argumentum ad hominemNakujua fika. Pole mwalimu pambana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Argumentum ad hominemNakujua fika. Pole mwalimu pambana.
Kuna DAS wameteuliwa juzi walikua jobless kabisa ujue1.Das-Katibu Tawala Wilaya ni Mtendaji Mkuu katika Wilaya ni nafasi ya kiutendaji sio kisiasa-huteuliwa na Katibu Mkuu Utumishi na sio Rais
2.Kunapofanyika mabadiliko ukaachwa hupangiwi kazi nyingine bali unarudi katika cheo chako cha wali kabla ya kupata teuzi hiyo.Kama ulikuwa Afisa Tawala Mwandamizi basi utarudi kwenye cheo chako cha Muundo.
3. DAS ni laazima awe public servant na sio vinginevyo-MAGUFULI alikwenda against kanunzi za Utumishi wa Umma na kuteua MADAS pasipo kufuata sheria za utumishi wa Umma na Katiba,hivyo ni lazima atarejea kwenye kazi yake ya awali baada ya kutenguliwa.
4.Hakuwahi kutokea DAS akawa sio Mtumishi wa Umma kabla ya Magufuli,kwa kuwa Marais wote waliotanguli waliiendesha Nchi kiutawala kwa kufuata Sheria na Kanuni-hawa alioteuliwa na Magufuli kama hukuwa mtumishi wariludi uraiani.
5. ukifuata miongozo iliyopo sio rahisi Mwalimu kupata uteuzi wa Kuwa DED au DAS kutokana na kuwa DED lazima uwe miongoni wa Wakuu wa Idara. Hivyo basi kanuni za uteuzi zilizopo zinawabeba Wachumi/Maafisa Mipango kuwa Wakurugenzi/DED na Maafisa Tawala/Utumishi kuwa MADAS- hii ilitokana na kuwa Ma-DED wanasimamia maendeleo ya Halmashauri (Bajeti & MIpango) na Ma-Das wanasimamia Utawala ndani ya Wilaya
1.Das-Katibu Tawala Wilaya ni Mtendaji Mkuu katika Wilaya ni nafasi ya kiutendaji sio kisiasa-huteuliwa na Katibu Mkuu Utumishi na sio Rais
2.Kunapofanyika mabadiliko ukaachwa hupangiwi kazi nyingine bali unarudi katika cheo chako cha wali kabla ya kupata teuzi hiyo.Kama ulikuwa Afisa Tawala Mwandamizi basi utarudi kwenye cheo chako cha Muundo.
3. DAS ni laazima awe public servant na sio vinginevyo-MAGUFULI alikwenda against kanunzi za Utumishi wa Umma na kuteua MADAS pasipo kufuata sheria za utumishi wa Umma na Katiba,hivyo ni lazima atarejea kwenye kazi yake ya awali baada ya kutenguliwa.
4.Hakuwahi kutokea DAS akawa sio Mtumishi wa Umma kabla ya Magufuli,kwa kuwa Marais wote waliotanguli waliiendesha Nchi kiutawala kwa kufuata Sheria na Kanuni-hawa alioteuliwa na Magufuli kama hukuwa mtumishi wariludi uraiani.
5. ukifuata miongozo iliyopo sio rahisi Mwalimu kupata uteuzi wa Kuwa DED au DAS kutokana na kuwa DED lazima uwe miongoni wa Wakuu wa Idara. Hivyo basi kanuni za uteuzi zilizopo zinawabeba Wachumi/Maafisa Mipango kuwa Wakurugenzi/DED na Maafisa Tawala/Utumishi kuwa MADAS- hii ilitokana na kuwa Ma-DED wanasimamia maendeleo ya Halmashauri (Bajeti & MIpango) na Ma-Das wanasimamia Utawala ndani ya Wilaya
[emoji23][emoji23][emoji23],Kwamba huwezi kuishi.Meru tangu lini nikaishi Meru mie
Possible,kwa hii nchi ambayo Wabunge wanasifu na kumuabudu Rais inaweza kufanyika.kuna siku Rais atateua Wakuu wa Idara kwny Halmashauri