Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Jibu ni ndiyoHoja yangu ni kwamba mwanamke kwa mfano akiwa ameweka kijiti kile cha muda wa miaka mitano (5) na akafikisha miaka mitatu (3) nacho akaamua kukitoa kabla ya muda uliyokusudiwa
Je anaweza kupata mimba mara baada yakukitoa ama atasubiri mpaka miaka hiyo mitano (5) ifike
Jibu la kitaalamu au ni l kubashiri tuJibu ni ndiyo
Dawa gani hizoOyaa, akikitoa Hakikisha anatumia dawa ya kuondoka sumu mwilini. Ndo atabeba mimba.
Kitaalamu imekaaje kwaniInategemea na mtu na mtu,kuna mwingine akitoa Tu anashika, mwingine utasanda kweli kweli!!
WakujeMadokta wa JF tunawasubiri hapa Kwa michango yenu
I have zero experience na hizo vitu.🥴
AsanteI have zero experience na hizo vitu.🥴
SawaMwanamke anapoacha kutumia uzazi wa mpango anashika mimba
Zingatia neno ANAPOACHA