Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Anazuga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jina lake tu, kambi ya fisi 🀣
Fisi si unawajua lakini?!!
Natamani nikuletee huku kambi ya fisi ushuhudie kulivyo kuzuri, amani tele, mioyo iliyovunjika hugangwa kambi ya fisi, mateka waliofungwa huwekwa huru.

Shida yako unadhani kambi ya fisi ipo kule serengeti national park πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Natamani nikuletee huku kambi ya fisi ushuhudie kulivyo kuzuri, amani tele, mioyo iliyovunjika hugangwa kambi ya fisi, mateka waliofungwa huwekwa huru.

Shida yako unadhani kambi ya fisi ipo kule serengeti national park πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe wote tunajua fisi kazi yao ni kudeal na nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna mimba ya bahati mbaya, ikiingia ilikusudiwa na Mungu mwenyewe, so ukijirengesha tu kwa kwa baba mchungaji utaijaza nchi πŸ˜‚πŸ˜‚ba
Eee hizo tunamletea watumishi wa kuhubiri habari njema kutoka kwake sio sana!!!
Hazifatilii kabisaaa!! Ndiomana hata kahaba anaweza kuzaa mchungaji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…