Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa 😂😂😂 Lamomy huyuuu
🤣🤣🤣🤣 kumbe uliona mfyuuuu!!!
Ile mi nafatishaga wanavyosema mumeo mjeda!! Wala hakuna mtu yoyote pm kwangu ninayezogoa naye zaidi yako na Joannah na kivuruge coca bas
 
Back
Top Bottom