Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mie mwenyewe nimeshangaa huyu popoma itakuwa anashida sanaHv kumbe Kuna followers ndyo najua leo 🤣🤣🤣
Me najua insta huko ndyo Kuna mambo haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie mwenyewe nimeshangaa huyu popoma itakuwa anashida sanaHv kumbe Kuna followers ndyo najua leo 🤣🤣🤣
Me najua insta huko ndyo Kuna mambo haya
🤣🤣🤣🤣 kumbe uliona mfyuuuu!!!Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa 😂😂😂 Lamomy huyuuu
Subiría huku umefumba na macho kabisa maana inakuja taratibu 😂 😂Nasubiri 😍😍😍
Analia lia kuliko lastbornMir mwenyewe nimeshangaa huyu popoma itakuwa anashida sana
Wewe emu tulia upate mume 😂😂😂Wee komaa nae uduguuu unipe ili nigundue nini mi! 😊
Mi mwenyewe ndo nimeshangaa hapo hivi vitu hata sivielewi!Hv kumbe Kuna followers ndyo najua leo 🤣🤣🤣
Me najua insta huko ndyo Kuna mambo haya
Kabisa anatatizo kubwa sanaAnalia lia kuliko lastborn
Hao ni mashemeji zangu ujue, sitaki ugomvi na mtu 😂Ntakupa @Antonnia na @Missy Gf km kifungashio 😂😂😂
Haya 😂😂😂Subiría huku umefumba na macho kabisa maana inakuja taratibu 😂 😂
Nina wame wengi hadi wengine sijui niwaweke wapi uduguuu 🤠! Sitrakiiii mi!Wewe emu tulia upate mume 😂😂😂
Mi nataka maokoto hapa
Shemeji hiyo kwiooHao ni mashemeji zangu ujue, sitaki ugomvi na mtu 😂
Umefanya la maana kumpiga stop 😂Wee komaa nae uduguuu unipe ili nigundue nini mi! 😊
Sir midabwada bado anatutafutia mill 100 zetu 😂😂😂Nina wame wengi hadi wengine sijui niwaweke wapi uduguuu 🤠! Sitrakiiii mi!
Hayo ni makaratasi tu wala hayanaga maana yeyote, sihitaji wanioneshe hayo makaratasi ila najua ni mashemeji zangu hao.Waambie wakuonyeshe vyeti vya ndoa!!
Usikute ukiwa na followers wengi unalipwa 🤣Mi mwenyewe ndo nimeshangaa hapo hivi vitu hata sivielewi!
Komaa nae mtoto mkaree balaa huyo!Umefanya la maana kumpiga stop 😂
Kwahili Uko makini sana!👏👏 Unajielewa😂Shemeji hiyo kwioo
Waambie wakuonyeshe vyeti vya ndoa!!
Kwanza shemeji mkwehe 🤣🤣🤣🤣
Nimekwambia shemeji mkwehe km mnazi!!Hayo ni makaratasi tu wala hayanaga maana yeyote, sihitaji wanioneshe hayo makaratasi ila najua ni mashemeji zangu hao.