Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Imeisha hiyo 😅
🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!!
Hii imeenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!!
Hii imeenda
Hapa nataka niwapitie wote afu niwaulize why wamenifolo? Ntakayeguswa na jibu lake ntampa vocha ya buku 10 😂😂😂😂Hata sielewi mambo za followers walai 😊
Una folowaz wangapi wewe??? Mi Sina hata mmoja dohh!Nimekumbuka kuwa ulikunywa supu ya comredi Bashite 😁
Hiyo ndiyo sababu hujui nani anakufollow 😁😁
Nikuambie nini zaidi?kweli tena sijui hata 😁!
Ila umenichekesha 😂😂😂Imeisha hiyo 😅
Umetishaaa uduguuu! Bila shaka ushafikisha mia naushee huko!Hapa nataka niwapitie wote afu niwaulize why wamenifolo? Ntakayeguswa na jibu lake ntampa vocha ya buku 10 😂😂😂😂
Kumbe kuna watu wamenifolo na mwenyewe sijui 🤣🤣🤣
Wee niambie unaangaliaje kwanza ukute nimesema sina vile sijui hata namna ya kuangalia🤠Nikuambie nini zaidi?
Basi baki hivyo hivyo kama hukuitema ile supu ndio imetoka hiyo 😁
Ina maana umezima kitufe cha notification kwa app unayoitumia kuingia jf?Wee niambie unaangaliaje kwanza ukute nimesema sina vile sijui hata namna ya kuangalia🤠
Hapo ndo unanchanga kabisa kumbe kuna na vitufe tena🤔???Ina maana umezima kitufe cha notification kwa app unayoitumia kuingia jf?
Sana tu, tena chai zako sio kama zile za kutengeneza kwa majani ya chai jaba ama chai Bora 😅Ila umenichekesha 😂😂😂
Hivi nina chai sana?!!
Hata sijui wako wangapi nimeona kambi ya fisi tu kanifolo ss hivi 😂😂😂Umetishaaa uduguuu! Bila shaka ushafikisha mia naushee huko!
Mkuu unajuaje idadi ya followers ulionao? Hao wa Mshana na wako umewajuaje? Mimi, kwa mfano, nina followers wangapi? 😳Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa
Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?
Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?
Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu
Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Mi hata sielewi hizi mambo kiukweli!Hata sijui wako wangapi nimeona kambi ya fisi tu kanifolo ss hivi 😂😂😂
Dah!! 🤣🤣🤣🤣Sana tu, tena chai zako sio kama zile za kutengeneza kwa majani ya chai jaba ama chai Bora 😅
Hapa natafuta sehemu ya kuangalia hao followers siioni 😂😂😂Mi hata sielewi hizi mambo kiukweli!
Hunaga siri weye 😂Hata sijui wako wangapi nimeona kambi ya fisi tu kanifolo ss hivi 😂😂😂
Sikupi aiseeDah!! 🤣🤣🤣🤣
Nipe chai moja uliyokunywa ikakusisimua mwili
Sema bhana 😂😂😂Hunaga siri weye 😂
Kuna kitu nilitaka kukumegea ila kwa siri iliyomwaga hapa nimeahirisha aisee.
Udugu Huna Siri weee !Sema bhana 😂😂😂
Ninong’oneze bas kidogo
Nipe 😂😂😂Sikupi aisee