Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa

Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?

Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?

Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu

Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Relax, hamna mtu analipwa hapa JF kwa kuwa followers wengi
 
Sa

Sasa unaitisha nisikuripoti et🤣🤣🤣 ban utakula tu. Mi nisharipoti mitusi Yako yote. Subiri tu nitumie ila ban lazima ule
ulivyoniripoti umekumbuka pia kuwaambia kuwa umeidhalilisha id ya member GENTAMYCINE kwa kuiita Gentamavi?

pumbavu

Screenshot_20231119-233152.png
 
"Adorabo enjo" tulia kwanza tuambie pete ilikua ya madini gani

Enjo mpaka sasa una ID 4..

zote za mipasho 😂😂😂

halafu 3 zimefungiwa mods wanaona zimekua kama vipindi vya redio vya mipasho saa 6 mchana zinapiga tantarira na maneno kibao kama jahazi modern unakimbizana na mzee yusuf kwa misemo sema yeye anaingiza hela anaimba
wewe uko kuliwazana na follower wako
what a rubbish and nonsensical comment
 
Niambiwe nitaje watu 50 jamii forum niwataje haraka haraka

Genta hatokaa atajwe😄😄😄

Haitokaa itokee
Labda wenzangu wanaokuja lakini sidhani

Ila watu 50 wakiitwa wataje ID maarufu mshana inaweza tokea mara 40+

😁😁😁genta tulia umaarufu haufosiwi
Genta ni nani mkuu
 
Mbona mimi ninao followers kumzidi huyo Gentamicine and you'll never see me bitching about it?
hongera mkuu unao wangapi mwenzetu? unaweza hata angalau tu kutupunguzia me mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian tusiompenda GENTAMYCINE mwenye followers wengi tu nae?
 
ukiona unajitutumua kuandika kitu ukijiona unajua au una akili halafu zinapita dakika 5 hamna mtu aliye like post yako jua wewe ni mpumbavu kuliko maelezo

🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom