Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Mimi sina followers bro

Umesema mwenyewe angekua mwendawazimu kumfollow mtu kama mimi😁😁😁😁

Pete ilikua ya dhahabu au almasi? Mkuu
kwahiyo unakiri pasi na shaka kuwa wewe ni mwendawazimu na ndiyo maana huwezi kuwa followed na member yoyote yule hapa jamiiforums?
 
Points ndo unaita followers😂😂
halafu akiambiwa ni mwendawazimu atakasirika. kuwa followed na hata 50 members tu hapa jamiiforums ni sifa na heshima kwani inaonyesha una mvuto wa kiuwasilishaji na kitu fulani cha utofauti dhidi ya wengine wenye wivu, chuki na roho mbaya akina Cognizant na wenzangu Dabil na Charles kilian
 
Huyu jamaa anapenda kujipa promo sana aisee. Hii airtime anayojipa kwa multiple IDs anafaidika vipi.?

Kupenda attention haswa kwa mwanaume ni dalili mbaya kuliko kwa mwanamke ambaye naturally kwa kiasi flani yupo hivyo.

Kwa mwanaume kuna vitu kama sonona, upweke na maumivu havikosekani. Imagine maisha yako yanaenda vizuri na una watu wanaokupenda, utapata muda wapi wa kutaka attention za watu ili uwatusi??..

Labda kama iwe ID za kina maxcence za kuchangamsha jukwaa Ila bila hivyo. Kuna shida mahali
 
kwahiyo unakiri pasi na shaka kuwa wewe ni mwendawazimu na ndiyo maana huwezi kuwa followed na member yoyote yule hapa jamiiforums?
Mkuu basi sawa

Ndio mimi ni unachokisema 😁😁 sawa

Kwahiyo umevishwa pete gani na huyo follower wako umpendae?

Halafu njemba na makwarukwaru yako muandiko wa mtu mzima unajiita "adorabo enjo" hivi una mpenzi kweli wewe au ndo hivo tena

Clean sheet hamna😁😁😁
 
Siyo mwerevu ni Muelevu
Siyo Atakufolo ni atakufollow

Babaako angefuga ng'ombe angepata faida ya maziwa kuliko kupeleka shule punda kama wewe
wenye akili walishanielewa ulibakia moron wewe na @IFAQ mliobakia kutonielewa na ndiyo maana kumbe hamna hata follower mmoja
 
Mkuu basi sawa

Ndio mimi ni unachokisema 😁😁 sawa

Kwahiyo umevishwa pete gani na huyo follower wako umpendae?

Halafu njemba na makwarukwaru yako muandiko wa mtu mzima unajiita "adorabo enjo" hivi una mpenzi kweli wewe au ndo hivo tena

Clean sheet hamna😁😁😁
naona unaendelea kututhibitishia uwendawazimu wako tu. heko....!!
 
wewe rais wa wendawazimu ukipigwa ban basi nae mfuasi atafuatia
Sawa malkia wa wendawazimu. Ila hii I'd Yako nyingine ukiacha Ile ya Gentamavi zote zitakula ban🤣 mi harakat zangu sio za kitoto. Kwanza una bahat Leo nilikua busy
 
Kupenda attention haswa kwa mwanaume ni dalili mbaya kuliko kwa mwanamke ambaye naturally kwa kiasi flani yupo hivyo.

Kwa mwanaume kuna vitu kama sonona, upweke na maumivu havikosekani. Imagine maisha yako yanaenda vizuri na una watu wanaokupenda, utapata muda wapi wa kutaka attention za watu ili uwatusi??..

Labda kama iwe ID za kina maxcence za kuchangamsha jukwaa Ila bila hivyo. Kuna shida mahali
ukiona unajitutumua kuandika kitu ukijiona unajua au una akili halafu zinapita dakika 5 hamna mtu aliye like post yako jua wewe ni mpumbavu kuliko maelezo
 
Sawa malkia wa wendawazimu. Ila hii I'd Yako nyingine ukiacha Ile ya Gentamavi zote zitakula ban🤣 mi harakat zangu sio za kitoto. Kwanza una bahat Leo nilikua busy
kuna mpumbavu mwenzake sasa yuko banned kwa kumuita GENTAMYCINE hivyo gentamavi kama ulivyomuita hivyo ngoja nii screenshot hii post yako na Genta akitoka ban aitumie na akuripoti kwa moderator ule kifungo
 
naona unaendelea kututhibitishia uwendawazimu wako tu. heko....!!
"Adorabo enjo" tulia kwanza tuambie pete ilikua ya madini gani

Enjo mpaka sasa una ID 4..

zote za mipasho 😂😂😂

halafu 3 zimefungiwa mods wanaona zimekua kama vipindi vya redio vya mipasho saa 6 mchana zinapiga tantarira na maneno kibao kama jahazi modern unakimbizana na mzee yusuf kwa misemo sema yeye anaingiza hela anaimba
wewe uko kuliwazana na follower wako
 
Sa
kuna mpumbavu mwenzake sasa yuko banned kwa kumuita GENTAMYCINE hivyo gentamavi kama ulivyomuita hivyo ngoja nii screenshot hii post yako na Genta akitoka ban aitumie na akuripoti kwa moderator ule kifungo
Sasa unaitisha nisikuripoti et🤣🤣🤣 ban utakula tu. Mi nisharipoti mitusi Yako yote. Subiri tu nitumie ila ban lazima ule
 
Back
Top Bottom