Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Mimi sina followers brokwani wewe hao ulionao umeshawazalia?
Umesema mwenyewe angekua mwendawazimu kumfollow mtu kama mimi😁😁😁😁
Pete ilikua ya dhahabu au almasi? Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina followers brokwani wewe hao ulionao umeshawazalia?
what a rubbish and nonsensical postPole sana.. ingawa sifahamu maumivu ya kupigwa bani HUMU...coz sijawahi pigwa.
Nakutakia usingizi mnono usiku wa leo, ili upumzike kidogo.
kwahiyo unakiri pasi na shaka kuwa wewe ni mwendawazimu na ndiyo maana huwezi kuwa followed na member yoyote yule hapa jamiiforums?Mimi sina followers bro
Umesema mwenyewe angekua mwendawazimu kumfollow mtu kama mimi😁😁😁😁
Pete ilikua ya dhahabu au almasi? Mkuu
Siyo mwerevu ni Muelevukwa upuuzi ulionao ni mwerevu gani atakufolo?
halafu akiambiwa ni mwendawazimu atakasirika. kuwa followed na hata 50 members tu hapa jamiiforums ni sifa na heshima kwani inaonyesha una mvuto wa kiuwasilishaji na kitu fulani cha utofauti dhidi ya wengine wenye wivu, chuki na roho mbaya akina Cognizant na wenzangu Dabil na Charles kilianPoints ndo unaita followers😂😂
Huyu jamaa anapenda kujipa promo sana aisee. Hii airtime anayojipa kwa multiple IDs anafaidika vipi.?
Mkuu basi sawakwahiyo unakiri pasi na shaka kuwa wewe ni mwendawazimu na ndiyo maana huwezi kuwa followed na member yoyote yule hapa jamiiforums?
wenye akili walishanielewa ulibakia moron wewe na @IFAQ mliobakia kutonielewa na ndiyo maana kumbe hamna hata follower mmojaSiyo mwerevu ni Muelevu
Siyo Atakufolo ni atakufollow
Babaako angefuga ng'ombe angepata faida ya maziwa kuliko kupeleka shule punda kama wewe
Acha kutesekahuoni aibu kujinasibu kuwa wewe ni mkongwe hapa jamiiforums ila huna hata a single follower? ungekuwa na akili sawa sawa hata huu utumbo wako usingetuandikia hapa kwani umejichoresha na kujiaibisha pia
naona unaendelea kututhibitishia uwendawazimu wako tu. heko....!!Mkuu basi sawa
Ndio mimi ni unachokisema 😁😁 sawa
Kwahiyo umevishwa pete gani na huyo follower wako umpendae?
Halafu njemba na makwarukwaru yako muandiko wa mtu mzima unajiita "adorabo enjo" hivi una mpenzi kweli wewe au ndo hivo tena
Clean sheet hamna😁😁😁
kwa kukukandamizia nayo yote kipenyoni au?Acha kuteseka
wewe rais wa wendawazimu ukipigwa ban basi nae mfuasi atafuatiaHuyu mwendawazimu Bado tu hajala ban
Sawa malkia wa wendawazimu. Ila hii I'd Yako nyingine ukiacha Ile ya Gentamavi zote zitakula ban🤣 mi harakat zangu sio za kitoto. Kwanza una bahat Leo nilikua busywewe rais wa wendawazimu ukipigwa ban basi nae mfuasi atafuatia
ukiona unajitutumua kuandika kitu ukijiona unajua au una akili halafu zinapita dakika 5 hamna mtu aliye like post yako jua wewe ni mpumbavu kuliko maelezoKupenda attention haswa kwa mwanaume ni dalili mbaya kuliko kwa mwanamke ambaye naturally kwa kiasi flani yupo hivyo.
Kwa mwanaume kuna vitu kama sonona, upweke na maumivu havikosekani. Imagine maisha yako yanaenda vizuri na una watu wanaokupenda, utapata muda wapi wa kutaka attention za watu ili uwatusi??..
Labda kama iwe ID za kina maxcence za kuchangamsha jukwaa Ila bila hivyo. Kuna shida mahali
😂😂😂 raraa reree mtu poa sana.........jitahidi kuongeza ubora wa content katika posti zako utapata followers, binafsi sina folowaz, huwa nafarijika tu nikipata likes kutoka kwa kina raraa reree........
kuna mpumbavu mwenzake sasa yuko banned kwa kumuita GENTAMYCINE hivyo gentamavi kama ulivyomuita hivyo ngoja nii screenshot hii post yako na Genta akitoka ban aitumie na akuripoti kwa moderator ule kifungoSawa malkia wa wendawazimu. Ila hii I'd Yako nyingine ukiacha Ile ya Gentamavi zote zitakula ban🤣 mi harakat zangu sio za kitoto. Kwanza una bahat Leo nilikua busy
"Adorabo enjo" tulia kwanza tuambie pete ilikua ya madini ganinaona unaendelea kututhibitishia uwendawazimu wako tu. heko....!!
Sasa unaitisha nisikuripoti et🤣🤣🤣 ban utakula tu. Mi nisharipoti mitusi Yako yote. Subiri tu nitumie ila ban lazima ulekuna mpumbavu mwenzake sasa yuko banned kwa kumuita GENTAMYCINE hivyo gentamavi kama ulivyomuita hivyo ngoja nii screenshot hii post yako na Genta akitoka ban aitumie na akuripoti kwa moderator ule kifungo