Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wenzako sio wavivu wa ku like comments za wengine, yaani hata wakitukanwa wao humwaga like tu.Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu @Dabil na @Charles kilian
Hawatakuambia ng'oo 😁Hata walioni follow siwajui na sijui wako wangapi? 🤣🤣🤣🤣
Mlioni follow najua kuna kitu kimewasukuma kunifolo ebu njooni mniambie why mmenifolo my guys!!
Itakuwa wanagawa pesa na hatujui udugu 😂😂😂😂Hivi followers humu wana faida/ hasara gani??
Waseme tujue ili tujue nini tuongeze au kipi tupunguze😂😂😂Hawatakuambia ng'oo 😁
Thithemi ng'oo 😁😁Waseme tujue ili tujue 😂😂😂
Na wewe nimeona umenifolo 😂😂😂Thithemi ng'oo 😁😁
Kwanza hata unaziangalizia wapi🤠?? Na ushamba Wangu hata sijui mambo ya followers doh!!Hata walioni follow siwajui na sijui wako wangapi? 🤣🤣🤣🤣
Mlioni follow najua kuna kitu kimewasukuma kunifolo ebu njooni mniambie why mmenifolo my guys!!
Na wewe nimeona umenifolo 😂😂😂
Hebu nambie basi bhana
Mi nimeona notification ya kambi ya fisi now amenifolo 😂😂😂Kwanza hata unaziangalizia wapi🤠?? Na ushamba Wangu hata sijui mambo ya followers doh!!
🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!!Napenda kiki na chai zako full stop
Hata sielewi mambo za followers walai 😊Mi nimeona notification ya kambi ya fisi now amenifolo 😂😂😂
Nimekumbuka kuwa ulikunywa supu ya comredi Bashite 😁Kwanza hata unaziangalizia wapi🤠?? Na ushamba Wangu hata sijui mambo ya followers doh!!
kweli tena sijui hata 😁!Nimekumbuka kuwa ulikunywa supu ya comredi Bashite 😁
Hiyo ndiyo sababu hujui nani anakufollow 😁😁