Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

🤣🤣🤣
Kazi unayo kwa hii aidii yako ingine.. Acha kuishi na chuki hata ujanja wa kuandika hivi.. unaumia upo bizi Lusaka rivenji hadi umefikiri ya followers hao wenzako labda hawajawahi kufatilia kama mimi.
 
.........jitahidi kuongeza ubora wa content katika posti zako utapata followers, binafsi sina folowaz, huwa nafarijika tu nikipata likes kutoka kwa kina raraa reree........

🤣🤣🤣
Mwenzako kaandika kuhusiana na hao wawili aliowatagi na kujitagi pia kutingishia.. ako na gemu yake kwa hili.
 
🤣🤣🤣
Kazi unayo kwa hii aidii yako ingine.. Acha kuishi na chuki hata ujanja wa kuandika hivi.. unaumia upo bizi Lusaka rivenji hadi umefikiri ya followers hao wenzako labda hawajawahi kufatilia kama mimi.
what a rubbish and nonsensical post
 
Sasa mtu una ID 200,ukijifollow mwenyewe kwa ID zako zote si ndo utakua na followers 200!??
nasikia na wewe uko katika tatu bora hapa jamiiforums ya members wenye utajiri wa followers je, ni kweli?
 
Back
Top Bottom