cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
kwahiyo unataka kusema mimi Cognizant, Dabil na Charles kilian hatuna Ushawishi, mvuto na akili ndiyo maana hatuna hata follower mmoja tu na tumebakia na wivu, chuki na roho mbaya zetu zilizotukomaa hadi katika kope zetu za macho?Nadhani ni kutokana na ushawishi wa mtu binafsi na kile anachochangia humu JF.
Yaani na wewe unategemea mm nimjibu genta kabisa. Ukaenda kufungua id yangu ujue.πΉπΉπΉπΉπΉ OOH MY GOOODπππ€π.Points ndo unaita followersππ
.........jitahidi kuongeza ubora wa content katika posti zako utapata followers, binafsi sina folowaz, huwa nafarijika tu nikipata likes kutoka kwa kina raraa reree........
what a rubbish and nonsensical postπ€£π€£π€£
Kazi unayo kwa hii aidii yako ingine.. Acha kuishi na chuki hata ujanja wa kuandika hivi.. unaumia upo bizi Lusaka rivenji hadi umefikiri ya followers hao wenzako labda hawajawahi kufatilia kama mimi.
huoni aibu kujinasibu kuwa wewe ni mkongwe hapa jamiiforums ila huna hata a single follower? ungekuwa na akili sawa sawa hata huu utumbo wako usingetuandikia hapa kwani umejichoresha na kujiaibisha piaSuites eke ndugu, followers is nothing nipo huku miaka kadhaa and I don't care
nasikia mwenzetu una followers 7000 jfHaya ndo matatizo yatokanayo na kuishi kwa shemeji
what a rubbish and nonsensical post
kwa upuuzi ulionao ni mwerevu gani atakufolo?Miaka yote natumia jf sijui hata kama kuna mambo ya followers
Acha kutafuta stress zisizo na mbele wala nyuma
Nimeambiwa Cogniz = Minocy = Genta
Akili kumkichwa ππ€ͺ
Kwani wewe huyo follower wako ameshakuvisha pete? πππna kwa aina hii ya majibu yako ya kiuwendawazimu na makasiriko ungekuwa na hata follower mmoja ningeshangaa na kuona wote wewe na yeye follower wako mna matatizo ya akili
........alaaah!! kumbeπ.....π€£π€£π€£
Mwenzako kaandika kuhusiana na hao wawili aliowatagi na kujitagi pia kutingishia.. ako na gemu yake kwa hili.
what a rubbish and nonsensical postLolote andika.. njoo nikufundishe ujajwa wa kisimati.. usijionyeshe kiuwazi na maneno yako mengi.. bado tuna kudaka...
kwani wewe hao ulionao umeshawazalia?Kwani wewe huyo follower wako ameshakuvisha pete? πππ
nasikia na wewe uko katika tatu bora hapa jamiiforums ya members wenye utajiri wa followers je, ni kweli?Sasa mtu una ID 200,ukijifollow mwenyewe kwa ID zako zote si ndo utakua na followers 200!??
what a rubbish and nonsensical post
big brain Cognizant........alaaah!! kumbeπ.....