Naomba kujua kwanini Mwl. Nyerere hakuwahi kuvaa sare ya CCM?

Naomba kujua kwanini Mwl. Nyerere hakuwahi kuvaa sare ya CCM?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Usije unapumua na kuhema juu juu kama una ushahidi wa picha ya Mwl aliyokua amevaa sare ya CCM tafadhali share, kama hakuna ni kwa nini aikua havai?

660BC87B-DB45-41F2-9FBC-1B66F1B6EB46.jpeg
 
Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.

by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
 
Naomba picha ya mwalimu nyerere akiwa kwenye kikao Cha kamati kuu ya chama au yeyote akiwa kwenye shughuli ya chama Cha mapinduzi na Kama picha akiwa kwenye kikao haipo je hakuwahi kushiriki kamati kuu ikiwa yeye amewahi kuwa mwenyekiti wa chama hicho?
 
Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.

by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
Hata kama sare zimebuniwa 1990, bado ulikuwepo muda wa kutosha kwa Nyerere kuvaa hizo sare, kwasababu yako hii nakuona nawe huna akili.
 
alijua watatokea masadukayo na ndio maana akaweka mfumo wa vyama vingi
 
Mwalimu inaonesha hakuvutiwa na mambo yaliyokua yakiendelea chamani ndio maana akayapa mgongo
 
Hata kama sare zimebuniwa 1990, bado ulikuwepo muda wa kutosha kwa Nyerere kuvaa hizo sare, kwasababu yako hii nakuona nawe huna akili.
Na pia alikuwa mwenyekiti wa chama chenu mpaka 1992 ndipo akamkabidhi Mzee Mwinyi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Alilipenda Taifa zaidi kuliko Chama
TANU baadae CCM dhumuni kubwa la Mwl ilikuwa ni kumtoa mkoloni
Waliofuta wakatengeneza chama cha kuwabagua WaTz
Hapo ndipo tofauti ilianza
Makaburu walizaliwa rasmi na ndipo tulipo leo

RIP Papa
 
Ni kwa sababu nafsi yake ilimsuta baada ya kugundua ameshiriki kuunda kikundi cha upigaji, badala ya chama makini cha siasa.
Ccm ni zao la TANU na ASP,TANU inatoka a na taa,taa inatokana na AA...hakuna chama kilichoundwa na nyerere hapo,ni Kama Simba ilikua sunderland
 
Alilipenda Taifa zaidi kuliko Chama
TANU baadae CCM dhumuni kubwa la Mwl ilikuwa ni kumtoa mkoloni
Waliofuta wakatengeneza chama cha kuwabagua WaTz
Hapo ndipo tofauti ilianza
Makaburu walizaliwa rasmi na ndipo tulipo leo

RIP Papa
Alipenda ujamaa na ukatoliki zaidi
 
Kuna uzi umo humu swala hili lilijadiliwa na kutolewa ufafanuzi.
 
Hata kama sare zimebuniwa 1990, bado ulikuwepo muda wa kutosha kwa Nyerere kuvaa hizo sare, kwasababu yako hii nakuona nawe huna akili.
Kwani Kutokuvaa kwake sare za kijani kunakuuma sana ama nini?

hebu wahi nyumbani huko kapeleke mafuta ya mboga mtoto, mamako anakusubiri na mwiko wa mgongo
 
Alivaa za kichadema zaidiView attachment 2108993
Dah! Jamaa wana sura za kazi kazi. Yaani enzi hizo Mkoloni akiona watu wa aina hii, alikuwa anatimua mbio mwenyewe.

Nadhani ifikie wakati na Makamanda wa Chadema nao waingie tu kazini, ili nchi ikombolewe kwa mara nyingine tena. Hawa wakoloni wetu weusi tukiendelea kuwachekea na vibaraka wao akina Zitto, Mrema, Cheyo, Hamad Rashid, Lipumba, nk, basi tutakuja kuvuna mabua siku za usoni.
 
Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.

by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
Usimtukane pasipo kujitafakari na wewe. Hoja ni kwa nini yeye akiwa kama mwanachama wa ccm hakuwa anavaa sare? Sasa unasema sare zimekuja akiwa ameshastaafu. Sasa kwani yeye akisataafu urais na sare nazo zinakuwa zimestaafu? Kwani kuvaa sare kwa mwanachama ni sharti uwe rais au madarakani? Akina Mzee Mwinyi na Kikwete wanavyovaa sare bado wapo madarakani? Au alipostaafu urais alistaafu na uanachama? Au alifariki kabla sare hazijazinduliwa? Kumbuka alifariki mwaka 1999.
 
Back
Top Bottom