Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Kumbe Bernard Morrison yupo kitambo sana? Na kwanini hazeeki? Namwona yupo hapo katikati ya Dr.Kaunda na Mwl.Nyerere.Alivaa za kichadema zaidiView attachment 2108993
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Bernard Morrison yupo kitambo sana? Na kwanini hazeeki? Namwona yupo hapo katikati ya Dr.Kaunda na Mwl.Nyerere.Alivaa za kichadema zaidiView attachment 2108993
Alifahamu kuwa hizo ni rangi za bendera ya chama na haikustahili watu kuvaa bendera.Usije unapumua na kuhema juu juu kama una ushahidi wa picha ya Mwl aliyokua amevaa sare ya CCM tafadhali share, kama hakuna ni kwa nini aikua havai?
View attachment 2108981
CCM mpya wanadhani kuwa mwanachama ni sare na siyo Imani.Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.
by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.
by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
Naona makamanda wote wanapiga gwanda wakiongozwa na gaidi, kumbe ni shobo tuu za wachumua tumbo!Huna akili kabisa wewe. CCM imezaliwa mwaka 1977, sare zimebuniwa mwaka 1990 wakati mzee alisha retire nafasi nyeti za uongozi.
by the way, kuvaa sare ni shobo za wachumia tumbo tu, its not a.must
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aliwashonea MANAMBA ndio WAVAEUsije unapumua na kuhema juu juu kama una ushahidi wa picha ya Mwl aliyokua amevaa sare ya CCM tafadhali share, kama hakuna ni kwa nini aikua havai?
View attachment 2108981
Kuvaa sare za chama ndo kuwa na akili? Kwahiyo nyumbu wore Wana akili kwa ajili wanavaa sare za magwanda yao?Hata kama sare zimebuniwa 1990, bado ulikuwepo muda wa kutosha kwa Nyerere kuvaa hizo sare, kwasababu yako hii nakuona nawe huna akili.
Mgombea urais wenu 2015 pia alizikataa sare zenu, je alijua kuwa chadema ni kundi la kuzulumu na kunyanyasa waTz?Alijua kuwa kundi la kuzulumu na kunyanyasa wa Tz , ndiyo maana hata sare zao alizikataa.