Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Habari nyingi wakuu.
Tumeanza mwaka na mipango mipya.
Sina maneno mengi sana ila naomba msaada wa kujua gharama za hii nyumba tu maana ndio nataka nianze baada ya kumaliza tarehe 17 Inshaallah.
Vyumba vitatu vya kulala (1 bedroom)
Jiko
Dining
Kitchen
Store
Sitin room
Public toilet
Chumba kimoja cha kuongea na wageni au kwajili ya mambo ya ofisi.
Nawasiliza.
Tumeanza mwaka na mipango mipya.
Sina maneno mengi sana ila naomba msaada wa kujua gharama za hii nyumba tu maana ndio nataka nianze baada ya kumaliza tarehe 17 Inshaallah.
Vyumba vitatu vya kulala (1 bedroom)
Jiko
Dining
Kitchen
Store
Sitin room
Public toilet
Chumba kimoja cha kuongea na wageni au kwajili ya mambo ya ofisi.
Nawasiliza.