Naomba kujua makadirio ya pesa nyumba hii

Naomba kujua makadirio ya pesa nyumba hii

Saad30

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2020
Posts
2,737
Reaction score
5,464
Habari nyingi wakuu.

Tumeanza mwaka na mipango mipya.
Sina maneno mengi sana ila naomba msaada wa kujua gharama za hii nyumba tu maana ndio nataka nianze baada ya kumaliza tarehe 17 Inshaallah.

Vyumba vitatu vya kulala (1 bedroom)

Jiko
Dining
Kitchen
Store
Sitin room
Public toilet
Chumba kimoja cha kuongea na wageni au kwajili ya mambo ya ofisi.

Nawasiliza.
 
Gharama za ujenzi wa nyumba ya aina hiyo haziwezi kufanana au kuwa Constant kutokana na sababu mbalimbali miongoni mwao ni hizi:-
1. Ramani. Kuna ramani "simple" na "complicated". Moja itakuwa na gharama kubwa japo zote zina vyumba vitatu vya kulala sitting room nk. Hapa kwenye ramani pia kuna ukubwa wa nyumba. Je, hiyo nyumba unayotaka kujenga ina ukubwa kiasi gani- Sqm
2. Unatumia malighafi aina gani katika ujenzi.
  • Mfano matofali, je ni ya saruji au udongo (kuchoma)
  • Bati za kuezekea utatumia zenye kiwango gani? je, bati ni za kawaida, za rangi, mgongo mdogo au mpana au vigae? Je, ni za Kichina au za ALAF?
  • milango na madirisha. Utatumia ya mbao au aluminium; nk.nk

3. Je, unajenga eneo/ sehemu gani? Kijijni, mji mdogo, mji wa kawaida, manispaa au jiji? Nayo inaweza kusaidia kukadiria gharama za ujenzi?

4. Ufundi. Je, unatumia fundi wa aina gani? Mafundi wanatofautiana viwango vya gharama.

NB: kama unajenga jijini Bongo Daresalama kwa nyumba ya viwango vya kawaida jiandae kuanzia milioni 40.

Mimi ngoja niishie hapa, na wengine watakuja kuongezea kulingana na uzoefu wao.
 
Habari nyingi wakuu.

Tumeanza mwaka na mipango mipya.
Sina maneno mengi sana ila naomba msaada wa kujua gharama za hii nyumba tu maana ndio nataka nianze baada ya kumaliza tarehe 17 Inshaallah.

Vyumba vitatu vya kulala (1 bedroom)

Jiko
Dining
Kitchen
Store
Sitin room
Public toilet
Chumba kimoja cha kuongea na wageni au kwajili ya mambo ya ofisi.

Nawasiliza.
30 mln minimum
 
Gharama za ujenzi wa nyumba ya aina hiyo haziwezi kufanana au kuwa Constant kutokana na sababu mbalimbali miongoni mwao ni hizi:-
1. Ramani. Kuna ramani "simple" na "complicated". Moja itakuwa na gharama kubwa japo zote zina vyumba vitatu vya kulala sitting room nk. Hapa kwenye ramani pia kuna ukubwa wa nyumba. Je, hiyo nyumba unayotaka kujenga ina ukubwa kiasi gani- Sqm
2. Unatumia malighafi aina gani katika ujenzi.
  • Mfano matofali, je ni ya saruji au udongo (kuchoma)
  • Bati za kuezekea utatumia zenye kiwango gani? je, bati ni za kawaida, za rangi, mgongo mdogo au mpana au vigae? Je, ni za Kichina au za ALAF?
  • milango na madirisha. Utatumia ya mbao au aluminium; nk.nk

3. Je, unajenga eneo/ sehemu gani? Kijijni, mji mdogo, mji wa kawaida, manispaa au jiji? Nayo inaweza kusaidia kukadiria gharama za ujenzi?

4. Ufundi. Je, unatumia fundi wa aina gani? Mafundi wanatofautiana viwango vya gharama.

NB: kama unajenga jijini Bongo Daresalama kwa nyumba ya viwango vya kawaida jiandae kuanzia milioni 40.

Mimi ngoja niishie hapa, na wengine watakuja kuongezea kulingana na uzoefu wao.
Shukrani mkuu kwa ushauri wako.

Mimi najengea Tanga korogwe...kiufupi natumia mabati ya alafa

Tofari za saruji

Milango ya mbao ila kisasa zaidi

Kuhusu square meter bado sjajua ila ukubwa wa kiwanja ni upana 15 urefu 20 nadhani hapo umeulewa huo msemo.

Ramani yake huwa ni sh ngapi hii.
 
Eneo lipo slope au flat ardhi ni mchanga au udongo mfinyanz unajengea wap mkoan au mjini

mkoani ukiwa na 15ml mfano morogor wanatumia tofar za kuchom na kokoto bei poa mafuni wa mkoan hawana gharama kama mjini ni wastan wa 23/ 25 ukiwa na uelewa wa ujenz na usimamiz wako wa hali ya juu kama unataka kila jambo afanye mtu basi ni 30+ ml nakupa mfano haisi hii nyumba adi napiga bati imesimamia 11.8ml finishing kila kitu hapo ni imesimamia 20ml hapo umeweka gril, rangi ndan nje tiles mfumo wa maji milango gypsum nk
20220106_101758.jpg
View attachment 2070432

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Eneo lipo slope au flat ardhi ni mchanga au udongo mfinyanz unajengea wap mkoan au mjini

mkoani ukiwa na 15ml mfano morogor wanatumia tofar za kuchom na kokoto bei poa mafuni wa mkoan hawana gharama kama mjini ni wastan wa 23/ 25 ukiwa na uelewa wa ujenz na usimamiz wako wa hali ya juu kama unataka kila jambo afanye mtu basi ni 30+ ml nakupa mfano haisi hii nyumba adi napiga bati imesimamia 11.8ml finishing kila kitu hapo ni imesimamia 20ml hapo umeweka gril, rangi ndan nje tiles mfumo wa maji milango gypsum nk View attachment 2070433View attachment 2070432

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Aiseeeehhh mbona kama pesa ndogo sana,kwani hii ina ukubwa gani?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom