Naomba kujua Mmiliki wa Hotel inayokuja kwa Kasi sana Unguja Zanzibar ya Kwanza Hotel

Naomba kujua Mmiliki wa Hotel inayokuja kwa Kasi sana Unguja Zanzibar ya Kwanza Hotel

Hao ni wafanyakazi wa mama Abdul!!
Hapana mkuu yaani ukiwa na rangi nyeupe ni rahisi kufanya biashara kwa masikini kuliko raia wenyewe
Unafikiri hatuna hela za kufungua viwanda bongo la zipo ila hawataki kutoa uraia pacha wanajua tutakabana kwenye 10%
Hizi hotel zipo nyingi wala mama hahusiki ipo Kenya nayo ni ya Ruto ama
Ipo Seychelles na hata Cairo ila sio ya Al sisi.

Ila useme ufungue wewe utazungushwa mpaka ukate tamaa
 
Hii Hotel kuna dogo alipata kazi hapo na wamiliki niView attachment 2811885
Kuna Msaidizi ( Mlinzi )wa Diplomat Mmoja anayeambatana nae Kokote huyo Boss wake kanitajia Mmiliki wa hiyo Hotel hadi nikashikwa na Butwaa na kuionea Huruma Tanzania yangu nikasema ngoja nije Kujiridhisha Kitaarifa hapa Jamiiforums na nashangaa kuona umeleta Jina la Mmiliki hewa wakati Mmiliki halisi tutakuwa nae busy sana Majukwaani 2025.
 
Kuna Msaidizi ( Mlinzi )wa Diplomat Mmoja anayeambatana nae Kokote huyo Boss wake kanitajia Mmiliki wa hiyo Hotel hadi nikashikwa na Butwaa na kuionea Huruma Tanzania yangu nikasema ngoja nije Kujiridhisha Kitaarifa hapa Jamiiforums na nashangaa kuona umeleta Jina la Mmiliki hewa wakati Mmiliki halisi tutakuwa nae busy sana Majukwaani 2025.
Kumbe
Ila kama ni hivyo acha nijifunze kifaransa tu niwe mpishi hapo
Nchi inaliwa sisi tunatafuta wanaokula
 
Hapana mkuu yaani ukiwa na rangi nyeupe ni rahisi kufanya biashara kwa masikini kuliko raia wenyewe
Unafikiri hatuna hela za kufungua viwanda bongo la zipo ila hawataki kutoa uraia pacha wanajua tutakabana kwenye 10%
Hizi hotel zipo nyingi wala mama hahusiki ipo Kenya nayo ni ya Ruto ama
Ipo Seychelles na hata Cairo ila sio ya Al sisi.

Ila useme ufungue wewe utazungushwa mpaka ukate tamaa
Karibu kwenye ulimwengu wa "corparates".
Kuna miaka nilikuwa kwenye "CEOs roundtable", humo ndio nikajua Mr Wang wa Goodwill & Sapphire Float Glass ni za nani kiuhalisia.
Mtibwa Sugar na Kagera Sugar ya Seif ni ya nani.
SSB & Companies ni ya nani.
Motisun Group ya Subash ni ya nani kiuhalisia, na listi ni ndefu sana.
 
Karibu kwenye ulimwengu wa "corparates".
Kuna miaka nilikuwa kwenye "CEOs roundtable", humo ndio nikajua Mr Wang wa Goodwill & Sapphire Float Glass ni za nani kiuhalisia.
Mtibwa Sugar na Kagera Sugar ya Seif ni ya nani.
SSB & Companies ni ya nani.
Motisun Group ya Subash ni ya nani kiuhalisia, na listi ni ndefu sana.
Asante mkuu, najua kuna wengine huwa hawataki kujitambulisha na wanakuwa anonymous na hata uchimbe kiasi gani huwapati labda uwepo kwenye kikao 😄
 
Kw
Nijibuni haraka kwani kwa jinsi ilivyo, ilivyojengwa kwa haraka kuanzia tarehe 21 Machi, 2021 na inavyojaza Watu sasa na Huduma zake na Mimi GENTAMYCINE natamani kwenda, ila ili niende nikiwa na Furaha tele ningependa hasa nimjue Mmiliki wake ili nimpongeze kwani amejua kutumia Fursa na Mwanya ulioko / alionao.
A hiyo kabla mzalendo hajazikwa tayari watu walianza kudokoa jikoni?
 
Karibu kwenye ulimwengu wa "corparates".
Kuna miaka nilikuwa kwenye "CEOs roundtable", humo ndio nikajua Mr Wang wa Goodwill & Sapphire Float Glass ni za nani kiuhalisia.
Mtibwa Sugar na Kagera Sugar ya Seif ni ya nani.
SSB & Companies ni ya nani.
Motisun Group ya Subash ni ya nani kiuhalisia, na listi ni ndefu sana.
Ungesema hao watu hata Kwa code na wengine tuwafahamu
 
Back
Top Bottom