Naomba kujua namna ya kufanya akaunti ya youtube ilipwe

Naomba kujua namna ya kufanya akaunti ya youtube ilipwe

Enewe,si mbaya kama ni kazi inayolipa. Kuna dogo mmoja huwa nikimfikilia,namuonea tu huruma. Anajiita muigizaji. Hawezi kushirikiana na waigizaji wenzake,ni mbinafsi. Af sasa,kila akituma sms ya mzinga, lazima akwambie kuwa account yake ya Youtube inakaribia kulipwa. Unajiuliza,hii ndo itakuwa tegemeo lake? Jijini Dar?
 
Enewe,si mbaya kama ni kazi inayolipa. Kuna dogo mmoja huwa nikimfikilia,namuonea tu huruma. Anajiita muigizaji. Hawezi kushirikiana na waigizaji wenzake,ni mbinafsi. Af sasa,kila akituma sms ya mzinga, lazima akwambie kuwa account yake ya Youtube inakaribia kulipwa. Unajiuliza,hii ndo itakuwa tegemeo lake? Jijini Dar?
Vijana wa Daslamu ni wajinga sana[emoji23]
Ndo ma content creator, mostly wana wa kulelewa
 
Vijana wa Daslamu ni wajinga sana[emoji23]
Ndo ma content creator, mostly wana wa kulelewa
Ndo kizazi cha 2000! Kama ni bei,hasara tu. Wengi wao wanataka maisha mtelezo. Hawajiulizi wenye hizo accounts za kulipwa wamewekeza kiasi gani,na kimepatikana wapi na vipi.
 
Back
Top Bottom