Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

Nimezipenda hizo vitu hizo za kuchomeka kwny socket Nyani Ngabu
Nilikua natumia scented candles hofu ni kuunguza vitu ndani..japo ni nzuri sana kwa kweli
kando ya hapo air freshener, detergent za usafi,fabric softener ya pazia bado harufu nzuri inakua temporary,..

Hakikisha wewe na familia yako hamna allergies vinginevyo kuna kuanza kutafuta mchawi aliyelogea asthma.
 
Hakikisha wewe na familia yako hamna allergies vinginevyo kuna kuanza kutafuta mchawi aliyelogea asthma.
Hili nalo nenooo,nadhani ni vyema tu kufanya usafi na hewa fresh iwepo kwa kiasi kikubwa.. Ama harufu ikiwepi basi iwe kidogo visizidi
 
Hili nalo nenooo,nadhani ni vyema tu kufanya usafi na hewa fresh iwepo kwa kiasi kikubwa.. Ama harufu ikiwepi basi iwe kidogo visizidi

Muhimu kuchagua kutokana na matakwa na mahitaji. Sio kuona fulani anatumia vinyunyizi vya ukutani nyumba inanukia basi mtu unacopy na kupaste tu.
 
Nimejifunza kitu ila waarabu wanamarashi ya nyumba balaa ila kiukweli kale ka harufu ka club(hasa club quality sio vumbi..[emoji23])huwa napenda sana kale ka smell honestly
 
Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.

Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.
wacha urongooo
Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.

Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.

Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.

Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.

Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
 
Mie natumia automatic air fresher ambayo inatumia batteries, kama upo dsm waeza kwenda nakumat super market, game, au maisha supermarket.. Kama unanunua kwa mara ya kwanza utaipata kwa elfu 25 maximum price ambayo inajumuisha mashine na mkebe wake... Lakin mkebe ukiisha utalazimika kununua mkebe mwingne na kuuweka kwa mashine.. Kuna mkebe wa 5000 na kuna ya 12000 inategemea wataka wa kampuni gan ingawa mashine ni universal yakubali mikebe ya kampuni yoyote iliyokua designed for automatic air fresher.
Mkebe mmoja unatumika muda gani mkuu mpaka kuisha??
 
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu

nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile

nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa

wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa

ni nini hasa mnatumia?
The Boss .. Kuuliza Si Ujinga

Ungewauliza tu Wenye Nyumba
 
The Boss, ingia baby shop ya msasani mall. Kuna kitu kinaitwa essential oils. Inakuwa Na dispenser yake Na sticks unachomeka humo. Zinatoa harufu moderate wakati wote.

Pia kuna potti pour, ni kama maua ya aina mbali mbali unachukua Na essential oils za fleva mbali mbali. Ila hii ni bei rahisi sana lakini haikai muda mrefu lazma uwe unamiminia kila wakati.

Ukiongea Na wahudumu watakuelekeza zaidi.

Bottom line usafi wa nyumba ni muhimu sana. Hakikisha usafi unafanyika kwa kutumia sabuni wakati wote (ya maji ni njema zaidi ). Kuna harufu flani mimi huita ya kuzubaa huwa inanitia kichefuchefu Kabisa. Na sio kila Mtu anapenda udi AMA harufu kali
 
Hv kuna mti unaitwa muasumini au ni maua hayo..?kuna mti flani hvi jirani na chumbani basi usiku unatoa harufu nzuri sana...una maua ya njano hivi..siujui jina
Sasa mmeleta vitu vingi hadi nimechanganyikiwa sijajua ipi bora zaidi?
 
Naona mauzo ya hizi air freshener yameongezeka huko supermarket.
 
The Boss .. Kuuliza Si Ujinga

Ungewauliza tu Wenye Nyumba


Natumia ushauri wa humu kwanza nikiona bado ile harufu sijaipata ntaenda tena tu kuwauliza
 
Air freshners za aina mbalimbali! Kuna zile za kuspray kama dawa ya mbu,au kuna za kuchomeka ukutani na kwa msaada wa umeme.
hzo za kuchomeka ukutani kwa kutumia umeme zikoje na zinaitwaje name nataka niweke kwangu pls nitajie zinakuwaje
 
Usasa mwingne una madhara...safisha nyumba...epuka v2 nyenye harufu mbaya.....large windows....allow hewa iingie na kutoka....hayo maarufu ya wadhungu hachana nayo.......cancer.....westerners dump them here. Stay natural dude.
 
Back
Top Bottom