Naomba Kujua Pombe ni Dhambi au ni haramu? Imekatazwa na Quran au Mtume Mohamed?

Naomba Kujua Pombe ni Dhambi au ni haramu? Imekatazwa na Quran au Mtume Mohamed?

mkirisito yeye hana haramu wala halali wala dhambi bili uchangaya yote sehemu 1 mala yesu mala mariyamu mama wa mungu mala papa snasamehe dhambi wapo wapo tu hawajui lolote kuhusu mungu huo ndio ukweli

siku wakirisito wakajua nin maana ya haramu na dhambi hakuna atakae kunywa pombe wala nguluwe wala kuvaa vichupi barabalani wala kukesha makanisani wakipiga mayoe wala kumuita yesu mungu
Achana na mavazi. Watu walitembea uchi kitambo na hadi leo wapo watu wanatembea utupu huko Amazon (misitu ya Brazil na Argentina).
 
mkirisito yeye hana haramu wala halali wala dhambi bili uchangaya yote sehemu 1 mala yesu mala mariyamu mama wa mungu mala papa snasamehe dhambi wapo wapo tu hawajui lolote kuhusu mungu huo ndio ukweli

siku wakirisito wakajua nin maana ya haramu na dhambi hakuna atakae kunywa pombe wala nguluwe wala kuvaa vichupi barabalani wala kukesha makanisani wakipiga mayoe wala kumuita yesu mungu
Wewe unajua nini kuhusu mungu!? Umeaminishwa upumbavu afu unajifanya mjuaji kumbe bwege mtozeni tu.
 
Wewe unajua nini kuhusu mungu!? Umeaminishwa upumbavu afu unajifanya mjuaji kumbe bwege mtozeni tu.
wewe tukana tu lakini nyiyi halamu na halali mnachangaya kwenye kapu 1 uwezi kumuabudi kiumbe alie enda jando na kuvaa nepi na kunyonyo matiti ya mama na kwenda kuungama dhambi kwa padiri huo ndio ukweli yesu hawezi kuwa mungu kwa watu wanao mjua mungu labda kwa ndondocha kama wewe na ukifa kwa imani hiyo tegemea kwenda kuishi moto tu
 
Achana na mavazi. Watu walitembea uchi kitambo na hadi leo wapo watu wanatembea utupu huko Amazon (misitu ya Brazil na Argentina).
walitemba uchi sababu awakuwa na nguo leo kila kona nguo mbona amtembei kwa miguu kama zamani na kuishi kwenye mapangu ushenzi ni zaidi ya ukimwi
 
Upumbavu mtupu. Nyie ndo maana ni rahisi sana kuwarubuni mkavae mabomu na kujilipua under jihad. Vichwa vyenu vimejaa upupu. Kama mnaamini huu utumbo sio jambo la kushangaza how easily you get brainwashed
wewe unajiariji tu kitendo chenu cha kumabudu yesu na mamake huo ni ukafiri ulio tukuka mwisho wa siku ni motoni kuanzia pale mnapo kufa tangu lini yesu akawa mungu kama sio ushirikina nn?
 
Katika uislam ulevi ni haram(kukatazwa) na kitu chochote kilicho haram basi ni dhambi hyo
Allah anasema katika qur anيَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

[ AL - MAIDA - 90 ]
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Hapa anaongelewa mlevi, je usipolewa?
 
Pombe ni kilevi cha zamani sana ukisoma kwenye historia na kwenye Quran pombe imekatazwa mara tatu kwasababu maswahaba walikuwa wamedumbukia kwenye ulevi uliopitiliza ikaja katazo la kwanza likisema

"Msikaribie swala ikiwa mmelewa' (an nissa:43)

Ila haikusaidia maana walikuwa wakitoka kwenye ibada break ya kwanza kwenye pombe likaja katazo jingine likisema

'Enyi ambao mmeamini hakika ya ulevi na na masanamu na ramli na mishale ya kutizamia ramli ni uchafu na ni miongoni mwa matendo ya shetani jiepusheni nayo huenda mkawa wachamungu wa kweli,

Uharamisho wa ulevi katika uislam,

Kwa hakika shetani anataka kukuleteeni uadui na bughudha baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na anataka kukuzuilieni dhikiri za Allah na kuswali basi je mtaacha hayo (al maida:93)

Pombe ilikatazwa kwasababu watu walikuwa wanaenda kwenye ibada lakini hawana yakini na ufahamu wa kitu wanachokifanya wote tunajua pombe ilivyo na mtu akilewa kwa hyo lengo lilikuwa mtu akienda kwenye ibada ajue anachokifanya na mtume alipata sana tabu kukataza jambo hilo.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hapo umeongelea ulevi, je mtu asipolewa?
 
Ukiwa unareply comments za watu jitahidi kuandika vitu vinavyoeleweka. Hauongoi na wapumbavu wenzio wa huko kijiweni kwenu.
umeelewa vizuli tu unajitoa akili tu lakini ukweli umekufikia
 
Katika uislam ulevi ni haram(kukatazwa) na kitu chochote kilicho haram basi ni dhambi hyo
Allah anasema katika qur anيَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

[ AL - MAIDA - 90 ]
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Vipi kuhusu ile mito ya pombe tuliyoahidiwa kuikuta peponi?
Pombe iwe dhambi dunia halafu ihalalishwe peponi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.

Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?

Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu

Aksante Niwatakie Jumapili njema
Pombe, nguruwe sio haramu. Wanadamu wanaanua tu kuvifanya vitu hivi kuwa haramu kwa sababu zao za kihistoria. Usikubali utumwa huu kuwa huru!
 
Hapa unazidi kuonesha ujinga na upumbavu kama sio ungumbaru uliopitiliza. Kama mtu sio muislamu ni lazima awe mkristo? Usiwe poyoyo. Kama mtu ni mkristo lazima awe roman catholic? Warudishie waazi wako hela ya ada waliyokulipia miaka yote ya shule. Biblia hairuhushu ushoga. Na inasema kabisa mashoga wanatakiwa wauwawe. Sasa sijui ni kitu unaongea wewe zumbukuku
Mume wenu anathibitisha
Yeremia 3:14

Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu mtupu. Nyie ndo maana ni rahisi sana kuwarubuni mkavae mabomu na kujilipua under jihad. Vichwa vyenu vimejaa upupu. Kama mnaamini huu utumbo sio jambo la kushangaza how easily you get brainwashed
Mumeo anakutafuta huko
Yeremia 3:14

Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom